Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,623
- 8,426
Donald Trump amesema kuwa Marekani imetumia Dola Trillioni 2 kwa ajili ya Vifaa vya Kijeshi. Na kuongeza kuwa wao ni bora zaidi Duniani
Ameonya kuwa iwapo Iran itashambulia kituo chochote cha Kijeshi cha Marekani au Raia yeyote wa Marekani basi hawatasita kutumia vifaa hivyo
Ameonya kuwa iwapo Iran itashambulia kituo chochote cha Kijeshi cha Marekani au Raia yeyote wa Marekani basi hawatasita kutumia vifaa hivyo