Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,474
- 13,644
Vigezo na Masharti kuzingatiwa 😂Jamaa anasema ataendelea, ila sio Leo wala kesho 😅😅
Vigezo na Masharti kuzingatiwa 😂Jamaa anasema ataendelea, ila sio Leo wala kesho 😅😅
Nimesusa sitaki kusikia yunge wala mage
we fala nimechekaa
Mbona nimekutag sehemuJamani kama kuna simulizi nyingine yoyote naomba mnitag alosto is real
Hii part nikikumbuka nacheka sana, unajua usimuliaji wa Analyse hauchoshi hasa kwa mpenda kusoma article ndefuUliniacha hoi pale ulipofika home na mama MTU mzima halafu bi mkubwa akahisi umekuja kumtambulisha mchumba home mpaka bi mkubwa akazimia.
Pamoja sana master 👊👊Hii part nikikumbuka nacheka sana, unajua usimuliaji wa Analyse hauchoshi hasa kwa mpenda kusoma article ndefu
Ndio maana namwita the genius, yuko na vionjo vya kunogesha story acha kabisa. Mpangilio mzuri wa matukio mfano pale mwenge alipostrugle kupishana na yule mtu hii situation inamkuta kila mtu in real life
Hongera zake.
Shida ya jf dear yan notifications sometimes yes sometimes no....ngoja nikapasakeMbona nimekutag sehemu
Mzee mnyanduziPamoja sana master![]()
😂😂😂 kama steve alileta mwendeleo yaan nishasahau alipoishiawe fala nimechekaa
Shida ya jf dear yan notifications sometimes yes sometimes no....ngoja nikapasake
kama steve alileta mwendeleo yaan nishasahau alipoishia

Achana na Steve mwendelezo baada ya week yule mtu ameshindikanaWaache tu aiseeAchana na Steve mwendelezo baada ya week yule mtu ameshindikana
Nahisi hawa jamaa wanangoja comments ili warekebishe nyuzi zao,kiukweli story zao za uongo uongoitabidi tuandae kampeni ya kufuta nyuzi humu, mods wakiona watu wanalalamika wafute tu ili wote tukose.
hivi mtu kama wa safari ya kitchanga mji ulioyekwa na m23 kwanini uzi bado upo.
mtu kama umughaka anavyotutesa.
jumlisha huyu dah nachoka.

Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha ‘Stasahau’ cha Radio Free Africa enjoyJamani kama kuna simulizi nyingine yoyote naomba mnitag alosto is real
Hii nimemaliza tayar mkuu
Uko vizur mi ndio nimeianza,Hii nimemaliza tayar mkuu
Kuna SteveMollel UMUGHAKA na huyu nyuzi zao mpaka ziishe ndo ntazisoma,sjui wanatuchukuliaje?kwani kina DeepPond Analyse hawana matatizo,mbona huwa wanatoa taarifa kbs?Ila hz mbuzi nyingine![]()


mbuzi