Trump ndie rais wa america ajaye

Trump ndie rais wa america ajaye

Trump ubabe utamwangusha.Hawezi pata kura ya black au mwislamu hata mmoja. Hajui kubembeleza kura.
 
kuna video nmeona youtube watu wa mexico wakiruka ukuta mpakani na USA aisee jamaa ashinde tu ajenge mkubwa zaidi
 
trump akiwa raisi USAID itachaguliwa nchi za operation,. with exclusion ya Tanznia
 
Kwa vigezo vipi? Oya acha kukurupuka. Wamarekani wataamua...and mpaka sasa Hillary anapewa nafasi kubwa kwenye polls
 
mimi nahic yatakuwa kama yale ya lowasa na magufuli. lowasa alikubalika mikutano anajaza watu mwisho wa cku akipigwa chini
 
Back
Top Bottom