Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Kweli kabisando hivo shosti
Kweli kabisando hivo shosti
Nipo hapa.hata mimi napenda wazee sana .vijana hawa pasua vichwa
hawana stress yoyote ni kazi tu na maishaHahaha
Wazee hawana makuu kabisaa..
Umeonaeehawana stress yoyote ni kazi tu na maisha
Kwa kweli simtaki mie hata hisia nao huwa sinaKwanini? Mtu anayekujua kwa undani(rafiki) ni mzuri saana.
Kweli mkuusiku hizi hakuna mapenzi.wanaume wanataka mwanamke mrembo,aliesoma ,alietoka familia tajiri kabila flani ,mwenye kazi. nk.wanawake nao wanataka pesa hata kama ni za ujambazi,ushirikina ,madawa ya kulevya hawajali. moyo umeachwa usukume damu tu hakuna jingine
ukipata naomba unielekeze wanakopatikanaMimi simtaki tunaejuana tangu utotoni, hata tuliosoma wote simtaki, nikimpata mzee nitafurahi sana
Usijali nitakutonyaukipata naomba unielekeze wanakopatikana
Nishawasahau mieRafiki yako wa kombolela umempotezea wapi