M mkurugenzi1 Senior Member Mar 22, 2009 122 28 Oct 31, 2012 #1 Huna ndugu aliyepanda treni la Mwakyembe? inasemekana dereva kajisahau alijua ni longtrip,sasa hivi wako Makambako ndo wanarudi tena Dar.
Huna ndugu aliyepanda treni la Mwakyembe? inasemekana dereva kajisahau alijua ni longtrip,sasa hivi wako Makambako ndo wanarudi tena Dar.
THK DJAYZZ JF-Expert Member Sep 14, 2011 2,167 175 Oct 31, 2012 #2 Mbona nasikia brek ziligoma hivi sasa wapo kapilimposhi Zambia, nazingua. Near by Kabwe Mbeya
Chuma Chakavu JF-Expert Member Apr 16, 2011 1,523 653 Oct 31, 2012 #3 Hivi treni la mwakyembe ni tazara au reli ya kati? na kama ni reli ya kati huwa haipiti makambako!!
MESTOD JF-Expert Member Nov 12, 2010 4,798 2,004 Oct 31, 2012 #4 Na lile lililopitiliza hadi limetumbukia ziwa Tanganyika! Lah, watu waongo sana.