Si tu kuongeza mabehewa, inatakiwa pia ziongezwe route, na reli, ikiwezekana hizo treni ziwe zinapishana. Maana kwa sasa inakuwa shida sana kusubiri treni moja hadi iende hukuo na kurudi. Naamini watu wengi kwa sasa wataamua kutumia treni kuliko daladala ambazo kiuhalisia zimekuwa na kero nyingi.