Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Kwa mujibu wa TBC Mwakyembe amefanya ziara ya ghafla TRL na TAZaRA inaonekana kwa TRL wako on schedule ili treni ianze kazi effective october ila TAZARA kwanza vijana hata posho hawawapi alafu as if hawakue
Ewa maagizo ya waziri wako bize na ukarabati wa behewa saba badala ya 14.
Mbaya zaidi kumbe ela ipo kaahidi atamtimua kazi mtu maana katajiwa milolongo ya jinsi pesa ilimopita kachoka.Kamtaja Shimwela kwa jina kuwa atamtimua kazi if he is not taking the matter seriously!
Isije ikawa ni namna ya kusubortage huu mradi usianze mapema
Jamani mjitume sioni haja ya kufanyiwa surprise visit ndo haya aliyoyasema Nchimbi kuwa sometimes not serious na directives tunazopewa kazini no wonder wawekezaji wanaprefer watu wa nje
Ewa maagizo ya waziri wako bize na ukarabati wa behewa saba badala ya 14.
Mbaya zaidi kumbe ela ipo kaahidi atamtimua kazi mtu maana katajiwa milolongo ya jinsi pesa ilimopita kachoka.Kamtaja Shimwela kwa jina kuwa atamtimua kazi if he is not taking the matter seriously!
Isije ikawa ni namna ya kusubortage huu mradi usianze mapema
Jamani mjitume sioni haja ya kufanyiwa surprise visit ndo haya aliyoyasema Nchimbi kuwa sometimes not serious na directives tunazopewa kazini no wonder wawekezaji wanaprefer watu wa nje