wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,470
- 2,095
Kwa nilivyo wauliza walisema haiwezi so me nikaona ni waste of money kununua kitu ambacho sitakitumia coz at the moment sina device inayo support 4G, price ni 3kungechukua ya 4G, kwan haina uwezo wa kuoperate 3, h+ n.k? mbona naskia 4G ya tigo inafanya yote hayo?
ni sh ngap?