Habari wandugu
dhumuni la thread hii ni kuwaomba ushauri au.mbinu za kumuacha mtu bila kumuumiza. Na relation iliyokaa muda. Plz matuc kejeli vumilia nisaidieπππ
Habari wandugu
dhumuni la thread hii ni kuwaomba ushauri au.mbinu za kumuacha mtu bila kumuumiza. Na relation iliyokaa muda. Plz matuc kejeli vumilia nisaidieπππ
Habari wandugu
dhumuni la thread hii ni kuwaomba ushauri au.mbinu za kumuacha mtu bila kumuumiza. Na relation iliyokaa muda. Plz matuc kejeli vumilia nisaidieπππ
Mueleze ukweli tu kwamba hauna nia nae tena, pengine yale mapenzi uliokuwa ukiyahisi kutoka kwake hayapo tena, kama kuna tatizo huenda akajirekebisha na mkarudisha mahusiano yenu tena na kama ndo ishashindikana ajue tu ukweli kuliko kumletea USUNGURA.
Habari wandugu
dhumuni la thread hii ni kuwaomba ushauri au.mbinu za kumuacha mtu bila kumuumiza. Na relation iliyokaa muda. Plz matuc kejeli vumilia nisaidieπππ
Habari wandugu
dhumuni la thread hii ni kuwaomba ushauri au.mbinu za kumuacha mtu bila kumuumiza. Na relation iliyokaa muda. Plz matuc kejeli vumilia nisaidieπππ
Sidhani kama ukienda hospitali utapewa dawa bila kupima. Umeomba ushauri lakini ulelalia upande wako. Hebu weka sababu watu wajue waanzie wapi. Yawezekana unaetaka kumwacha kakukosa kuku-ufoo, . Weka wazi, si mbaya kufuta na kuanza tena.