UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,585
- 1,883
Hey guys wazima, Hopefully mko vizuri,
Well kuna kisa kimetokea ndani ya family yetu ni mambo ya kifamilia zaidi but kuna wakati it's better ukipata infinity thinking, ukipata ushauri kwa watu wenye kuona jambo flani tofauti kabisa na unavyofikiri au kutaka kulifanyia maamuzi.
Well katika uzazi wa mama yangu tumezaliwa wawili yani dada angu ameshaolewa na mimi tayari nimeoa infact kila mmoja ana mji wake ila mzee wetu alifariki muda kidogo.
Sasa mimi kama mtoto wa kiume ilikua ukiachilia shughuli zangu za mwajiri Nilikua na jukumu la kusimamia miradi yote ya familia sababu mama yangu umri umeenda sana so nikawa na total authority in everything so na play part kama baba mwenye nyumba mpaka Leo hii.
Miaka flani huyu jamaa ambae ni shemeji yangu(mume wa dada angu) alikua very good guy mwenye positive vibes na I felt proud kua nae.
Kama kukiwa na tatizo tulikua tunapeana ushauri na kutatua bila shida yoyote tuliishi hivyo tukitembeleana.
Sasa 2 yrs ago huyu shemeji yangu alinifata private akaniomba nimuazime some amount ni kubwa sana, binafsi nilistuka sana but kwa kua tumekua na taratibu za kusaidiana mara kwa mara (haikuwai kuwa money oriented) nilihoji kulikoni bwana shemeji mbona pesa nyingi hivi infact haikua easy but nilitoa nikijua simsaidii yeye tu bali na dada angu pia. Hiyo ikapitaa ikabaki kuwa kati yangu mimi na yeye nikiamini atazirudisha kwa heshima yangu kwake.
Sasa wakati tunaendelea na mvutano wa hapa na pale sikupenda kumfanya akose amani au ashindwe kutembelea kwangu sababu ni taratibu tuliojengea tangu day 1.
Nikiwa bado sijarudishiwa pesa yeyote nikasikia kua jamaa amekua promoted kazini alikua anatumia Gari ya kawaida tu Toyota Rav 4 L lakini sasa ameongeza gari nyingine mbili BMW X5 na discovery 3. Binafsi sikuongea lolote nilitoa ongera lakini moyoni sikua sawa sababu ever since nimpe such a big amount mpaka anunue hizo gari ni mwaka na miezi miwili.
Wakati maisha yanaendelea niliona siku niulize bwana shemeji vipi mbona kimya ule mzigo wetu?, akawa anadai mambo magumu lakini atajitahid baada ya mwezi anipatie atlist nusu amount nilikubali Japo Tayari nilikua nimekerwa Japo sikuonesha sikupenda kuvunja uhusiano wetu kama jamaa.
Muda umeshapita jamaa ananipiga chenga nyingi sana. Sasa miezi kama minne imepita tangu bomoabomoa ya Morogoro road ianzee na nyumba ya wazazi wake ikawa imebomolewa hiyo ndio ikawa kama pushing factor kibinadamu nikanyamaza sikusema lolote.
Sasa kilichonisukuma kuandika hapa ni hii mfarakano ambao upo ndani ya family yetu yani ni wazi huyu ndugu yangu anashikwa akili aje kuleta hoja za kipuuzi nyumbani naita za kipuuzi sababu mtu mwenye akili timamu hawezi leta hoja hizo.
Sasa ikawa sister amekuja kumfata Bi Mkubwa akamwambia kua wamekwama wanahitaji financial support waweze kulipa madeni wanadaiwa bank mambo yakienda vizuri watarudisha. Sasa bi mkubwa akaniita akawa anasema ndugu yako anahili na hili embu umskilize asije akaadhilika, mimi ikabidi nicheke nikasema tu sawa ngoja nione kwa kiasi gani naweza saidia ila wanipe muda kidogo, bi mkubwa akasisitiza sana akaenda mbali kua nisimdharau kwa kua she's a woman ila ni ndugu yangu pia.
Niliumizwa na maneno ya mama mzazi na sikutaka ajue kua tuna kitu kinaendelea kwa sisi watoto wakiume, sio hilo tu wakati mwengine napata feeling kua huyu dada angu hujui kinachoendelea but anatumika tu.
Sasa emb waungwana naombeni ushauri wenu tafadhali nifanyaje niweke mambo adharani? Nigome kusaidia au nimuite huyu jamaa shemeji yangu? Well nifanyaje maana naona kama dada angu anatumika wakati mwingine.
Please positive vibes thanks!
Well kuna kisa kimetokea ndani ya family yetu ni mambo ya kifamilia zaidi but kuna wakati it's better ukipata infinity thinking, ukipata ushauri kwa watu wenye kuona jambo flani tofauti kabisa na unavyofikiri au kutaka kulifanyia maamuzi.
Well katika uzazi wa mama yangu tumezaliwa wawili yani dada angu ameshaolewa na mimi tayari nimeoa infact kila mmoja ana mji wake ila mzee wetu alifariki muda kidogo.
Sasa mimi kama mtoto wa kiume ilikua ukiachilia shughuli zangu za mwajiri Nilikua na jukumu la kusimamia miradi yote ya familia sababu mama yangu umri umeenda sana so nikawa na total authority in everything so na play part kama baba mwenye nyumba mpaka Leo hii.
Miaka flani huyu jamaa ambae ni shemeji yangu(mume wa dada angu) alikua very good guy mwenye positive vibes na I felt proud kua nae.
Kama kukiwa na tatizo tulikua tunapeana ushauri na kutatua bila shida yoyote tuliishi hivyo tukitembeleana.
Sasa 2 yrs ago huyu shemeji yangu alinifata private akaniomba nimuazime some amount ni kubwa sana, binafsi nilistuka sana but kwa kua tumekua na taratibu za kusaidiana mara kwa mara (haikuwai kuwa money oriented) nilihoji kulikoni bwana shemeji mbona pesa nyingi hivi infact haikua easy but nilitoa nikijua simsaidii yeye tu bali na dada angu pia. Hiyo ikapitaa ikabaki kuwa kati yangu mimi na yeye nikiamini atazirudisha kwa heshima yangu kwake.
Sasa wakati tunaendelea na mvutano wa hapa na pale sikupenda kumfanya akose amani au ashindwe kutembelea kwangu sababu ni taratibu tuliojengea tangu day 1.
Nikiwa bado sijarudishiwa pesa yeyote nikasikia kua jamaa amekua promoted kazini alikua anatumia Gari ya kawaida tu Toyota Rav 4 L lakini sasa ameongeza gari nyingine mbili BMW X5 na discovery 3. Binafsi sikuongea lolote nilitoa ongera lakini moyoni sikua sawa sababu ever since nimpe such a big amount mpaka anunue hizo gari ni mwaka na miezi miwili.
Wakati maisha yanaendelea niliona siku niulize bwana shemeji vipi mbona kimya ule mzigo wetu?, akawa anadai mambo magumu lakini atajitahid baada ya mwezi anipatie atlist nusu amount nilikubali Japo Tayari nilikua nimekerwa Japo sikuonesha sikupenda kuvunja uhusiano wetu kama jamaa.
Muda umeshapita jamaa ananipiga chenga nyingi sana. Sasa miezi kama minne imepita tangu bomoabomoa ya Morogoro road ianzee na nyumba ya wazazi wake ikawa imebomolewa hiyo ndio ikawa kama pushing factor kibinadamu nikanyamaza sikusema lolote.
Sasa kilichonisukuma kuandika hapa ni hii mfarakano ambao upo ndani ya family yetu yani ni wazi huyu ndugu yangu anashikwa akili aje kuleta hoja za kipuuzi nyumbani naita za kipuuzi sababu mtu mwenye akili timamu hawezi leta hoja hizo.
Sasa ikawa sister amekuja kumfata Bi Mkubwa akamwambia kua wamekwama wanahitaji financial support waweze kulipa madeni wanadaiwa bank mambo yakienda vizuri watarudisha. Sasa bi mkubwa akaniita akawa anasema ndugu yako anahili na hili embu umskilize asije akaadhilika, mimi ikabidi nicheke nikasema tu sawa ngoja nione kwa kiasi gani naweza saidia ila wanipe muda kidogo, bi mkubwa akasisitiza sana akaenda mbali kua nisimdharau kwa kua she's a woman ila ni ndugu yangu pia.
Niliumizwa na maneno ya mama mzazi na sikutaka ajue kua tuna kitu kinaendelea kwa sisi watoto wakiume, sio hilo tu wakati mwengine napata feeling kua huyu dada angu hujui kinachoendelea but anatumika tu.
Sasa emb waungwana naombeni ushauri wenu tafadhali nifanyaje niweke mambo adharani? Nigome kusaidia au nimuite huyu jamaa shemeji yangu? Well nifanyaje maana naona kama dada angu anatumika wakati mwingine.
Please positive vibes thanks!