Trump to North Korea: "Do Not Try Us"

Trump to North Korea: "Do Not Try Us"

Naam huyo ndiye mwanaume; akinena dunia nzima kuanzia kwa magaidi ya kiarabu, Iran hadi kwa Warusi huko inasemezana "kasema nini"! Kim akijifanya kichwa ngumu atafanyiwa kitu cha aibu hataamini.
Trump hawezi ivamia ndg, NK wapo vzr sna, achaana na CNN
 
Nani kakwambia sipati kila nachokitaka? Mbona unapenda kujifanya unajua kila mtu wewe??? Kwanza unanijua hadi ufikirie kuwa jamaa katuzidi hela ukoo wetu wote???
hahahahahah jf raha sana.
mkuu katika ukoo wenu mna hela kumzidi DJ TRUMP??
 
DA MZ

DA Mzee mzima anaadhirika hivihivi,sasa dunia nzima imeshamjua kuwa kagwaya,maana kila siku anabalisha sentensi,kwisha habari yake.kubwa zima LINATAKA MECHI KWA KUVIZIA,ameangalia kuishambulia NK kwa kushitukiza kaona wenyewe hawajalala.
US President Donald Trump has urged North Korea to "come to the table" and discuss giving up its nuclear weapons.
Hana meno mkuu
 
Anahisi wale ni waarabu?? Aingie mzigoni aoneshughuli, bush senior na junior walishindwa, who hell is hE??
 
DA MZ

DA Mzee mzima anaadhirika hivihivi,sasa dunia nzima imeshamjua kuwa kagwaya,maana kila siku anabalisha sentensi,kwisha habari yake.kubwa zima LINATAKA MECHI KWA KUVIZIA,ameangalia kuishambulia NK kwa kushitukiza kaona wenyewe hawajalala.
Vita sio marede kiasi kwamba ukiingia utatoka salama unaweka ukashinda ila damege utayopata yaweza kukucost miaka na miaka
 
Uzuri washauri wake washamwambia NK haingiliki kwa anga labda wajaribu kuingia kwa ardhini na USA hana record nzuri vita vya chini!..Amtume gwajima tu
 
Uzuri washauri wake washamwambia NK haingiliki kwa anga labda wajaribu kuingia kwa ardhini na USA hana record nzuri vita vya chini!..Amtume gwajima tu
Haiwezekani mkuu wamegonga mwamba !!
 
Ameshindwa kufika DMZ,

helcopter zilishindwa kuonana,mapilot wakaamua kugeuza,alikuwa akienda na convoy la helcopter tano,
baadae walipotua,Trump alsisitiza lazima afike pale,akakaa kwenye gari saa nzima kusubiri mvua ikate,
haikukata,
mda wa ratiba ya kuhutubia bunge ukafika,Trump akawa hana jinsi zaidi ya kurudi town,
marais tangu enzi za reagan wamekuwa wakifika DMZ,
Sasa sijui ni gundu ama kim ameroga mvua inyeshe
 
kuna mtu humu anasema yeye ana utajiri kuliko trump......
kitu tusichojua ni kuwa matajiri 10 wa tanzania ukiunganisha hela zao zote haawamfikii trump
 
Anabweka tu

f2e2acdd23bf693c7c366c0f6a4a1d01.jpg
 
kwa kim ni manka au Nalendwa mkuu mchumba hadi tuombe definition

US President Donald Trump has urged North Korea to "come to the table" and discuss giving up its nuclear weapons.
Hana meno mkuu


Amesema hajaribiwi, Kiduku aache kujaribu mavitu yake baharini amjaribu mzee hata Gwam tu aliposema atayarusha, aone which one sounds like kelele the most, kucheka ama kulia.
 
Ameshindwa kufika DMZ,

helcopter zilishindwa kuonana,mapilot wakaamua kugeuza,alikuwa akienda na convoy la helcopter tano,
baadae walipotua,Trump alsisitiza lazima afike pale,akakaa kwenye gari saa nzima kusubiri mvua ikate,
haikukata,
mda wa ratiba ya kuhutubia bunge ukafika,Trump akawa hana jinsi zaidi ya kurudi town,
marais tangu enzi za reagan wamekuwa wakifika DMZ,
Sasa sijui ni gundu ama kim ameroga mvua inyeshe

Hahah!, eti karoga!

Hali ya hewa tu jamani.
 
Ameshindwa kufika DMZ,

helcopter zilishindwa kuonana,mapilot wakaamua kugeuza,alikuwa akienda na convoy la helcopter tano,
baadae walipotua,Trump alsisitiza lazima afike pale,akakaa kwenye gari saa nzima kusubiri mvua ikate,
haikukata,
mda wa ratiba ya kuhutubia bunge ukafika,Trump akawa hana jinsi zaidi ya kurudi town,
marais tangu enzi za reagan wamekuwa wakifika DMZ,
Sasa sijui ni gundu ama kim ameroga mvua inyeshe
Hahshahahahaha
 
Back
Top Bottom