Pigo moja huua weng na kisas haki angalii Nan Nan Bali kisas haki angalii Nan kafanya kwa mfano ukimtia mimba mtoto wangu mm nakutafuta namtia mimba dada yako,mkeo na mtoto wako hiko ndio pure kisas ili siku nyingne ujifunze na uwe na heshima na kujali wengneJenerali wa Irani kaondoka na watu wengi aisee...
Yaani kama binadam tungepewa uwezo wa kutambua mambo yatayotokea baadae nina hakika Trump asingemuua yule jenerali.
Pigo moja huua weng na kisas haki angalii Nan Nan Bali kisas haki angalii Nan kafanya kwa mfano ukimtia mimba mtoto wangu mm nakutafuta namtia mimba dada yako,mkeo na mtoto wako hiko ndio pure kisas ili siku nyingne ujifunze na uwe na heshima na kujali wengne
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni upumbavu wa kidini huku, thead kama hizi sisi tusiotaka ubaguzi wa kidini tunaziona takataka tu. Mtu anampiga mwanao wewe unainuka kwenda kumpiga mtoto wa jirani yako kwa kisingizio cha kupigwa na mgeni? Upuuzi gani huu??Hawa ni raia wa Canada waliofariki Kwenye ndege baada ya Trump kupeleka taharuki huko Iran Kwa kumuua Qassam Suleiman. Inakisiwa wacanada 57 wamefarika. Shame on you trumpView attachment 1320389View attachment 1320390View attachment 1320391View attachment 1320392View attachment 1320393View attachment 1320394View attachment 1320403
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ni raia wa Canada waliofariki Kwenye ndege baada ya Trump kupeleka taharuki huko Iran Kwa kumuua Qassam Suleiman. Inakisiwa wacanada 57 wamefarika. Shame on you trumpView attachment 1320389View attachment 1320390View attachment 1320391View attachment 1320392View attachment 1320393View attachment 1320394View attachment 1320403
Sent using Jamii Forums mobile app
Iran vipi walivyodungua ndege yenye raia wake? Itakuwa alitumwa na USA?
Bila Ya US Kuendeleza Ugaidi Wake Unahisi Lingetokea Hili..Iran vipi walivyodungua ndege yenye raia wake? Itakuwa alitumwa na USA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Bwana Utam. Vipi mngekaa kimya bila kuanza harakati za kulipiza kisasi?.Bila Ya US Kuendeleza Ugaidi Wake Unahisi Lingetokea Hili..
US =WAUAJIIIIIIII
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nahisi utakuwa misinformed ..mtiririko upo hivi..Bila Ya US Kuendeleza Ugaidi Wake Unahisi Lingetokea Hili..
US =WAUAJIIIIIIII
Sent using Jamii Forums mobile app
Trumpet anawachezea wa Persia hawajui vizuri
Wale watu walikua wanaabudu MOTO
Sent using Jamii Forums mobile app