ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,803
- 60,649
mama watoto wako sijui aliogopaje kama baba ni hivi!Wakuu habari za majukumu
Jana mida ya sa 11 jion nimekutana na kimbwanga sio kidogo, nilikua najisaidia chooni (ni cha shimo kipo nje). Ile nimeingia tu kusema nichuchumae nifanye yangu, la haulaaa!!! Kumbe kulikua na nyoka amejificha nyuma ya Mlango sikumbuki rangi yake kutokana na kupagawa ila size yake ya kawaida sio mkubwa kivile . Nilimwona tu akafanya kama anajibana ukutani, mimi nikapiga kelele (mama weeeeeh).. Bahati nzuri hakuniuma ila alirusha kitu kwa juu nadhani ndo sumu yenyewe uzur na yenyewe ikanikosa nilipoona kachelewa timing me huyo ni kakimbia kuelekea nje speed speed..nikaupigiza Mlango japo niliumia kidole kwenye ngazi za kuingilia chooni nikamfungia kwa ndani Muda huo huo kulikuwa na mafundi kwa nje wanatengeneza gari nikawaita haraka tukaue nyoka tumeingia chooni tumemtafuta tumemkosa. Mazingira ya nyumbani sio rahisi kwa kweli nyoka kuingia ndani hata ya get la nyumba. Basi kama unavojua waswahili sisi wapana hatuna dogo wakaja watu tumewaambia wamehusanisha tukio na imani za kishirikina. Nimekosa amani kwa kweli
Wajuvi wa mambo hizo niambieni kama ni tukio la kawaida au laaah
Kinachonisumbia zaid ni jinsi nyoka huyo alivopotea kimagendo. Watu wote tumeshangaa tu najiuliza ina maana karudi ndani ya shimo au na ndipo ilipo maskani yake kwenye kinyesi??????? Maswali mengi no ufumbuzi na Watoto wa nyumbani wameogopa kuingia toilet wanaenda kwa jiran
Kina mshana Jr haya sio mambo yenu kweli ya kigiza giza
hahahaaaa hahahaaa mbavu zangu mmHawa waliotahiriwa hospitalini wana tabu...sisi wa jandoni ndio kwanza ningepiga vigere gere kucheza nae sindimba.......yaani huyo nyoka huko alipo anacheka mpaka kavunjika mbavu....
Mkuu unaongea tu kufurahisha mdomo. Lazma ungeogopa tu mazingira ya chooni sio rafiki kupambana nae Hakuna silaha mule Hakuna hata jiwe. NingeazajeHawa waliotahiriwa hospitalini wana tabu...sisi wa jandoni ndio kwanza ningepiga vigere gere kucheza nae sindimba.......yaani huyo nyoka huko alipo anacheka mpaka kavunjika mbavu....
Hahahah dahhpole sana mkuu ko ulikimbia na gogo kuntu
Nenda kamalizie kunya wewe....kwa hiyo jana yote ulivaa pampasi maana kwa ulivyohamaki lazima gogo ulilikata kipisi.....Nilitahamaki mpaka sikuona tena umuhimu wa kujisaidia nimekuja kubanwa na haja tena leo asubuhi
Mdau umetisha sana..Hawa waliotahiriwa hospitalini wana tabu...sisi wa jandoni ndio kwanza ningepiga vigere gere kucheza nae sindimba.......yaani huyo nyoka huko alipo anacheka mpaka kavunjika mbavu....
Mimi binafsi nilishawahi kutokewa na tukio kama lako....sasa mimi ilikuwa ni king cobra....ilikuwa one on one chooni.......nilicheza sebene mpaka nikammaliza.....ni mbinu ndogo sana na utulivu wa hali ya juu unatakiwa unapotokewa na tukio kama hilo....ulichokosea wewe ulipanick sana na nyoka akatumia nafasi hiyo kukufanyia counter attack....Mkuu unaongea tu kufurahisha mdomo. Lazma ungeogopa tu mazingira ya chooni sio rafiki kupambana nae Hakuna silaha mule Hakuna hata jiwe. Ningeazaje
Eti eeh ipo siku atakufumania kwenye angle yake ambayo huwez kujidai ndo utajua kama ni uoga au ndivo ilivoIla blazaaa wewe muoga kisenge, una kimbia kinyoka kidogo tu!?
hicho choo mkimwagie mafuta ya taa atatoka mwenyewe. otherwise siku unakata gogo unagonjwa kwenye kalio lazima ufeWakuu habari za majukumu
Jana mida ya sa 11 jion nimekutana na kimbwanga sio kidogo, nilikua najisaidia chooni (ni cha shimo kipo nje). Ile nimeingia tu kusema nichuchumae nifanye yangu, la haulaaa!!! Kumbe kulikua na nyoka amejificha nyuma ya Mlango sikumbuki rangi yake kutokana na kupagawa ila size yake ya kawaida sio mkubwa kivile . Nilimwona tu akafanya kama anajibana ukutani, mimi nikapiga kelele (mama weeeeeh).. Bahati nzuri hakuniuma ila alirusha kitu kwa juu nadhani ndo sumu yenyewe uzur na yenyewe ikanikosa nilipoona kachelewa timing me huyo ni kakimbia kuelekea nje speed speed..nikaupigiza Mlango japo niliumia kidole kwenye ngazi za kuingilia chooni nikamfungia kwa ndani Muda huo huo kulikuwa na mafundi kwa nje wanatengeneza gari nikawaita haraka tukaue nyoka tumeingia chooni tumemtafuta tumemkosa. Mazingira ya nyumbani sio rahisi kwa kweli nyoka kuingia ndani hata ya get la nyumba. Basi kama unavojua waswahili sisi wapana hatuna dogo wakaja watu tumewaambia wamehusanisha tukio na imani za kishirikina. Nimekosa amani kwa kweli
Wajuvi wa mambo hizo niambieni kama ni tukio la kawaida au laaah
Kinachonisumbia zaid ni jinsi nyoka huyo alivopotea kimagendo. Watu wote tumeshangaa tu najiuliza ina maana karudi ndani ya shimo au na ndipo ilipo maskani yake kwenye kinyesi??????? Maswali mengi no ufumbuzi na Watoto wa nyumbani wameogopa kuingia toilet wanaenda kwa jiran
Kina mshana Jr haya sio mambo yenu kweli ya kigiza giza