publito
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 611
- 723
Kufa kufaana, tatizo wanaficha sura zao tunakuwa hatuwaonivita si jambo la kufurahia,ila dah tutapata mademu wa kiiran (wakimbizi)
Kufa kufaana, tatizo wanaficha sura zao tunakuwa hatuwaonivita si jambo la kufurahia,ila dah tutapata mademu wa kiiran (wakimbizi)
Alivyobweka Kamanda wa Iran akatunguliwaTrump ni kama jibwa flan ambalo linabweka kupima upepo.....
Kitakachotokea wakiingia kwenye vita na Iran itakua zaidi ya walichokipata VIETNAM, mark my fu**ng words.
Raia wa Iran wao hawatapata shida sioDah mm nawa hurumia raia wa mataifa yenye vituo vya kijeshi vya marekani maana Iran itayaharibu vibaya sana.
Mimi ngoja nisubiri vita itokee tuanze kupokea wakimbizi kutoka saudia, Dubai, Qtar, Kuwait ili nijichagulie toto la kiarabu nivutie ndani.
Ni haki yao waumie kwa sababu wanaumia kwa ajili ya taifa lao sasa unataka kiniambia raia wa Kuwait au Qatar waumie wakati vita haiwahusu.
Mtu kama wewe ni wakusikitikiwa na kuonewa huruma tu,unakurupuka kuchangia bila hata kujua unachangia kitu gani! Nani kakuambia kua Iran ni waarabu?
So,kumbe wewe unachangia humu ili kuridhisha watu tu?
So,kumbe wewe unachangia humu ili kuridhisha watu tu?
Upo sahihi kabisa coz unachochangia labda kisomwe na mimea tu na sio watu coz unajiandikia tu ili mradi nawe usisahauliwe kua umo humu JF.
Sawa,naona ww unaandika ili usahauliwe hapa jfUpo sahihi kabisa coz unachochangia labda kisomwe na mimea tu na sio watu coz unajiandikia tu ili mradi nawe usisahauliwe kua umo humu JF.
False Prophet at work.Trump ni kama jibwa flan ambalo linabweka kupima upepo.....
Kitakachotokea wakiingia kwenye vita na Iran itakua zaidi ya walichokipata VIETNAM, mark my fu**ng words.