Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Hili la gesi akina sisi tulisema humu ni wizi mtupu wa mchana kweupe!, hakuna aliyesikia
Gesi asili: Is it "day light robbery?!" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
Tulipokopeshwa mkopo wa Exim bank wa US $ 1.2 bilion tukaambiwa interest ni low, just 1% na tukapewa a grace period of 20 years!, watu tukasema humu kuwa hicho ni kiini macho, watu hawakusikia hadi leo aseme CAG
Bomba la Gesi Mtwara:A "20 -Year Grace Period" ya Mkopo wa Exim Bank-China ni "Changa la Macho?!".
Na mwisho tukasema tuache siasa kwenye uchumi, Tanesco haiwezi kununua umeme kwa bei kubwa na kuuza kwa bei ndogo ikasurvive, lazima umeme upande bei!.
Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!.
P.
Gesi asili: Is it "day light robbery?!" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
Tulipokopeshwa mkopo wa Exim bank wa US $ 1.2 bilion tukaambiwa interest ni low, just 1% na tukapewa a grace period of 20 years!, watu tukasema humu kuwa hicho ni kiini macho, watu hawakusikia hadi leo aseme CAG
Bomba la Gesi Mtwara:A "20 -Year Grace Period" ya Mkopo wa Exim Bank-China ni "Changa la Macho?!".
Na mwisho tukasema tuache siasa kwenye uchumi, Tanesco haiwezi kununua umeme kwa bei kubwa na kuuza kwa bei ndogo ikasurvive, lazima umeme upande bei!.
Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!.
P.