True: Uso kwa uso na nyoka msalani

Hawa waliotahiriwa hospitalini wana tabu...sisi wa jandoni ndio kwanza ningepiga vigere gere kucheza nae sindimba.......yaani huyo nyoka huko alipo anacheka mpaka kavunjika mbavu....
Hii coment yako imenifanya nicheke zaidi ya huyo nyoka huko aliko.
 
Gari nje
Choo cha shimo a.k.a chubwiiiiii unakiachia unakwepa kidogo vimaji visikurukie.
Anyway uza gari ujenge choo.
 

Mkuu miaka ya 1992-1993 niliwahi kuishi maeneo ya G/mboto Mzambarauni njia ya kuelekea machinjoni. Pale nyimbani kulikia na MRI wa mkorosho, make Wang alikuwa mjamzito, cku moja asubuhi ameingia chooni akakuta nyoka amejiviringisha kwenye Yale matofali ya kwenye shimo la chooo!! Sikwenda kazini cki hiyo!!!! Nilimwaga galoni nzima ya mafuta ya taa ndani ya like shimo la choo. Then nikachukuwa pangs na kit I, nikaa Mira kama 5 hivi kutoka chooni. Baada ya kama dakika 15 hivi nyoka walianza kutoka chooni mmoja baada ya mwingine!!!! Kazi yangu ilikuwa kuwakata vichwa tu!! Nilikata saba, wakawa wameisha.
 
Safisha mazingira kuzunguka nyumba.
Je jirani zako hawafugi mapori?
Hiko choo mkiweke tiles sio rafiki sana na hao watembelea tumbo

Waweke na ngazi...yaani kisiwe level na ground...
 
Nyie vijana Wa siku hizi oya oya sana sasa kimjusi kimekukatasha haja kweli? Sie wenzenu kibakwe tunalala na anaconda chini ya kitanda bila hofu
 
Nyie vijana Wa siku hizi oya oya sana sasa kimjusi kimekukatasha haja kweli? Sie wenzenu kibakwe tunalala na anaconda chini ya kitanda bila hofu
Hahaha mkuu mpaka sasa hivimchana Hakuna aliyeingia chooni hata mmoja
 
Aisee blaza ulitisha!
Nginjanginja na gogo mpaka kwa mafundi wakusaidie!
Duh kweli nyoka ni laana kabisa!
 
Chukua nguo chakavu zimwagie mafuta ya taa halafu zichome kama yupo atatoka.Pole sana
 
Safisha mazingira kuzunguka nyumba.
Je jirani zako hawafugi mapori?
Hiko choo mkiweke tiles sio rafiki sana na hao watembelea tumbo
Wakati mwingine nyumba inaweza kuwa na tiles na bado nyoka akaingia ndani.....cha msingi asafishe mazingira tu na km kuna uwazi mdogo tu huyo nyoka hawezi kukaa humo nae anaogopa watu........mi wife ameshawahi kupambana nae sebuleni na tiles ilikuwepo kipindi mi nipo kazini.
 
Bora yako kuna mwenzio kachutama nyoka kumbe wanafukuzana basi akatumbukia penye tigo ya jamaa kwa ile taharuki jamaa akawa amembana nyoka kichwa kutoka msalani mbio anapiga kelele asaidiwe watu wakitizama wanamuona jamaa ana mkia basi nao mbio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…