Trump to North Korea: "Do Not Try Us"

Trump to North Korea: "Do Not Try Us"

Huyo namfananisha na MAJOKA ya huku Bujora makumbusho makubwa kweli yanatisha ila hayang'ati yanakula Unga tu na Maziwa ni sawa na huyu Mwendawazimu Trump maneno mengi tambo nyingi ila kuyafanyia kazi maneno yake anashindwa kwa sababu anajua fika KIM JONG UN anatumwa na wakubwa kumchokoza
Unafikiri vita ni sawa kama unaenda kumfumania mkeo gest unakurupuka tu
 
88o;888 888qq2iq 1232 w we ed eddo w We dk. We 9 we cw we
 
Jovin607
mwambie babu yako apunguze mipasho walikuwepo wababe wa kivita Bush na baba yake ila kule waliishia kuongea tu sasa huyu hajui lolote kuhusiana na vita anaropoka tu
 
Unamjua trump? Au we umenza kumjua trump akiwa anagombea tu na hujui alikotekea

Hahahahaa., mkuu Trump namjua sana, sio yule bilionea ambaye alifilisika miaka kadhaa nyuma then akacome back strong hata akawa bilionea, au sio huyo??

Kaka watu hatujuani humu ujue..,
 
Hahahahaa., mkuu Trump namjua sana, sio yule bilionea ambaye alifilisika miaka kadhaa nyuma then akacome back strong hata akawa bilionea, au sio huyo??

Kaka watu hatujuani humu ujue..,
Kwaiyo unataka kusema ww pesa zimekutembelea had unazikimbia
 
Hahahahaa., mkuu Trump namjua sana, sio yule bilionea ambaye alifilisika miaka kadhaa nyuma then akacome back strong hata akawa bilionea, au sio huyo??

Kaka watu hatujuani humu ujue..,
Kama unazo basi tusambazie wengine coz vyuma vimekaza kwel kwel
 
Kwaiyo unataka kusema ww pesa zimekutembelea had unazikimbia

Mkuu jamaa kasema mimi na ukoo wangu. Mimi binafsi simfikii Trump, ila ukileta ukoo wangu Trump hagusi mkuu. Au kwa kuwa ninaongea kiswahili safi basi nachukuliwa poa.
 
Mkuu jamaa kasema mimi na ukoo wangu. Mimi binafsi simfikii Trump, ila ukileta ukoo wangu Trump hagusi mkuu. Au kwa kuwa ninaongea kiswahili safi basi nachukuliwa poa.
Unaujua utajir wa trump?
 
weee weee kiduku kama namuona hapo alipiga kijibomu kidogo cha hali ya hewa tu mawigi mbiooo je angepiga lile kubwa lililofichwa kule chini ya hospital ingekuwaje
 
Back
Top Bottom