NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,313
Wazazi tusiwaseme watoto walio feli naona watoto wanazidi kujinyonga tujaribu kuliangalia hii kitu kama janga kwani watoto ni wengi sana waliofeli.
Sasa tukianza kuwa shukia watoto itatugharim watoto wengine uwezo wao wakupokea mambo ni mdogo.
Hivyo tuajaribu kutafakali zaidi badala ya kuwalaaum watoto!
Sasa tukianza kuwa shukia watoto itatugharim watoto wengine uwezo wao wakupokea mambo ni mdogo.
Hivyo tuajaribu kutafakali zaidi badala ya kuwalaaum watoto!