Vita ni nzuri endapo wewe sio mlengwa wakuuliwa ila kama wewe ndio target ya kuuwawa ni lazima uombe suluhu
Watanzania wengi tunashabikia hawa vidume wapigane kwasababu sisi sio walengwa ila tungekua ni walengwa nahisi tungekua tunakesha kumuomba mungu haya yasitupate