True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Nakupa masaa 72 uwe umeweka kisa kingine. Familia , familia... Kwani nani hana familia? Acha hizo habari. Wananchi wanataka uwape kisa kingine nakushauri ufanye hivyo NISIJE NIKAFANYA KAMA AMBAVYO NLIWAHI MFANYIA MEMBER MMOJA HUMU NDANI.
 
Acha mkwara wa mchana kweupe wewe, kama nikuwa stori ya kipuuzi naiwe tu, sio kutegana vimitego vya kitoto kama hiki ulichotega hapa.
Twende pole pole mkuu wameanza kukwelewa hawa haters.😅😅😅

I still recommend,
Go slowly with the story while doing your daily activities.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom