Trump Aonya Kuifuta Iran

Trump Aonya Kuifuta Iran

Lakini pia hata N.Korea alisema hivyo lakini mpaka sasa kiduku anazidi kupeta na makombora yake.
Kiduku hapeti wala cha nini juzi Kati tuu Marekani imekamata meli yake ikitaka kuuza makaa ya mawe. Nchi ya kidukuu ndio nchi iliyosalia kuwa maskini south east Asia kutokana kuwa adui wa Marekani. Watu hawana chakula watu Wana Njaa N.korea aligeika akiangalia pembeni kuna china , Japan, Singapore, Malaysia, phillipines, Thailand, Indonesia, . Kitu ataendelea kubaki na makombora yake pia umaskini Utaendelea kuitafuna nchi yake
 
Iran alikuwa mstari wa mbele kumuondoa Sadam Hussain. Kipindi hicho walikuwa marafiki na Marekani.ndio nchi pekee iliyoshiriki kutoka mashariki ya Kati kumuondoa Sadam Hussein directly kwa msaada wa Marekani. Hali ilivyo sasa Netanyahu, bin Salman, Mike Pompeo, Bolton wanataka kuingia vitani but Trump ndio hataki anahofia uchumi . Pamoja na hizi vita za kiuchumi Kati yake na Mchina. Akili ya Trump inawaza uchumi.
Hua nahici Iran ana kitu Cha ziada wanachokiogopa wamagharibi. Hivi Ni kwanini toka 79 wamarekani wameshindwa kuivamia Iran directly zaidi ya kumvimbisha sadam kichwabaipige Tehran. Napo hakufanikiwa.
 
UTANGOJEA MPAKA KITAKUJA KITUKUU KIKUSAIDIE KUNOJEA, MAANA NAFKIRI VIKWAZO KWA IRANI UMEVIKUTA TANGIA UZALIWE MKUU
Ilan alikuwa ana vijikwazo Ila sahizi kawekewa vikwazo kamili. Ilani miaka michache nyuma ilikuwa nchi ya pili kwa kuuza mafuta duniani . Vikwazo vya trump vilipunguza mwaka Jana na mwaka huu kawekewa vikwazo kamili . Kwamaana hata kuwa na uwezo wa kuuza hata tone la mafuta. Pia Trump yupo njiani kumuongezea vikwazo asiweze kuuza bidhaa zingine zozote zile . Hii imepelekea uchumi wa Iran kuporomoka kuliko kipindi chochote katika historia pia hela Yao imeendelea kupoteza thamani kila kukicha .
 
Hii habari iko outdated,maana taarifa za karibuni ni kuwa eti marekani wanajifaragua kuwa kwasasa tishio la iran limepungua sana,hii baada ya kuona iran hajatetereka kivile,
hayo maneno ya Trump aliyatamka kama siku nne zimepita baada ya wanamgambo wa iran walioko iraq,kufurumsha roketi karibu na ubalozi wa iran,
taarifa za karibuni ni kuwa marekani kwasasa wamesarenda kiutu uzima baada ya kuona iran yuko tayari kwa lolote wakati Trump kiuhalisia hana nia na vita zaidi ya kupiga mkwara kama ule wa north korea mwaka jana
 
Jamaa anaweza akaamka tu leo akaamua anapitisha makombora yake kwenye anga la japan,ving'ora vinalia wajapan wanaishia kujificha kwenye mahandaki.

Keshokutwa mkewe akimuudhi anarusha makombora yake kupitia anga ya South Korea.
Lakini pia hata N.Korea alisema hivyo lakini mpaka sasa kiduku anazidi kupeta na makombora yake.
 
Trump baada ya kupampiwa na Netanyahu alianza mkwara eti kuna tishio la iran kubwa kwahiyo anapeleka aircraft carrier,wakati ukweli ni kuwa aircraft carrier pale mda mwingi huwa zinarotate,na hii iliyokuja ilikuja kuitoa USS stenis,iran wakasema haijalishi kwao aircraft carrier sio tishio bali ni target,wamarekani kuona wako hatarini kupoteza marine zaiidi ya 5000 kwa mpigo wakaona isiwe tabu,aircraft carrier ikaogopa kuingia persian gulf ikabaki bahari ya oman,kwani pale gulf ni pafinye kikinuka hilo limeli linaweza kunaswa humo na ikawa hasara kubwa kwa US
 
Upuuzi wa mambo ya jeshi wanakufaga watoto wa maskini tu huko vitani,wkt watoto wa Wanasiasa wao wanafanya ma biashara tu mara wako wall street wengine Silicon valley huko.,unaishia kuitwa tu ooh ulikufa kwa ajili ya uzalendo sijui nini.

Ndio maana Trump alizuga anaumwa kipindi kile cha vita vya vietnam ili asipelekwe huko Vitani.
Yule jamaa alikua mwanajeshi na baba yake Bush senior alipigana vita vya 1991 vs Iraq
 
marekani kuona mkwara hautoshi,wakasema wamepokea intelligence toka israel kwamba magaidi wa iran wako tayari kushambulia askari wa marekani iraq,pompeo akatua iraq kuwapa maneno makali bila kujua kuwa iraq ya leo na irani ni chanda na pete,marekani akasema analeta B-52 nuclear capable bomber kukabiliana na iran,bomber zikatua Qatar,
iran akasema nchi yeyote itakayokubali kutumiwa na marekani kushambulia iran,itakuwa target,kwa msisitizo makomandoo wa iran wakahujumu meli nne za mafuta karibu na UAE kama message sent,
halafu houthi wa yemen,wakambulia bomba la mafuta la saud arabia kwa drone kama message sent kuwa kama iran haitauza mafuta basi kila mtu hauzi mafuta,
marekani akapotezea kiutu uzima
 
marekani kuona mkwara hautoshi,wakasema wamepokea intelligence toka israel kwamba magaidi wa iran wako tayari kushambulia askari wa marekani iraq,pompeo akatua iraq kuwapa maneno makali bila kujua kuwa iraq ya leo na irani ni chanda na pete,marekani akasema analeta B-52 nuclear capable bomber kukabiliana na iran,bomber zikatua Qatar,
iran akasema nchi yeyote itakayokubali kutumiwa na marekani kushambulia iran,itakuwa target,kwa msisitizo makomandoo wa iran wakahujumu meli nne za mafuta karibu na UAE kama message sent,
halafu houthi wa yemen,wakambulia bomba la mafuta la saud arabia kwa drone kama message sent kuwa kama iran haitauza mafuta basi kila mtu hauzi mafuta,
marekani akapotezea kiutu uzima
Mara nyingi huwa nakuamini saana hasa kwenye taarifa za middle East lkn this time
Let me tell you UMECHAGUA UPANDE WA KUSHINDWA

USA hawezi kumuogopa IRAN japo najua kama hii vita itatokea middle East haitokalika lkn hitimisho Iran itakiona cha mtema kuni
 
Mara nyingi huwa nakuamini saana hasa kwenye taarifa za middle East lkn this time
Let me tell you UMECHAGUA UPANDE WA KUSHINDWA
USA hawezi kumuogopa IRAN japo najua kama hii vita itatokea middle East haitokalika lkn hitimisho Iran itakiona cha mtema kuni
mkuu sijawahi kusema iran ataipiga marekani,marekani iko mbali mno na iran,iran haina force projection ya kuifikia US mainland,nachosema madhara ya vita hivyo ndo yanaifanya marekani kusita kwani ni wazi watapoteza askari wengi,ndege na manowari,bado visima vya mafuta vingi vitalipuliwa,bei ya petrol itakuwa juu,na wamarekani watampiga chini Trump,sio suala la kusimama na mshindi ni swala la principal,siezi kushabikia marekani eti kwa sababu ina manguvu ya kijeshi naangalia zaidi haki ilipo
 
kwa ambao hamjui lile bomba la mafuta la saudi lililopigwa na drone za yemen,liko kwenye red sea,haliko strait of hormuz,kwa maana kuwa hili bomba ndo lilipangwa kutumika kama alternative option iwapo strait of hormuz itafungwa wakati wa vita,hiyo ilikuwa warning kwa saud arabia kuwa endapo itazuka vita,iran watahakikisha saud arabia,UAE,qatar,bahran hadi kuwait hawatauza mafuta,
uchumi wa marekani uinategemea petrodollar,kitendo cha mafuta kutouzwa ndani ya wiki tu,uchumi wa marekani utakuwa hoi,marekani anachimba mafuta lakini yuko mbali na ulaya lilipo soko,meli ya mafuta itatumia zaidi ya mwezi kufika ulaya,wakati mrusi yeye anapampu mafuta kwa pipeline,
hivi vita vitaifaidisha Russia zaidi kuliko marekani mara elfu
 
Kwani Iran kamkosea nini USA,ninachojua ni uchaguzi wa Israel ndio uliamsha hili joto la mapambano .
Vita itatokea ili Trump kutengeneza legancy ya Us
SA KUWA NI SUPERPOWER.
 
marekani hatokaa apatane na iran,juu bado marekani hawajasamehe iran walivyompindua shah na kuteka ubalozi wake na pia tukio la beirut miaka ya themanini
 
Back
Top Bottom