Hujui TTCL ndiye kamilikishwa usimamizi wa Mkongo wa Taifa?Gharama za services za mkongo wa taifa ni kubwa sana na wanashindwa kuhandle isee.
Inahuzunisha hadi unawaza hivi jamaa wanalipwa ili wauze mechi au wanatishwa na mamlaka ili wahakikishe timu pinzani zinashinda?Ttcl ni yetu wa Tanzania kwa 100% au kuna wabia?,
Kama ni ya kwetu kwa 100% taifa linashindwaje kuipendelea ili ndio iwe kimbilio la mtanzania? Kwa kila kitu kuanzia bando, talks time na mengineyo!
Sasa wewe lofa Usiejielewa ttcl imefufuliwa mwaka ganTTCL ilikuwa inafanha poa enzi za JK na sio Magu, klianza kupata down fall enzi.za magu
Before ttcl walikuwa na huduma nzuri mnoo ktk internet huduma ilikuwa affordable mnoo
Wabunge wameshauri hili shirika liachane na biashara ya mtandao wa simu za mkononi wajikite kuuza data tu kwa mabenki na taasisi mbalimbali,Nikikumbuka jinsi serikali ya Magu walivyopambana kwa jasho na damu kuukuza huu mtandao na kuspend mabilioni ya pesa kama ruzuku ili shirika lifufuke leo hii limerudi kama zamani linajifia tu
Hivi waungwana hili shirika linahujumiwa au.....Inawezekana vp wakawa na bando ghali kuliko mitandao mingine?
Hali ni mbaya sana pia mtandao wao umeanza kupoteza signals maeneo mengi tofauti na kipindi cha magu
Nikifikiria uwekezaji mkubwa ulofanyika kwenye mawasiliano naishiwa na nguvu kabisa
Kuna jambo nashindwa kulielewa waungwana labda mniambie hivi hawa wanashindwa vipi kukamata soko??Haki wanafeli kivipi?Wamejitahidi kufika Tz nzima kila mahali wapo, maana kila mahali ukienda inashika, hivi kwa sasahivi kulivyo na demand kubwa ya mabando hawa wakija hata na utaratibu wa kuuza bando Gb 1 hata kwa 1500 au 1000 si wabongo wote watakimbilia huko?
Kwani wanafeli wapi kuwa na mabando cheap kuliko mitandao yote kama walivyofanya kuanzia 2018, 2019 na kufanikiwa kurudi kwa kasi?
Hivi kwa mfano wakiuza gb kwa shilingi 1000 au 1500 hawa kwa sasa si watateka soko zima la mabando? sasa kwanini wanashindwa ilhali wana kila kitu?Wana kila kitu hawa nashindwa kujua kuna mdudu gani wakuu Naombeni mnieleweshe au mimi ni mjinga sina akili siwazi sawa sawa?
Mbona ni rahisi sana hawa kukamata soko kwa hali ilivyo sasa?Wanafeli wapi, kuna nini, na tatzo ninini?Hili shirika si la umma jamani?Wakuu nashindwa kulielewa hili shirika kabisa
Kweli pumzika kwa amani ttcl hakika unahujumiwa na walafi
Hili siliafiki hasa kwa usalama wa taifa letu, tuingie ubia wa 50,50 na makampuni yenye uzoefu.Wabunge wameshauri hili shirika liachane na biashara ya mtandao wa simu za mkononi wajikite kuuza data tu kwa mabenki na taasisi mbalimbali,
Ni kweli.Nikikumbuka jinsi serikali ya Magu walivyopambana kwa jasho na damu kuukuza huu mtandao na kuspend mabilioni ya pesa kama ruzuku ili shirika lifufuke leo hii limerudi kama zamani linajifia tu
Hivi waungwana hili shirika linahujumiwa au.....Inawezekana vp wakawa na bando ghali kuliko mitandao mingine?
Hali ni mbaya sana pia mtandao wao umeanza kupoteza signals maeneo mengi tofauti na kipindi cha magu
Nikifikiria uwekezaji mkubwa ulofanyika kwenye mawasiliano naishiwa na nguvu kabisa
Kuna jambo nashindwa kulielewa waungwana labda mniambie hivi hawa wanashindwa vipi kukamata soko??Haki wanafeli kivipi?Wamejitahidi kufika Tz nzima kila mahali wapo, maana kila mahali ukienda inashika, hivi kwa sasahivi kulivyo na demand kubwa ya mabando hawa wakija hata na utaratibu wa kuuza bando Gb 1 hata kwa 1500 au 1000 si wabongo wote watakimbilia huko?
Kwani wanafeli wapi kuwa na mabando cheap kuliko mitandao yote kama walivyofanya kuanzia 2018, 2019 na kufanikiwa kurudi kwa kasi?
Hivi kwa mfano wakiuza gb kwa shilingi 1000 au 1500 hawa kwa sasa si watateka soko zima la mabando? sasa kwanini wanashindwa ilhali wana kila kitu?Wana kila kitu hawa nashindwa kujua kuna mdudu gani wakuu Naombeni mnieleweshe au mimi ni mjinga sina akili siwazi sawa sawa?
Mbona ni rahisi sana hawa kukamata soko kwa hali ilivyo sasa?Wanafeli wapi, kuna nini, na tatzo ninini?Hili shirika si la umma jamani?Wakuu nashindwa kulielewa hili shirika kabisa
Kweli pumzika kwa amani ttcl hakika unahujumiwa na walafi
Labda ni fair play policy wamekubaliana kwa siri na makampuni binafsi ili kutoyaangamiza hayo makampuni. Normally hizi sera za fair play policy zinakuwepo tu sehemu nyingi duniani. Hayo ni maoni yangu binafsi. Or ni kweli kuna hujuma ndani ya TTCL. Mfano huduma za fiber zilitakiwa zienee nchi nzima ila badi wanasua sua tu mara vifaa havipo.Nikikumbuka jinsi serikali ya Magu walivyopambana kwa jasho na damu kuukuza huu mtandao na kuspend mabilioni ya pesa kama ruzuku ili shirika lifufuke leo hii limerudi kama zamani linajifia tu
Hivi waungwana hili shirika linahujumiwa au.....Inawezekana vp wakawa na bando ghali kuliko mitandao mingine?
Hali ni mbaya sana pia mtandao wao umeanza kupoteza signals maeneo mengi tofauti na kipindi cha magu
Nikifikiria uwekezaji mkubwa ulofanyika kwenye mawasiliano naishiwa na nguvu kabisa
Kuna jambo nashindwa kulielewa waungwana labda mniambie hivi hawa wanashindwa vipi kukamata soko??Haki wanafeli kivipi?Wamejitahidi kufika Tz nzima kila mahali wapo, maana kila mahali ukienda inashika, hivi kwa sasahivi kulivyo na demand kubwa ya mabando hawa wakija hata na utaratibu wa kuuza bando Gb 1 hata kwa 1500 au 1000 si wabongo wote watakimbilia huko?
Kwani wanafeli wapi kuwa na mabando cheap kuliko mitandao yote kama walivyofanya kuanzia 2018, 2019 na kufanikiwa kurudi kwa kasi?
Hivi kwa mfano wakiuza gb kwa shilingi 1000 au 1500 hawa kwa sasa si watateka soko zima la mabando? sasa kwanini wanashindwa ilhali wana kila kitu?Wana kila kitu hawa nashindwa kujua kuna mdudu gani wakuu Naombeni mnieleweshe au mimi ni mjinga sina akili siwazi sawa sawa?
Mbona ni rahisi sana hawa kukamata soko kwa hali ilivyo sasa?Wanafeli wapi, kuna nini, na tatzo ninini?Hili shirika si la umma jamani?Wakuu nashindwa kulielewa hili shirika kabisa
Kweli pumzika kwa amani ttcl hakika unahujumiwa na walafi
Aiseee!!!Shirika lipo kwenye sekta ya ushindani unaohitaji akili kubwa, bahati mbaya serikali yetu si unajua utendaji kazi wake?, Basi TTCL iwe reference kwa mashirika mengine kama ATCL.
Ngoja nikupe mkasa kidogo ulionikuta... Kuna kipindi walibadili karatasi za vocha ya buku, zile vocha mpya sehem ya kukwangua ilikuwa ngum kidogo na delicate,nilikuwa nakwangua hadi namba za vocha. Nilifikisha kama vocha nane hivi nimekwangua vibaya na bahati nzuri vocha zote nilikuwa nazihifadhi.
Sku moja nikawapigia huduma kwa wateja, hapo ndo niliona mauza mauza na kuwaza kama ulivyowaza lakin badae nilipata jibu kuwa halihujumiwi. Nilipiga simu siku ya kwanza nikahudumia vizuri nikazitaja serials number za vocha zote wakaahidi watalifanyia kazi ndani ya masaa 24 then nitarudishiwa tokens za vocha nikatoa na ushauri warudishe zile karatasi za awali, nikaambiwa tumeupokea ushauri wako. Baada ya masaa 24 niliyoahidiwa kimya. Zikapita siku tatu kimya, sku ya nne nikapiga simu. Nikaanza upya kujielezea tatizo langu. Ahadi ikiwa kama siku ya kwanza.
Inshot nilipiga simu zaidi ya mara tano, huyu wa mwisho nikama tulikaliliana, nikamuuliza ebu niambie kinaga ubaga tatizo liko wapi kwa kitu kidogo hivyo. Akasema mandet ya kushughulikia vocha hawana wanachofanya ni kureport kwa muhuska na details za tatizo. Nikamuuliza muhuska kasafiri akasema yupo. So hapo nikajiongeza mwwnyewe (typical ni kama yule nurse aliekuwa anamwambia mkemia unautaka ufanyakazi bora).
Kipindi hicho DG alikuwa somebody Waziri, nikatafta email yake, nikamwandikia email ya mararamiko yangu jinsi nilivyohudumiwa na hadi sasa sjapata msaada wowote ule, kwenye email nikabbc.
Technically akajua hapa yawezekana nimebbc mkubwa, si unajua tena enzi za jiwe..
Siku hiyo hiyo nilipigiwa simu zaidi ya mara tatu kusoviwa tatizo langu, simu nyingine ilipigwa saa tatu usku kuulizwa kama tatzo langu limeisha.
Huyu wa mwisho nilimwambia tatizo ni mifumo yenu ya kiutendaji haiko sawa, watu hawawajibiki, hawafanyi system checkup kujua pending issues zinakwama kwa nani. Nikamwambie nyie mpo mpo tu, nikamuuliza mnajua ni wangapi wameacha kutumia simu zenu kwa tatizo la kupoteza hela kwenye vocha? And Y didn't you value my feedback...
Mambo ni mengi......
Unanjua fisadi rostam tuulize tukuambie jamaa yupo kufisidi nchi ...yeye anadai pesa yote ya serikali ni mali yake.Mashirika ya Serikali yalipaswa kujihudumia mishahara na gharama zingine huku pia wakipeleka pesa Serikalini, iwe kama Mashirika ambayo Serikali ina Ubia mf Airtel, CRDB, NMB,
Kupitia kufanya hivyo hakika hayo mashirika lazima yangejiendesha kwa faida.
ATCL, TTCL hata zishindwe fanya biashara mwezi mzima bado mishahara inalipwa na Serikali.
Nikweli wako watz wana akili ndogo kama kuku awawezi kuona mbali ....nikama bandari kumpa mtu binafsi ni sawa sawa na kuuza usalama wa taifaHili siliafiki hasa kwa usalama wa taifa letu, tuingie ubia wa 50,50 na makampuni yenye uzoefu.
Sijakuelewa mkuu? Uzoefu wa nini? Kama ni kuuza data kwenye taasisi wamekuwa wakifanya hivyo miaka yoteHili siliafiki hasa kwa usalama wa taifa letu, tuingie ubia wa 50,50 na makampuni yenye uzoefu.
Siyo kweli ...kunq maelekezo ya kuhujumu shirika yanatoka serikaliniTTCL inayumba kwa sababu ya uwekezaji wa kusuasua wa serikali...
Haijiendeshi yenyewe kama ilivyo kwa makampuni ya kigeni...
Bali huwa inategemea bajeti toka serikalini ili kufanya uwekezaji...
Sielewi mnaandika vinini? TTCL wabaki kuuza data na simu za mezani tu,Nikweli wako watz wana akili ndogo kama kuku awawezi kuona mbali ....nikama bandari kumpa mtu binafsi ni sawa sawa na kuuza usalama wa taifa
Siyo kweli ...kunq maelekezo ya kuhujumu shirika yanatoka serikalini
Kama unachosema ni kweli basi nieleze kwanini reli ya tazara imekufa kiufanisi mizigo na bidhaa mbalimbali zinapelekwa mikoani na zambia kwanjia ya magari makubwa wakati treni ndiyo usafiri nafuu dunianiUsiwe wapinga vitu bila kujua nyuma ya pazia, CAPEX kwenye telecom ni dynamic na inahitaji kuwekeza hasa ili uone faida na hatimaye kampuni ikue...
TTCL wana kama sites 350 hadi 400 hivi, kampuni nyinginezo kama Airtel, Voda au tiGO wenye sites 4000+, hadi hapa kwenye uwekezaji wa usimikaji wa sites TTCL kashaancha mara 10 zaidi hivi...
Biashara kubwa anayoitegemea TTCL kwa ushirikiano na NICTBB ni mkongo wa taifa wa mawasiliano...
Nakusikiliza mkuuAione Kanungila Karim kwenye jalada.