Trump ni mhamiaji asiyependa wahamiaji.

Trump ni mhamiaji asiyependa wahamiaji.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,247
Reaction score
16,169
Anajisahau kuwa Wamarekani 99.98% ni wahamiaji. Trump anafukuza wahamiaji wenzake. Dhambi hii itamtafuna yeye na Marekani yote kama taifa kama ikiachwa iote mizizi.
 
Kama anafanya ivo kisheria ni poa t kwani watu wakimbilie huko? Nawashauri watanzania tupambane kujenga nchi yetu tukiwa hapahapa
 
Anajisahau kuwa Wamarekani 99.98% ni wahamiaji. Trump anafukuza wahamiaji wenzake. Dhambi hii itamtafuna yeye na Marekani yote kama taifa kama ikiachwa iote mizizi.
Inaonekana hata haelewi ya kwamba kabla ya mwaka 1492, hakukuwepo na Taifa linaloitwa Marekani! Ana ubinafsi wa kijinga sana.
 
Watu weusi nao wanahesabika kama ni wahamiaji kavulata?
Walikwenda kama watumwa na Bado tunaenda kama watumwa kwa mtindo wa cheaper labor. Waliijenga Marekani na Bado wanaijenga hadi Leo. Kodi wanayotozwa ni kubwa(%) kuliko weupe.
 
Inaonekana hata haelewi ya kwamba kabla ya mwaka 1492, hakukuwepo na Taifa linaloitwa Marekani! Ana ubinafsi wa kijinga sana.
Ukweli tuwazuie vijana wetu wasiende huko kama sio kwenda kusoma na kurudi.
 
Walikwenda kama watumwa na Bado tunaenda kama watumwa kwa mtindo wa cheaper labor. Waliijenga Marekani na Bado wanaijenga hadi Leo. Kodi wanayotozwa ni kubwa(%) kuliko weupe.
Nachukulia jibu lako ulilolitoa ni hapana.

Watu weusi sio wahamiaji ambao Trump anawafukuza huko. I'm sure that is a fair statement.
 
Nachukulia jibu lako ulilolitoa ni hapana.

Watu weusi sio wahamiaji ambao Trump anawafukuza huko. I'm sure that is a fair statement.
Kuna wamarekani ambao ni weusi, hao ni wamarekani ingawa tunafahamu kuwa wengi wao wako magerezani kutokana maisha, malezi na makuzi waliyopatiwa huko marekani. Hata hivyo wako weuzi wengine ambao wamekaa tako moja tu marekani kutokana na namna walivyoingia marekani.
 
Uzuri Mungu alituumba Sisi wabongo kila Jambo tunalifahamu na tunaweza kujibu.
 
sio wahamihaji legal bali illegal immigrants zingatia neno illegal
Trump ni msanii, anasikitika watu kufa Ukraine na Urusi lakini hasikitiki watu wa Gaza na Yemen kufa wakati wote ni watu na wote wana damu nyekundu zinazomwagika.
 
Back
Top Bottom