Trump Kakimbia Vita

Not that much simple as you are putting it! Ukweli utajulikana .....
 
Taifa kubwa lina dhallilika.
Walidhani Irani ni sawa na Venezuela au Iraq.
Wamekutana na kisiki cha mpingo wameinua mikono juu, wanarudi kwao wakiwa na aibu kubwa.
Halafu huyu Marekani ndio wanasema anaweza kupigana na Urusi?
Ndio maana analazimaisha NATO iendelee kutanuka kuelekea Urusi,kumbe anajua udhaifu wake.
 
Kakimbia kamwachia Israel na balaa lake.
Kama mbwa koko.
Baadhi ya Wabunge wa saneti tangu mwanzo walisema wanapigana vita vya Israel.Ukweli umedhihirika baada ya Trump kuona machoni pake.
 
IRAN KAFANYA SUPPLIES SANA KWENYE HII VITA, KAENDA PUMZI KWA PUMZI NA USA PAMOJA NA MSHIRIKA ISRAEL.

Sema big loss sana kwa viongozi na pamoja na Raia wake wamekufa sana na wanakufa sana so sad.
 
IRAN KAFANYA SUPPLIES SANA KWENYE HII VITA, KAENDA PUMZI KWA PUMZI NA USA PAMOJA NA MSHIRIKA ISRAEL.

Sema big loss sana kwa viongozi na pamoja na Raia wake wamekufa sana na wanakufa sana so sad.
Kwa hakika surprise ya Iran kwa trump sio ya mchezo!
 
Usiamini maneno ya wajomba wale.
Game theory.
Twanga Netflix Mossad hadi wafeel maumivu ya Palestine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…