EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,702
Rais wa Marekani Donald Trump ameionya Iran kwamba itaharibiwa iwapo vita vitazuka katika ya mataifa hayo mawili.
''Iwapo Iran inataka kupigana , huo nduo utakuwa mwisho rasmi wa taifa hilo'' , alisema katika jumbe wa Twitter siku ya Jumapili. ''Musijaribu kuitisha Marekani tena''.
Marekani imepeleka meli zaidi za kivita na ndege katika eneo la mashariki ya kati katika siku za hivi karibuni.
Ujumbe huo wa Twitter wa bwana Trump unaadhimisha kubadilika kwa msimamo baada ya jaribio la hivi karibuni la la kuficha uwezekano wa vita kati ya mataifa hayo mawili.
''Iwapo Iran inataka kupigana , huo nduo utakuwa mwisho rasmi wa taifa hilo'' , alisema katika jumbe wa Twitter siku ya Jumapili. ''Musijaribu kuitisha Marekani tena''.
Marekani imepeleka meli zaidi za kivita na ndege katika eneo la mashariki ya kati katika siku za hivi karibuni.
Ujumbe huo wa Twitter wa bwana Trump unaadhimisha kubadilika kwa msimamo baada ya jaribio la hivi karibuni la la kuficha uwezekano wa vita kati ya mataifa hayo mawili.
.