Hakuna lolote kaona aibu ile 48hrs deadline aliwapa Iran wala hawakuijali kujidai kaongea na Iran hahaha Trump akubali tu kashindwa vita mara ajidai Mujtaba Khomen hamtambui sa aliongea na nani au huyu Trump kichaa
Hakuna lolote kaona aibu ile 48hrs deadline aliwapa Iran wala hawakuijali kaona aibu kujidai kaongea na Iran hahaha Trump akubali tu kashindwa vita mara ajidai Mujtaba Khomen hamtambui sa aliongea na nani au huyu Trump kichaa
Taifa kubwa lina dhallilika.
Walidhani Irani ni sawa na Venezuela au Iraq.
Wamekutana na kisiki cha mpingo wameinua mikono juu, wanarudi kwao wakiwa na aibu kubwa.
Taifa kubwa lina dhallilika.
Walidhani Irani ni sawa na Venezuela au Iraq.
Wamekutana na kisiki cha mpingo wameinua mikono juu, wanarudi kwao wakiwa na aibu kubwa.
Nilichaka yule waziri wao wa National security alikuwa akigua majumba akiwajibu wa Israel walio kuwa wanamuambia wewe ndio sababu ya haya yote akajibu hivi hatukujua Iran iko very powerful hivi
Taifa kubwa lina dhallilika.
Walidhani Irani ni sawa na Venezuela au Iraq.
Wamekutana na kisiki cha mpingo wameinua mikono juu, wanarudi kwao wakiwa na aibu kubwa.
Halafu huyu Marekani ndio wanasema anaweza kupigana na Urusi?
Ndio maana analazimaisha NATO iendelee kutanuka kuelekea Urusi,kumbe anajua udhaifu wake.
Kakimbia kamwachia Israel na balaa lake.
Kama mbwa koko.
Baadhi ya Wabunge wa saneti tangu mwanzo walisema wanapigana vita vya Israel.Ukweli umedhihirika baada ya Trump kuona machoni pake.
Taifa kubwa lina dhallilika.
Walidhani Irani ni sawa na Venezuela au Iraq.
Wamekutana na kisiki cha mpingo wameinua mikono juu, wanarudi kwao wakiwa na aibu kubwa.