wanachonishangaza muslims kwa watu wengne wanapenda wapewe haki wakati nchini kwao haki kwa watu wa iman tofauti hawatoi, mtu akisilim ni vizur ila akichange toka uislam anastahil kuuliwa kwan nyinyi nchi zote duniani mmeiyona marekani tu,nenden ata somalia mkipenda mbna hamuendi wakat kule ndo kna sharia mnayoitaka