Smart boy Shewedy
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 3,725
- 3,516
Hahahahahaha
Jamaa anaweza akaamka tu leo akaamua anapitisha makombora yake kwenye anga la japan,ving'ora vinalia wajapan wanaishia kujificha kwenye mahandaki.
Keshokutwa mkewe akimuudhi anarusha makombora yake kupitia anga ya South Korea.