Treni laacha watu 1000


Ndo ndege inaanza kupaa kaka, ikifika level watu wote watatulia. Vuta subira kijana.
 
Mie jamani ni Mkoani. Nasikia tu mambo ya Treni za Mwkyembe. Nataka kujua zinapiga trip ngapi kwa siku? Maana kuna mtu aliniambia kitu ila sikuamini, eti ni mara mbili kwa siku?!!!

Tafadhari mwenye kujua aniambie. Maana trip mbili kwa siku hazitoshi kabisa.
 
sio wote 5 mil..wanaishi UBUNGO CHAMUHIM LAZIMA RELI ZIWE 2 THE TREN KILA DAKIKA 20 IJE NYINGINE HAPO KIDOGO ITASAIDIA KUPUNGUZ kelo waonge na NSSF waongezee mtaji kwani gharama zitarudi mapema
...Hao NSSF wanakopeshwa pesa yetu hovyo hovyo then wakopaji wanazingua kurejesha. Sasa wanatuletea story za mafao mpaka miaka 55. wakatafute pesa sehemu nyingine bhana!!
 
Hiyo ni changamoto mkuu siunajua tena mwanzo mgumu.

Hakyanani Mkuu Ngongo hali halisi ya idadi ya abiria si rahisi kuijua kwa sasa. Wengi wameenda kupanda kwa shauku wala hawana safari. We subiri baada ya miezi miwili uone kama idadi haijapungua.

Lkn kingine ambacho hakiko sawa ni mkao wa ndani ya mabehewa. Viti vilitakiwa vipungue na sehemu za kushika ziongezwe. City Train yetu haiendi mbali na haina foleni kwa hiyo viti vingebakizwa vichache
 
Last edited by a moderator:
sio tu kuacha kupanda daladala,usafiri wa treni ukikaa vizuri na ratiba zinazoeleweka nazisizobadilika watu wataacha magari yao nyumbani watapanda treni.magari yatabaki kwa ajili ya weekend kuendea beach.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…