Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,656
- 37,824
Katoa oda kesi ya Netanyahu sitaki kusikia.
Hakimu kaweweseka Kahairisha Kesi.
Rwanda na Congo wameitwa niwasaidiaje wakajieleza.
Akaulizwa Marekani unapata nini wakajieleza.
Kaahidi miundo mbinu na ndege kadhaa za kubeba malighafi kwenda wanapotaka.
Nasubiria Sudan.
Hakimu kaweweseka Kahairisha Kesi.
Rwanda na Congo wameitwa niwasaidiaje wakajieleza.
Akaulizwa Marekani unapata nini wakajieleza.
Kaahidi miundo mbinu na ndege kadhaa za kubeba malighafi kwenda wanapotaka.
Nasubiria Sudan.