Trump to North Korea: "Do Not Try Us"

Trump to North Korea: "Do Not Try Us"

Tajiri wa Kwanza Tanzania hajafikia hata Dola bil 2

Trump pekee ana usd 8 bil na kitu hivi

yaani ni sawa na GDP ya nchi nzima ya Burundi...yaani Trump pekee amezidi pato la taifa la nchi nzima ya Burundi ambayo ni USD 7.985 bil

Sasa nataka kujua ni ukoo gani hapa Tanzania ambao unaweza kuilisha nchi nzima kama burundi....

Tuacheni utani na Ubishi wa Kipuuzi ...
Mambo mengine yako wazi wala hakuna ubishi
Duuu nyie mpo nchi gani.. Dewji ana utajiri wa dola Bilioni ngapi?
 
kuna mtu humu anasema yeye ana utajiri kuliko trump......
kitu tusichojua ni kuwa matajiri 10 wa tanzania ukiunganisha hela zao zote haawamfikii trump
Huyo jamaa nahsi anatumia ule moshi ambao ukimaloza kuvuta unajiona upo marekan unakula bata na kim kadash
 
Sasa kwani mimi nimemtaja Dewj kwenye maelezo yangu??
Nilichosema ni kuwa hakuna Mtanzania aliefikia Dola bil mbili...kama yupo lete data na Chanzo cha kuaminika
Usiishie kubisha na wakati huna data
Wewe ngoja nikuache maana unataka kuleta ligi za kipuuzi unaposema hakuna Mtanzania aliefikia Dola Bilioni mbili.. Nakuuliza Dewji ana utajiri wa Bilioni ngapi unasema hujamtaja Dewji

Kwani Dewji ni Mu Estonia au Mtanzania?
 
Samahani mkuu labda hatujaelewana

Hii ni kwa takwimu za Forbes 2017
04964e87ba753df5aa6f253cec173453.jpg

Fuatilia hii link Mohammed Dewji
Kumradhi Mkuu pia sikuwaza vizuri, nilipo sema Dewji nilikuwa na maana ya familia yao kama ile familia ya kina Walton wanao miliki Wallmart
 
Labda ni kaka wa Mohamed Dewji jombaa au Mdogo wa Rostam Aziz maana Aziz mwenyewe anagonga dola Bilioni moja ukiweka na ukoo wao Lazima Trump akae
Nyinyi mashabiki wa north korea mna ligi za ajabu kweli mnaleta ligi hadi kwenye utajiri wa trump!! eti trump anakaa kwa rostam au mo seriously??
punguzeni ushabiki ;trump ana utajiri wa usd 8bn,dewji ana usd 1.3bn hapo ni sawa mbingu na ardhi
 
Eti Magumashikama

Hawajaribiwi..
Ukishagombea nafasi ya kuchaguliwa tu umeshakubali kujaribiwa kila siku ya kazi hiyo, kama wasingetaka kujaribiwa wasingegombea uongozi kama mimi.

Mimi nina haki ya kusema sijaribiwi kuliko mtu yeyote aliyeomba kura.

Nikujishaua tu.
 
ule wakati wa mtu kutiwa adabu umefika....soon bwana kipank yatamfika yaliyomfika anko usama,mjomba saddam.....hapa ni mida tu ndo unasubiriwa
 
Amesema hajaribiwi, Kiduku aache kujaribu mavitu yake baharini amjaribu mzee hata Gwam tu aliposema atayarusha, aone which one sounds like kelele the most, kucheka ama kulia.
Hivi wana undugu au kuna kitu wanatumiaga!?
kule wana lima ile kitu sijuwi huko kwenu U.S.
Watch it. If you think you have that kind of freedom not to that extent!!
 
Back
Top Bottom