Trump aitoa iraq kwenye list ya nchi zilizozuiliwa raia wake kuingia USA

mwaminifuhalisi

JF-Expert Member
Feb 26, 2017
329
412
Baada ya amri yake ya awali kugonga mwamba trump amepitia upya na kuja na order ambayo kwa sasa alisaini akiwa private na si kwenye public kama ilivyokuwa awali.

Nchi za Iran, Somalia, Sudan, Yemen, Syria and Libya
Raia wake watazuiliwa kupewa viza kwa siku 90 wakati wanausalama wakitafuta namna iliyo bora ya kufanya ukaguzi.

Wakimbizi wa Syria wamepunguziwa ban ya kuingia USA na kwa sasa watasubiri siku 120.

pia order mpya imewatoa wale watu ambao kwa sasa wana visa za kuingia nchini humo.
https://www.nytimes.com/2017/03/06/us/politics/travel-ban-muslim-trump.html?_r=0
 
Donald Trump hivi punde amesaini tena kusitishwa kwa visa za nchi sita. Safari hii Iraq haimo na pia tofauti ni kwamba, watu wenye hati halali za kuishi kutoka nchi hizo 'Green Card' hawatohathirika. Wananchi wa Iran, Libya, Syria, Somalia, Sudan na Yemen watahusika na amri hii.

 
ndio maana sizonje hataki kwenda maana anaweza kuswekwa ndani kuteua watu wenye bashite kwenye matokeo plus forgery
 
Back
Top Bottom