USA mlionea sana Nchi ndogo,
Yemen wana hali mbaya,yaani USA na Saudi Arabia wameivuruga Yemen,sasa hivi wanamlipuko mkubwa wa kipindupindu na wana mlipuko wa Corona,wauguzi wanao wachache na hawana vifaa vya kutosha vya kujikinga na Corona wala kipindupindu.Sasa hivi Syria, Somalia, Yemen n.k wanapumua kidogo kwa kuww Beberu wa Mabeberu Comrade Covid 19 anakamua kichizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajitoe UN ama Asitishe Msaada kama Alivyoamua Kufanya kwa WHO Ama Hizo taasisi zote zivunjweChina aache ujanjaujanja atoe mpunga. Trump anataka china atoe mchango wa maana WHO kwa faida ya makapuku ya nchi za dunia ya tatu, lakin ajabu makapuku yenyewe yanatoa povu kukashifu bila kujua yenyewe ndo yanatetewa , wengine wameshameza ARV zao saafi wakisubiri na kesho tena wameze bila kujua zinatoka wapi
Trump ni mtetezi wa wanyonge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu markani maji ya shingo saiviUSA imekuwa mbwa koko ..... Hawapati usingizi kwaajili ya China.... China wana wapeleka msobe msobe sana hadi wanatia huruma
Yemen wana hali mbaya,yaani USA na Saudi Arabia wameivuruga Yemen,sasa hivi wanamlipuko mkubwa wa kipindupindu na wana mlipuko wa Corona,wauguzi wanao wachache na hawana vifaa vya kutosha vya kujikinga na Corona wala kipindupindu.
Pata picha wanayo yapitia wana matatizo ya vita,Corona na kipindupindu sasa ukisikia watu wanaishi kwa nguvu ya Mungu ndio hawa.
US chini yayule bwege imekua Taifa laajabu sana aseee
Ajitoe UN, asitishe msaada, ama taasisi zivunjwe!, kwa maneno yako haya ni dhahiri kabisa wewe ndo hujajaliwa akili timamu.Ajitoe UN ama Asitishe Msaada kama Alivyoamua Kufanya kwa WHO Ama Hizo taasisi zote zivunjwe
Turampet hajajaaliwa akili timamu
Sent using My COVID-19
Basi kama hawezi akaekimya anapiga kelele zanini sasa nakama anapiga kelele halafu WHO na UN anaowashtumu wakiwa wanaendelea Kubase upande wa UCHINA kama anavyodai itakua imesaidia nn ?!?!Ajitoe UN, asitishe msaada, ama taasisi zivunjwe!, kwa maneno yako haya ni dhahiri kabisa wewe ndo hujajaliwa akili timamu.
Sent using Jamii Forums mobile app