Tshirt printing Machine inauzwa.. ( Heat Press Machine)

Tshirt printing Machine inauzwa.. ( Heat Press Machine)

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,499
Reaction score
36,148
Habari wadau.
Nauza mashine yangu ya kuprint tshirt mpya kabisa kwenye box lake..

Nilinunua mwanzoni mwa mwaka huu kwa ajili ya biashara ya kuprint tshirt...

Sababu ya kuuza nimeshindwa kufanya biashara nilipopanga kuifanya...baada ya nyumba yetu mbezi luis kupigwa x kwa ajili ya bomoa bomoa.. Na fremu niliyopanga kuitumia ni ya pale home mbezi.. Bomoa bomoa imeniharibia mipango yangu...

Heat press nauza laki 8 na nusu tu ( 850,000) ina warranty 1 year na manufacture anaitwa stahls . Ni zile kubwa kabisa a-3

Ukihitaji kuiona piga namba ya simu 0712521615

Picha najaribu ku upload zinasumbua...

Inatumika kwa kuprint tshirt, hand kerchiefs na mito na pia kuweka majina kwenye jezi za michezo
 

Attachments

  • 14a6f6a41b6a021b3f82cdc22dd27186.jpg
    14a6f6a41b6a021b3f82cdc22dd27186.jpg
    54.6 KB · Views: 455
  • IMG_4228.jpg
    IMG_4228.jpg
    49 KB · Views: 381
  • 65c9b5136b15b72f0964ed9cdc50cc7e.jpg
    65c9b5136b15b72f0964ed9cdc50cc7e.jpg
    58.9 KB · Views: 327
  • ea0df7eef327963f0a631c81cd29fda3.jpg
    ea0df7eef327963f0a631c81cd29fda3.jpg
    49.9 KB · Views: 343
mkuu inatumia wino ?jaribu kuweka kazi ambayo ishawahimkufanya kama ipo

mpya kabisa haijawai tumika.. ukitaka kujua inafanyaje kazi tembelea workshop za tshirt printing.. au youtube...
 
Usishushe bei mkuu coz mashine ni mpya kabisa.

>Acheni zuluma bwana....muokoeni apate hela, msimshushe kwa kumlalia.
 
hii ni heavy duty tshirt printer... haina option ya kuongeza... kwa uzoefu wangu heavy duty zote hazigasiwi na kazi isiyoihusu.. hata za vikombe ukitaka heavy duty inakuwa ni kikombe peke yake..

zile zilizounganishwa ni for home use sio commercial/ industrial use.. ila watu tunalazimishs ndio maana hazidumu kabisa... ndio maana kwa kazi nzito.. heavy duty ndio wanatumia... zile haziwezi print hata tshirts 100 mfululizo...

use google na youtube utaelewa vizuri printing ilivyo..

Mkuu mia 6 na 20 vp unauza vp kuusu vifaa vyake vyakuprintia kofia vikombe inaoption yakuviongeza
 
Mkuu mia 6 na 20 vp unauza vp kuusu vifaa vyake vyakuprintia kofia vikombe inaoption yakuviongeza

bei hailipi kaka mimi imenigharimu milion 1 na elfu 20 na risiti yake ya tra ninayo.

so nauzia shids tu kwa bei pungufu
 
hii ni heavy duty tshirt printer... haina option ya kuongeza... kwa uzoefu wangu heavy duty zote hazigasiwi na kazi isiyoihusu.. hata za vikombe ukitaka heavy duty inakuwa ni kikombe peke yake..

zile zilizounganishwa ni for home use sio commercial/ industrial use.. ila watu tunalazimishs ndio maana hazidumu kabisa... ndio maana kwa kazi nzito.. heavy duty ndio wanatumia... zile haziwezi print hata tshirts 100 mfululizo...

use google na youtube utaelewa vizuri printing ilivyo..
Naunganana maneno yako, umeandika ukweli kabisa!!

Mi naomba niulize!

Je kama nna hiyo mashine, na nika design kila kitu kwenye PC, nikitaka kuprint kwenye tshirt nitahitaji nini na nini??
 
kwanza unatengeneza art yako kwenye computer kwa adobe illustrator, photoshop au microsoft world... kisha unaiprint kwenye karatasi special zinaitwa transfer papers.. kwa kutumia laserjet printer yeyote au inkjet printer.. zinauzwa around laki 3...

baada ya hapo hiyo karatasi unaiweka juu ya tshirts.. then unaset pressure, time, and temperature kisha unaprint kwa heat press juu ya karatasi na tshirts.. muda ukifika ulioset allarm inapiga kelele.. unatoa na kukuta logo yako imehama kutoka kwenye karatasi na kuhamia kwenye tshirts...

vifaa ni heat press machine.

transfer papers.. rim inauzwa laki na nusu kariakoo na reja reja inauzwa kwa moja 1500

laser jet printer bei laki 3. japo hii sio lazima sana unaweza kutumia printer ya stationary jirani yako.. unaenda na karatasi zako tu na logo yako

na computer au laptop...


Naunganana maneno yako, umeandika ukweli kabisa!!

Mi naomba niulize!

Je kama nna hiyo mashine, na nika design kila kitu kwenye PC, nikitaka kuprint kwenye tshirt nitahitaji nini na nini??
 
transfer pepa zinauzwa kariakoo na hata posta maduka makubwa ya stationary.. rim bei yake ni laki na nusu..

size ya heat press ni A-3 au 38cm x 38cm


Nisaidie upana wake na pia transfer paper vp unaoder nazo nje zenye ubora au unachukua bongo? Sikuoni whtsp mkuu
 
nimekuelewa mkuu... japo.waafrica tunapendaga mtu apate shida ili umlalie bei.. hata viwanda na magari ndio hivyo hivyo


Usishushe bei mkuu coz mashine ni mpya kabisa.

>Acheni zuluma bwana....muokoeni apate hela, msimshushe kwa kumlalia.
 
Back
Top Bottom