Trump: Kim Jung Un ni kijana muelevu.

mwaminifuhalisi

JF-Expert Member
Feb 26, 2017
329
412
Akiongea na kituo cha CBS trump alisema japokuwa Kim alipata madaraka akiwa na umri mdogo lakini aliweza kupigana na watu wagumu.
"Watu wanasema ni mwendawazimu ... Sifahamu hilo lakini alikuwa ni kijana mdogo wa miaka 26 au 27 pale baba yake alipofariki na Nina uhakika ameweza kupambana na watu wakubwa ambao walitaka hiko kiti ambao wanaweza kuwa majenero, mjomba ake ama yoyote, ni wazi huyu ni kijana muelevu.
Kuhusu kufeli kwa makombora mfululiza Trump hakuwa tayari kulizungumzia hilo swala kwa sasa na kudai hawezi kuweka wazi kila kitu anachokizani kwa sasa.
Pia alisema vita na Korea kaskazini inaweza kugharimu maisha ya mamilioni ya watu.
 
D.Trump hana chembe yauminifu huwa anabadilikabadilika kulingana na wakati...anamjaza maneno bwana mdogo Kim.


"Mguu nje Mguu ndani"
 
Trump anataka kumtongoza mtu ambaye hatongozeki hapo.

Lazima ataangukia pua na kubadili gia.
 
Wale team Trump
Wale team Mad dog genera wa USA njooni


Trump anamlazimisha China asinunue makaa ya mawe kutoka North na china asipeleke mafuta north huku akitafuta namna ya kumzuia Iran asifanye biashara na Kim

Kama mngekuwa mnamsikiliza Trump from his campaigns mpaka hivi sasa mngeelewa plan na namna anayofikiria kutackle hii situation

Trump akiishambulia North ataharibu reputation yake na rudi nyuma 2011 Trump alipinga uvamizi wa Syria na alitoa tweets nyingi kupinga maamuzi ya kuvamia Syria ,pia kipindi cha Bush alipinga waziwazi uvamizi wa Saddam

Trump ni mfanyabiashara na mfanyabiashara hutumia akili na ujanja kutackle a problem ,during kwenye campaign yake alisema atamshinikiza china na akaulizwa how akasema china anaingiza bidhaa nyingi USA hivyo $$ za USA zinaenda china si kwenye negotiation atamshinikiza China na tizama saizi stance na back up ya china kwa North imepungua

Lakini wazee wa udaku walidhani vita itapiganwa
 
Wale team Trump
Wale team Mad dog genera wa USA njooni


Trump anamlazimisha China asinunue makaa ya mawe kutoka North na china asipeleke mafuta north huku akitafuta namna ya kumzuia Iran asifanye biashara na Kim

atamshinikiza China na tizama saizi stance na back up ya china kwa North imepungua

Lakini wazee wa udaku walidhani vita itapiganwa

What a brilliant analysis, BRAVO - kula a mega likes.
 
Team kim
c7d767fa23d5938ec2fe533c3ce0487e.jpg
 
Back
Top Bottom