emanuel kiwonyi
JF-Expert Member
- May 1, 2015
- 549
- 797
Rudi nyumbani kumenoga halotel
Ila ttcl ni kwikwi sana, ukibadilishia line kwenye sim nyingine mnara unakata kabisa, mara ukibadilisha port inasusa, mara ukiwasha line nyingine kwa data inakata inapotea kabisa! Duh kweli home kumenoga!!!
Hahahhh noma sanaYani Bora nirudi Airtell tu nyumbani kushavurugwa



Mkuu hizi zama kukurupuka ndio style ya MAISHAUsipende kukurupuka ndugu fanya tafit....
Mambo mengine CCM sio mchawi.....
Piga *148*30*35#
Ila wamepunguza GB toka 7 mpaka 5
Mi nazitumia kuanngalizia TBCHizo GB mnafanyia nini?
Au kushinda kwenye porn sites?
Kama ANKOUna roho mbaya kama nanilii huyu......
Ni kweli mkuu..... Ndio penyewe hapoNimeona kifurushi cha mwezi cha Data pekee kiko hivi
1. GB 2 = 2500/=
2. GB 5 = 5000/=
Kifurushi cha bando cha mwezi.
DK200 (TTCL-TTCL) + DK25 (Mitandao yote) + SMS250 + GB4 = 5000/=
Tunafatilia ziara za zinduziHizo GB mnafanyia nini?
Au kushinda kwenye porn sites?
Nimeona kifurushi cha mwezi cha Data pekee kiko hivi
1. GB 2 = 2500/=
2. GB 5 = 5000/=
Kifurushi cha bando cha mwezi.
DK200 (TTCL-TTCL) + DK25 (Mitandao yote) + SMS250 + GB4 = 5000/=
Ttcl wamekuwa konokonoSpeed ya TTCL kwangu mjini naona ni mwendo wa Kobe
Since leo asubuhi ttcl menu ya chuo wame ondoa boom pack ofa. Bado sitaki kuamini.
View attachment 830132