Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,009
- 17,457
Rais wa Marekani Donald Trump kaamisha makazi yake kutoka New York na kwenda kukaa jimbo la Florida kwa madai ya kubana matumizi ya tozo la makazi akidai NY tozo ni kubwa sana bora ahamie Florida ambapo tozo la makazi ni dogo.
Swali langu je hapo Florida kuna Ikulu ya kutosha kukaa Rais (kama taasisi) pamoja na miundombinu ya usalama? Wajuzi wa masuala ya kimataifa tujuze.
Swali langu je hapo Florida kuna Ikulu ya kutosha kukaa Rais (kama taasisi) pamoja na miundombinu ya usalama? Wajuzi wa masuala ya kimataifa tujuze.