MawazoMatatu,
Polepole uzi unavyokwenda tunapata jibu. Sioni kama bado hatana mwelekeo .. Hoja ni nzito ..lakini mwelekeo ni mzuri kuwa*MABADILIKO*ni muhimu na ili kuondoa*KIGUGUMIZI*cha kurudia Udhaifu wa Mabadiliko kadhaa yaliyotangulia kwa nchi mbalimbali za kiafrika kuwa ... hatimaye mabadiliko yanakuwa hayakuwa na TIJA ..tunajribu kuangalia ..Nini kifanyike...*
Na ninafikiri hadi hapa mjadala ulipo ni kuwa Kwa vile hakuna namna Nchi inaweza kuwepo bila Uongozi wa KisiaSA .. na sisi hatuna budi kuona hilo na kujua ni kweli lazima ..kwa wakati wowote ..lazima tuwe na Uongozi...*Sasa ni wazi CCM wako katika muda wao wa mwisho na lazima Chama kingine au mfumo mwingine uwepo ... ukiangalia kwa ukweli wote ... CHADEMA ndio wanamwelekeo ... Lakini ... KIGUGUMIZI .. wasije wakayarudia ya CCM mara tu muda ukipita baada ya kuwa madarakani. Wewe umeonyesha kuwa .... Kuwa MABADILIKO ni lazima na kuwa CHADEMA ...wameonyesha *... mambo kadhaa (kwenye bluue) waliyoyafanya yanayokupa moyo *na kukuondolea KIGUGUMIZI. .. amabocho ndio msingi wa kurusha huu uzi!!
Big up, AshaDii!!
Sikuwa najua kuwa una interest ktk politics, lakini nimekupata. Thread yako ni nzuri sana for a fact that it's like a double-edged saw. Inagusa madhambi ya the incumbent administration na at the same time inatoa clear warning kwa the opposition kwamba wakiingia madarakani na wasipo-deliver na wao nao watakuwa tena ni wabaya kuliko magamba.
Kuna mdau mmoja amesema huko nyuma kuwa suala sio kubadili rais na chama pekee bali ni kui-revamp the entire polictical system. Hilo litafanikiwa endapo itakuja constitution ambayo itakuwa wazi na isiyo na mizengwe na ambayo itakuwa na zero tolerance kwenye wizi, uzembe, ufisadi, rushwa etc. kwa yeyote yule i.e. nobody will be above the law. JK, Slaa, Mkapa, Pinda, Maalim Seif, Mbowe, Shein etc yani akipindisha mambo anakwenda kwenye sheria na kuishia jela. Sio jela ya kupeana sentesi za usanii akina Liyumba, NO!! Jela ya kumpoteza mtu miaka 400
Again, big up AD.
Take care
faida za upinzani (hapa kwetu tz) zinajionyesha wazi, kupata ubunge/udiwani sio tena 'easy peasy lemon squeezy' business na ticket ya chama tawala pekee haimpi mtu guarantee ya kushikilia madaraka miaka nenda miaka rudi huku akihudumia tumbo lake na wanawe bila kujali jamii....
upinzani umesaidia kuwaamsha wanavijiji wengi ambao walikuwa wamelala, na wengine wengi tu wanazidi kuamka .naamini huu ni mwanzo mzuri wa ukombozi. miaka 10 iliyopita nani angeamini kwamba chama chochote cha upinzani kinaweza kuitoa CCM jasho kwenye uchaguzi wa IGUNGA!
naamini Tanzania itakapopata nguvu na uwezo wa ku tumia nguvu ya balot kubadilisha viongozi wazembe mambo yatakuwa tofauti na nchi nyingi za chini ya jangwa la sahara kwa sababu tupo tofauti katika maswala ya ukabila. Hatutachagua viongozi ambao bunge ni sehemu yao ya kujipatia utajiri wa haraka haraka na sifa za kuitwa mzee ati kwa sababu tu wanatoka kwenye kabila zetu, hatuachagua kiongozi kwa sababu tu ameonyesha dalili kuwa atajali maslahi ya kabila letu na kuwa kuwaonyesha cha mtema kuni wale wa lile kabila jingine. tutachagua viongozi kutokana na uadilifu, uchapakazi na kujali maslahi ya wanyonge...that will make a HUGE difference I believe. whether tutawaweka ndani masifadi au la hilo bado sina uhakika nalo. Ila maendeleo na mabadiliko lazima yataonekana wazi...
Mkuu AJ hebu cheki posti namba 78 nimejaribu kuelezea kwanini Tanzania haifai kuwekwa kwenye kapu moja na hizo nchi za Afrika ambazo madadiliko hayakuzaa matunda.
Mkuu labda suala hili tumelichukua juu juu sana bila kuchunguza hasa undani wake, kusema mabadiliko mengi kwenye nchi za Afrika yalishindwa kukidhi haja bila kuangalia Nini kilisukuma mabadiliko hayo*tunakuwa tunapotea njia na hatuwezi kukokotoa mlinganyo ulio mbele yetu (kile unachokiita DILEMMA)
Nitatoa mifano michache kuhusu hili:
Kenya:
Kwa wanaofuatilia mambo tunajua kuwa baada ya Moi kuona sasa inafaa kwa yeye kuachia ngazi alimpendekeza Uhuru Kenyata awe mrithi wake kupitia KANU jambo lililowaudhi wenzie na ndipo KANU ikamegeka na viongozi wengi waliokuwa wana matarajio ya Urais walipoamua kukihama chama na kwenda kutengeneza National Alliance Party of Kenya (NAK) huku Kibaki aliyewahi kuwa makamu wa rais kipindi cha Moi akisimama kwa tiketi ya NAK.
Sasa swali linakuja: Kama Kibaki na wenzie walikuwa sehemu ya serikali wakati wa Moi tena wakishikilia nafasi nzito unategemea walipoingia madarakani wangekuja na chochote kipya? Je mabadiliko ya Kenya yalisukumwa na kero za wananchi au yalikuwa tu ni matokeo ya minyukano kwenye kunyang,anyana madaraka?
Zambia:
Baada ya utawala wa miaka 27 kwa chama cha UNIP chini ya uongozi wa Keneth Kaunda, Zambia inajikuta kwenye machafuko makubwa yanayotokana na vurugu za wananchi juu ya ukosefu wa chakula na hali mbaya ya Uchumi. Kaunda ili kuwafurahisha wananchi anaruhusu mfumo wa vyama vingi (hiyo ni mwaka 1991) na vyama 11 vinaundwa kikiwemo MMD cha F.Chiluba, mwaka huo huo October 31 uchaguzi mkuu unafanyika Chiluba anamshinda Kaunda kwa asilimia 76% na kuchukua viti 125 kati ya 150 vya Bunge.
Sasa swali linakuja: Je mabadiliko ya Zambia yalisukumwa na nini? Tunaona pamoja na kuwa Chiluba alijulikana kama Kiongozi mzuri wa vyama vya Wafanyakazi, hakuwa na Chama imara kinachoweza kuongoza nchi (kumbuka chama chake kilishika madaraka ya nchi kikiwa na less than a year toka kimeundwa)
Congo:
Kwakweli suala la Congo sina hata haja ya kuongea mengi kwakuwa hatuwezi kupima mabadiliko ya Congo. Tutakuwa hatutendi haki kama tutadai maendeleo yoyote kwa nchi ambayo bado iko kwenye changamoto ya vita vya wenyewe kwa wenyewe mpaka sasa
Kwa kumalizia naweza kusema tumeangalia mabadiliko ambayo hayajafanikiwa Afrika, Je kuna mabadiliko yoyote ambayo yameleta neema Afrika?
Jibu ni NDIO: Rwanda yanayotokea huko wote tunajua, Ghana ambako ripoti zinasema uchumi wao sasa unakua kwa zaidi ya asilimia 14% kwa mwaka.
Watanzania tuache visingizio, muda wa kufanya kitu kujikwamua kutoka kwenye Uongozi wa kubabaisha ni huu, tunahitaji kudhubutu, tunahitaji kuwa ma risk taker. 2015 Inshallah..!
Nikiendelea kuchangia mada zaidi kwa sababu ina mafundisho mengi sana hasa tunapotafuta asili na dawa kwani magonjwa ya binadamu sii ya viungo tu hata FIKRA pia ni ugonjwa mbaya sana..Katika yote haya bado swala la TRUST kwa mtu mweusi linajitokeza zaidi ktk hoja nyingi nilizowahi kuzisoma na hii trust ni baina ya mtu namtu au WATU na chama au viongozi wake. Na hakika nimejifunza sana ktk mahojiano yangu na baadhi ya watu hapa hapa JF kutambua jinsi wanavyofikiria na imani zao..Hakika tusijidanganye, na nitaendelea kusisitiza kuwa Trust haiwajawahi kuwa utamaduni wa Mtanzania toka tupate Uhuru isipokuwa kwa ushawishi wenye malengo ya kuwaunganisha. Tunajaribu sana kuitumia trust au kutaka kuamini watu au vyama lakini tunashindwa kwa sababu huu sii utamaduni wa mwafrika kumwamini mtu asiyekuwa wa jamii yake au dini yake.
Labda nitashabihisha zaidi kwa kusema kwamba Waafrika hatuna kitu Trust, historia inajieleza kama nilivyosema huko mwanzo. Tumepitia mengi yenye kutoaminika kwa sababu tunajidanganya ya kwamba UONGO usiodhuru moja kwa moja sii dhambi. Kutoa ahadi za uongo sii kosa ikiwa utanusurisha balaa ya ukweli wakati wenzetu wazungu na Mataifa mengine UONGO ni kosa kubwa kuliko hata Jambazi. Shahidi muongo anaweza kabisa kufuta kesi ya Jambazi na asiaminike tena kwa lolote wakati sisi tunaongopa bila kupima kwani ni mila yetu kuongopa ili kujinusuru, hivyo ndio maana sisi ni wanafiki wakubwa na vigumu hata kuaminiana.
Unaweza kushindwa kuelewa hasa maana yangu lakini jiulize ni watu wangapi kuwaamini kwa moyo wako wote. Sidhani kama watajaa mkononi na pengine huna hata mmoja!. Na wala hatuna utamaduni wa kujenga uaminifu kwa sababu sii swala kubwa ktk maisha ya mwafirika maskini ambaye hakuzoea kujitawala isipokuwa kutawaliwa, hivyo uongo humpoa nafuu ya madhara ya kutawaliwa.
Hili swala la kujiuliza wakiondoka CCM, je ni wapinzani gani tunaoweza kuwapa dhamana ya kutuongoza na wakafanya vizuri? Hakika asilimia 80 ya Watanzania hawaamini chama wala mtu yeyote na hivyo kubakia ktk ushabiki kwa sababu hata wayasemayo viongozi wa Chadema au CUF wananchi wanajua kuna UONGO ndani yake na hata kesho yakitokea kuwa uongo haiwezi kuwaathiri zaidi kwa sababu walijua toka mwanzo kuna uongo. Niulize mimi kama namwamini Dr.Slaa au JK au Mbowe sintakujibu kwa sababu sielewi niwaamini ktk lipi? na siwezi kuwapa roho yangu kwa kuaminisha wataweza kufanya jambo fulani isipokuwa nasukumwa na uchungu wa kuona jinsi CCM ilivyoweza kuimarisha UFISADI hali Chadema wakijaribu kutukomboa, na siwachukii CCM isipokuwa kwa matendo yao ya udhalilishaji na ujenzi wa mfumo ambao utakuja teketeza kabisa jamii yetu.
Kwa hiyo CCM wameendelea kujiboresha ktk sehemu ambazo zina udhaifu wa wananchi wenyewe na kwa bahati mbaya tumeshindwa kujifunza kutokana na historia ya kwamba sisi waafrika tumeweza tu kujikomboa ktk adha mbali mbali kutokana na UMOJA wetu. Wakati Marealle na Mtenvu wakihubiri Ukabila, TANU walijiweka nguvu kubwa ktk ujenzi wa UMOJA wa Watanzania bila kujali makabila yao na dini zao. Wakawapa imani wananchi kwamba mapambano yao yalijikita ktk kumuondoa mkoloni na sii tofauti za Makabila na Udini, hivyo kila mmoja wetu akasahau tofauti zetu na kumtazama mkoloni kama adui yetu. Vivyo hivyo kwa kina Kaunda, Obote na Kenyatta wote hawa walijaribu zaidi kuwaunganisha wananchi na sii kujitofautisha nao ktk harakati za ukombozi wa Mataifa yao.
Hata ukitazama coalition ya vyama vya Kenya kufikia kumwondoa KANU au ZANU ya Zambia ilikuwa ni nguvu ya kutafuta UMOJA, kuondoa tofauti zao za kiasili kwani ilikuwa mara ya kwanza Mjaluo na Mkikuyu, kuunganisha nguvu ya pamoja against chama tawala. Na imetokea nchi na mataifa kwamba mageuzi yeyote yameweza tu kufanikiwa ikiwa nguvu kubwa itawekwa ktk kuwaunganisha wananchi badala ya kukubali tofauti zao na kuzitumia ktk chaguzi au mageuzi lakini leo hii tunaona kwamba vyama vyetu vimetumia sana tofauti zetu kueneza siasa za majitaka hata kama waathirika ni sisi wenyewe.
Mwisho, najiuliza sana kwa nini mtu afikirie zaidi kutomuamini Dr.Slaa au Zitto kutuongoza ikiwa ndani ya nyoyo zetu hatuna mtu mmoja tunamwamini wote - nambieni mtu mmoja ambaye kweli ktk mioyo yenu mnamu amini? - HAKUNA! na ukweli ni kwamba hakuna kitu kama hicho! pia sii swala la kuwaamini Chadema kwa sababu wewe mwananchi ndiye unayekiunda chama hiki sii Mbowe au Dr.Slaa hawa wote wamekuja kuwa maarufu ndani ya chama. Ni kazi ya kila mwanachi kupiga vita utengano na kuhubiri UMOJA wetu na sii kukitazama chama kwani tulotengana ni sisi.
CCM leo hawawezi kuzungumzia UMOJA kwa lengo la kufanya mabadiliko kwa sababu hawawezi kuzikarifu nafsi zao kupingana na yale waliyoyakumbatia isipokuwa watatukuza UMOJA kwa lengo la sisi wananchi kukubali kutawaliwa wakitumia sanduku la kura ambalo chimbuko lake ni mgawanyiko wa wananchi wenyewe ktk makundi ua Udini na Ukabila. UHURU na UMOJA ni misingi ambayo ilitufikisha kuwa huru lakini laeo tunazungumzia UMOJA wakati hali ya UHURU wetu ni tata...
Mkuu labda suala hili tumelichukua juu juu sana bila kuchunguza hasa undani wake, kusema mabadiliko mengi kwenye nchi za Afrika yalishindwa kukidhi haja bila kuangalia nini kilisukuma mabadiliko hayo tunakuwa tunapotea njia na hatuwezi kukokotoa mlinganyo ulio mbele yetu (kile unachokiita DILEMMA)
Nitatoa mifano michache kuhusu hili:
Kenya:
Kwa wanaofuatilia mambo tunajua kuwa baada ya Moi kuona sasa inafaa kwa yeye kuachia ngazi alimpendekeza Uhuru Kenyata awe mrithi wake kupitia KANU jambo lililowaudhi wenzie na ndipo KANU ikamegeka na viongozi wengi waliokuwa wana matarajio ya Urais walipoamua kukihama chama na kwenda kutengeneza National Alliance Party of Kenya (NAK) huku Kibaki aliyewahi kuwa makamu wa rais kipindi cha Moi akisimama kwa tiketi ya NAK.
Sasa swali linakuja: Kama Kibaki na wenzie walikuwa sehemu ya serikali wakati wa Moi tena wakishikilia nafasi nzito unategemea walipoingia madarakani wangekuja na chochote kipya? Je mabadiliko ya Kenya yalisukumwa na kero za wananchi au yalikuwa tu ni matokeo ya minyukano kwenye kunyang,anyana madaraka?
Zambia:
Baada ya utawala wa miaka 27 kwa chama cha UNIP chini ya uongozi wa Keneth Kaunda, Zambia inajikuta kwenye machafuko makubwa yanayotokana na vurugu za wananchi juu ya ukosefu wa chakula na hali mbaya ya Uchumi. Kaunda ili kuwafurahisha wananchi anaruhusu mfumo wa vyama vingi (hiyo ni mwaka 1991) na vyama 11 vinaundwa kikiwemo MMD cha F.Chiluba, mwaka huo huo October 31 uchaguzi mkuu unafanyika Chiluba anamshinda Kaunda kwa asilimia 76% na kuchukua viti 125 kati ya 150 vya Bunge.
Sasa swali linakuja: Je mabadiliko ya Zambia yalisukumwa na nini? Tunaona pamoja na kuwa Chiluba alijulikana kama Kiongozi mzuri wa vyama vya Wafanyakazi, hakuwa na Chama imara kinachoweza kuongoza nchi (kumbuka chama chake kilishika madaraka ya nchi kikiwa na less than a year toka kimeundwa)
Congo:
Kwakweli suala la Congo sina hata haja ya kuongea mengi kwakuwa hatuwezi kupima mabadiliko ya Congo. Tutakuwa hatutendi haki kama tutadai maendeleo yoyote kwa nchi ambayo bado iko kwenye changamoto ya vita vya wenyewe kwa wenyewe mpaka sasa
Kwa kumalizia naweza kusema tumeangalia mabadiliko ambayo hayajafanikiwa Afrika, Je kuna mabadiliko yoyote ambayo yameleta neema Afrika?
Jibu ni NDIO: Rwanda yanayotokea huko wote tunajua, Ghana ambako ripoti zinasema uchumi wao sasa unakua kwa zaidi ya asilimia 14% kwa mwaka.
Watanzania tuache visingizio, muda wa kufanya kitu kujikwamua kutoka kwenye Uongozi wa kubabaisha ni huu, tunahitaji kudhubutu, tunahitaji kuwa ma risk taker. 2015 Inshallah..!
Hio angle ulotolea Mkandara I understand (First para), but I think uko more centred on end results kuliko hata pre-factors ambazo humfanya Mtu mpaka akawa Kiongozi… Watanzania tuna nature ya kupenda AMANI thou imeonesha kua if we are pushed we a Capable of reaction even if it is just making some Effective constructive Sounds…. Historia yetu inaonesha the way hua ni wepesi saana kumuamini Mtu hasa akiwa na a Charismatic aspect to them…. Nasema kua hua tunakua na TRUST on the simple fact kua ile kitendo cha watu kuenda kupiga Kura it means kuna mtu wanatrust kwamba atafaa katika hio position; Problem tu huja kua mara nyingi saana hao watu ambao Trust is thrusted upon them hua ni Dissapointments kubwa saana in the long Run. Mfano mzuri saana ni huu wa IGUNGA…. Wale watu wa Igunga walikua wana I-trust Saana CCM Kama chama na mkombozi wao; But as much as CCM wameshinda ni dhahiri idadi inayo i-Trust CCM imeshuka at an alarming rate… CCM is in trouble political wise… sababu ya kuvunja that TRUST walipewa na almost all wana Igungaz katika last elections ambazo kipindi hicho Rostam alishinda kwa kishindo!
Kitu ambacho naweza ongeza ni kua Viongozi wetu wengi wa Kiafrica hutuangusha kwa kuvunja TRUST walopewa na Wananchi… yaani mpaka waweza sema kua kuna uchawi pale kwamba mtu akipata tu Uongozi basi akili habadilika na kua more selfish than ever! Hio yooote tokana na ukosefu wa Uzalendo…. Na huu Uzalendo sio tu kwa VIongozi bali hata kwa Wananchi…. INASIKITISHA…. Hakuna kitu kibaya kama Wanachi pamoja na viongozi wa nchi woote wasiwe Wazalendo… Inafanya kila mmoja awe for one's self.
Nikiendelea kuchangia mada zaidi kwa sababu ina mafundisho mengi sana hasa tunapotafuta asili na dawa kwani magonjwa ya binadamu sii ya viungo tu hata FIKRA pia ni ugonjwa mbaya sana..Katika yote haya bado swala la TRUST kwa mtu mweusi linajitokeza zaidi ktk hoja nyingi nilizowahi kuzisoma na hii trust ni baina ya mtu namtu au WATU na chama au viongozi wake. Na hakika nimejifunza sana ktk mahojiano yangu na baadhi ya watu hapa hapa JF kutambua jinsi wanavyofikiria na imani zao..Hakika tusijidanganye, na nitaendelea kusisitiza kuwa Trust haiwajawahi kuwa utamaduni wa Mtanzania toka tupate Uhuru isipokuwa kwa ushawishi wenye malengo ya kuwaunganisha. Tunajaribu sana kuitumia trust au kutaka kuamini watu au vyama lakini tunashindwa kwa sababu huu sii utamaduni wa mwafrika kumwamini mtu asiyekuwa wa jamii yake au dini yake.
Labda nitashabihisha zaidi kwa kusema kwamba Waafrika hatuna kitu Trust, historia inajieleza kama nilivyosema huko mwanzo. Tumepitia mengi yenye kutoaminika kwa sababu tunajidanganya ya kwamba UONGO usiodhuru moja kwa moja sii dhambi. Kutoa ahadi za uongo sii kosa ikiwa utanusurisha balaa ya ukweli wakati wenzetu wazungu na Mataifa mengine UONGO ni kosa kubwa kuliko hata Jambazi. Shahidi muongo anaweza kabisa kufuta kesi ya Jambazi na asiaminike tena kwa lolote wakati sisi tunaongopa bila kupima kwani ni mila yetu kuongopa ili kujinusuru, hivyo ndio maana sisi ni wanafiki wakubwa na vigumu hata kuaminiana.
Unaweza kushindwa kuelewa hasa maana yangu lakini jiulize ni watu wangapi kuwaamini kwa moyo wako wote. Sidhani kama watajaa mkononi na pengine huna hata mmoja!. Na wala hatuna utamaduni wa kujenga uaminifu kwa sababu sii swala kubwa ktk maisha ya mwafirika maskini ambaye hakuzoea kujitawala isipokuwa kutawaliwa, hivyo uongo humpoa nafuu ya madhara ya kutawaliwa.
Hili swala la kujiuliza wakiondoka CCM, je ni wapinzani gani tunaoweza kuwapa dhamana ya kutuongoza na wakafanya vizuri? Hakika asilimia 80 ya Watanzania hawaamini chama wala mtu yeyote na hivyo kubakia ktk ushabiki kwa sababu hata wayasemayo viongozi wa Chadema au CUF wananchi wanajua kuna UONGO ndani yake na hata kesho yakitokea kuwa uongo haiwezi kuwaathiri zaidi kwa sababu walijua toka mwanzo kuna uongo. Niulize mimi kama namwamini Dr.Slaa au JK au Mbowe sintakujibu kwa sababu sielewi niwaamini ktk lipi? na siwezi kuwapa roho yangu kwa kuaminisha wataweza kufanya jambo fulani isipokuwa nasukumwa na uchungu wa kuona jinsi CCM ilivyoweza kuimarisha UFISADI hali Chadema wakijaribu kutukomboa, na siwachukii CCM isipokuwa kwa matendo yao ya udhalilishaji na ujenzi wa mfumo ambao utakuja teketeza kabisa jamii yetu.
Kwa hiyo CCM wameendelea kujiboresha ktk sehemu ambazo zina udhaifu wa wananchi wenyewe na kwa bahati mbaya tumeshindwa kujifunza kutokana na historia ya kwamba sisi waafrika tumeweza tu kujikomboa ktk adha mbali mbali kutokana na UMOJA wetu. Wakati Marealle na Mtenvu wakihubiri Ukabila, TANU walijiweka nguvu kubwa ktk ujenzi wa UMOJA wa Watanzania bila kujali makabila yao na dini zao. Wakawapa imani wananchi kwamba mapambano yao yalijikita ktk kumuondoa mkoloni na sii tofauti za Makabila na Udini, hivyo kila mmoja wetu akasahau tofauti zetu na kumtazama mkoloni kama adui yetu. Vivyo hivyo kwa kina Kaunda, Obote na Kenyatta wote hawa walijaribu zaidi kuwaunganisha wananchi na sii kujitofautisha nao ktk harakati za ukombozi wa Mataifa yao.
Hata ukitazama coalition ya vyama vya Kenya kufikia kumwondoa KANU au ZANU ya Zambia ilikuwa ni nguvu ya kutafuta UMOJA, kuondoa tofauti zao za kiasili kwani ilikuwa mara ya kwanza Mjaluo na Mkikuyu, kuunganisha nguvu ya pamoja against chama tawala. Na imetokea nchi na mataifa kwamba mageuzi yeyote yameweza tu kufanikiwa ikiwa nguvu kubwa itawekwa ktk kuwaunganisha wananchi badala ya kukubali tofauti zao na kuzitumia ktk chaguzi au mageuzi lakini leo hii tunaona kwamba vyama vyetu vimetumia sana tofauti zetu kueneza siasa za majitaka hata kama waathirika ni sisi wenyewe.
Mwisho, najiuliza sana kwa nini mtu afikirie zaidi kutomuamini Dr.Slaa au Zitto kutuongoza ikiwa ndani ya nyoyo zetu hatuna mtu mmoja tunamwamini wote - nambieni mtu mmoja ambaye kweli ktk mioyo yenu mnamu amini? - HAKUNA! na ukweli ni kwamba hakuna kitu kama hicho! pia sii swala la kuwaamini Chadema kwa sababu wewe mwananchi ndiye unayekiunda chama hiki sii Mbowe au Dr.Slaa hawa wote wamekuja kuwa maarufu ndani ya chama. Ni kazi ya kila mwanachi kupiga vita utengano na kuhubiri UMOJA wetu na sii kukitazama chama kwani tulotengana ni sisi.
CCM leo hawawezi kuzungumzia UMOJA kwa lengo la kufanya mabadiliko kwa sababu hawawezi kuzikarifu nafsi zao kupingana na yale waliyoyakumbatia isipokuwa watatukuza UMOJA kwa lengo la sisi wananchi kukubali kutawaliwa wakitumia sanduku la kura ambalo chimbuko lake ni mgawanyiko wa wananchi wenyewe ktk makundi ua Udini na Ukabila. UHURU na UMOJA ni misingi ambayo ilitufikisha kuwa huru lakini laeo tunazungumzia UMOJA wakati hali ya UHURU wetu ni tata...
- Narudi kwenye heading ya hii topic (thou at this stage still Hypothetical) Tokana na Trend ya Siasa zetu za Africa The way upepo unaenda, na the way Viongozi pinzani muonekano wao; ikitokea wakafanikiwa kuwavua CCM Utawala (which is just a matter of time) Is history going to repeat itself in Tanzania???
In relation to the Topic I quote Mwalimu;
We spoke and acted as if, given the opportunity for self-government, we would quickly create utopias. Instead injustice, even tyranny, is rampant.
Pamoja Saana
AshaDii.
My answer is possibly yes. Why? Because politicians are always politicians whether in the opposition or in the government. Most times when you look carefully at the African situation you see that the solution is mainly centered around leadership. These leaders see the problem and start a campaign to help solve the problem and then they are voted in. They get into office with high expectations from the people but in a very short while, they start the same circle of adding to the problems and most times even turning out to be worse than their immediate predecessors.
Who knows. We might see in Zambia very soon. The new President has already nominated more MPs than he is allowed to by Zambia's constitution. The current constitution allows the president to nominate at most 8 MPs at any given time, but Sata appointed 10. Gender activists are already complaining that women who form the bulk of the population have been sidelined in the new cabinet.
Pili wanadamu tuna kasumba moja. Once we get what we want, we don't take effort to maintain it. Tukishachagua chama kipya madarakani tunaishia hapo na kudhani kuwa they will do everything for us. Tunasahau kuwa they are still politicians just like the one we just overthrew them. We don't pressure them to do exactly what they promised. Matokeo yake wanajingalia wao wenyewe na ndigu zao.
We create problems, which in turn we use them to buy votes from voters. Our political game is based on manipulating the poor and illiterate. We create opportunities of dependency to the government and this way the poor always put the same leader, leadership style in power. We the people make our leaders, new or old, what they are. Our leaders in a large measure a reflection a reflection of the totality of our attitude to everything. Leadership is sustained by fellowship.
Narudi kwenye heading ya hii topic (thou at this stage still Hypothetical) Tokana na Trend ya Siasa zetu za Africa The way upepo unaenda, na the way Viongozi pinzani muonekano wao; ikitokea wakafanikiwa kuwavua CCM Utawala (which is just a matter of time) Is history going to repeat itself in Tanzania???
Habari Wana JF….
Kwa woote ambao ni wadau wa Siasa from whatever side wapo…. Ni wazi na dhahiri kua the Political party na Uongozi wa sasa wa CCM's days are numbered… it may not be very soon; But soon enough. Kila Kiongozi wa vyama mbali mbali (CCM na vingine vyoote), Wadau wa Siasa na Wananchi wanatambua kua Uongozi wa juu hadi wasaidizi wa ngazi za juu na chini wa chama tawala wanagubikwa na in most cases kuhusishwa moja kwa moja na hizo kashfa za Ufisadi… Kashfa ambazo in one way or another zaonekana wazi na evident kua zina chembe na ingredients za ukweli ndani yake; ikiwa Manifasted na mlipuko ya tuhuma na kashfa nzito kila kukicha!! Mpaka sasa ufisadi ni wimbo wa taifa letu hili changa, maskini na lililochakachuliwa….
Maelezo ya hapo juu hakuna jipya hapo…. Ila kubwa lipo katika trend ya hizi Siasa zetu za nchi zetu hizi za kimasikini (hasa Sub-saharan nations) na utekelezaji wake katika utendaji. Nime observe jinsi nchi nyingi hasa majirani wetu ambavo hua na Viongozi mafisadi ambao eventually huweza watoa either by force or democracy na the way hu-handle the so called Mafisadi. Huo Uongozi mpya wa a new president na Chama huja na nguvu za soda za kuwashtaki Ex-viongozi alafu hatimae hayo mashtaka huishia hewani bila sababu zozote za msingi wala Maelekezo ya kutosheleza…. Hizi inchi ni fundisho na somo tosha saana kwa Siasa zetu hapa nchini hasa in the lines za the way Viongozi wenye tuhuma nzito hua handled.
Mifano Halisi:-
A]. Via Lethal Force.
In Democratic Republic of Congo (then Zaire) - Tunaona in 1997 kua the late Mobutu Sese Seko anaikimbia nchi yake alotawala for more than three decades baada kuzidiwa nguvu na Upinzani ulokua chini ya the late Kabila Sr. hivo kupinduliwa na kutawaliwa na the new reign. It is/was common knowledge kua Mobutu ni moja wa Viongozi duniani ambao walilijimbikizia mali all over the world mpaka it is believed mpaka leo kua zingine zilipotea simply because hamna ambae angeweza account Mali zooote. Mobutu as much as alitolewa Uraisi, mali hizo hazikuweza rudishwa to date. Na as much as aliweza toroka na kuishi Morroco ambako alifia, IMO Uongozi mpya haukuweka much effort kumkamata ama ku revive the wealth Mobutu ali accumulate in power ambayo ilikua ni mali na haki ya wananchi…
B]. By Democracy (IMO ya kudimba dimba)
Zambia - tunaona the way a well rooted party ya UNIP under the leadership ya Kenneth Kaunda ilishindwa na kupinduliwa in 1991 na Chama changa na pinzani cha MMD under Uraisi wa the Late Chiluba. Chiluba dragged to court Kaunda under the allegations za Ufisadi na case baada ya mda mrefu ikaishia hewani… Ironically enough Chiluba alipomaliza Uongozi wake akawa na kashfa nzito zaidi ya zile za Kaunda na hivo nae kubulutwa hadi kortini kwa tuhuma hizo hizo za ufisadi na the late Mwanawassa… However kesi yake nayo iliishia hivo hivo hewani. Mpaka hapa ambapo sasa wamempata Raisi mpya Mheshimiwa Sata (ingawa naamini kua Banda ambae ndo mstaafu - katika ufisadi nafikiri kidogo kapona hizo kashfa). IMO Zambia ni moja ya nchi ambayo kubadilika kwake kwa Uongozi wa Chama tawala na uongozi haujaonesha mabadiliko yoyote ya kuonesha kua Chama kipya kimekuja na kuwa gusa wanachi moja kwa moja, yaani MMD walikua hawana jipya zaidi ya UNIP, labda sasa tu-observe hawa PF..
Kenya - tunaona jinsi another well rooted Chama – KANU chini ya Moi kinavo shindwa na kupinduliwa kwa kishindo na Chama kipya na kichanga cha PNU under Kibaki (baada ya kuungana vyama vyote – Mfano ambao vyama pinzani wa Tanzania inabidi waige walau kuweza kwa uhakikika kabisa kuwang'oa CCM uchaguzi ujao); Wakenya wameongea wee kuhusu Ufisadi na allegations mbali mbali wa Moi na wasaidizi wake kama akins Nicholas Biwott, India Kald, Kamlesh Pattin na kama sikosei hata George Saittoti yupo katika hio list thou the list continues… But nothing has been done… Or whatever efforts the results in vain… na hapo nahisi imetoka! IMO walau Kenya ni nchi moja wapo ambayo ina mfano mzuri wa change ya Chama tawala na Uongozi ambavo imekua beneficial katika sectors mbali mbali (ingawa bado hali ni mbaya but afadhali) na pia kuongeza power of vote kwa mwanachi wa kawaida katika decision making related to their Nation na mambo husika e.g swala la Kenyatta in relation na mahakama ya ICC.
Areas of Concetration and Interest…
- Chama pinzani kinapofanikiwa kupindua chama tawala… Lets say CDM ifanikiwe kuwapindua CCM; Naamini kua moja ya malengo when in Presidential office ni kuwawajibisha Viongozi woote walofisadi/wanafisadi in one way or another. Je inatosha wao Viongozi walofisadi/wanafisadi kutolewa tu Uongozi bila adhabu (tena productive adhabu) au kuna umuhimu wa kwenda beyond??
- Ikumbukwe kua "usongo" na "hasira" za vyama pinzani na wanachi dhidi ya Viongozi wa sasa (i.e. CCM) na wale ambao ni wastaafu na wanausishwa na UFISADI kama vile Mkapa, Rostam, Lowassa na zaga zaga nyingine zoote za pembeni na chini ni sawa kabisa na zile ambazo:-
- The late Kabila Snr alikua nazo dhidi ya the late Mobutu & Co.
- PNU ilikua nazo dhidi KANU via Moi & Co.
- MMD walikua nazo dhidi ya UNIP via Kaunda & Co. and then later on Chiluba.
Bahati MBAYA or NZURI depending on one's side of interest hakuna la maana ilifanywa zaidi tu ya kutolewa Uongozi ama kupelekwa kortini kwa nguvu za soda tena ilokua diluted. Hypothetically thinking… Wapinzani (hasa CDM) ni jinsi gani wamejipanga kupambana na MAFISADI baada ya kuvuliwa Uongozi – Kwamba walau hayo mabilioni in Cash and Assets zirejeshwe kwa wananchi?? Ili walau kuto fanya Mistakes ambazo hufanywa mara nyingi na nchi zingine kama tulivo observe baadhi hapo juu??
- Ikumbukwe pia kua Ufisadi wa Uongozi kama vile Raisi in most cases hayaishii tu kwake bali hutembea hadi kwa familia… Hio yategemea pia na First lady na watoto wa raisi nafasi na role yao pia katika huo Ufisadi na jinsi gani wahusika waweza abuse power just because ya ukaribu na raisi (i.e. Husband or father ) kama ilivopia rumored saana kuhusu baadhi ya wake za Maraisi wastaafu hapa nchini kwetu….
Tukiangalia inchi nyingine namely Egypt; Mfano mzuri ni Bi Suzanne Mubarak ambae baada ya yeye na familia yake yoote kua chini ya ulinzi mkali na interrogations aliweza rudisha millions in dollars ya Mali in Cash and Assets…. Ambazo alipata as a result of the abuse of power - kua she is the First lady (kwa Hosni Mubarak), hivo kuchukulia kama inchi ilikua yao na all its mali for their taking…. IMO Eygpt is one of the best examples ya the way Ufisadi ulikua/umekua handled… Pesa kwanza irudishwe kwa wanachi mashtaka badae…. Woote toka Raisi, mke the sons pamoja na kundi loote la uongozi na wasaidizi wamewajibishwa na pesa kwa kiasi kikubwa kurudishwa. Really Impressive!! Na wafaa kuigwa…
- Narudi kwenye heading ya hii topic (thou at this stage still Hypothetical) Tokana na Trend ya Siasa zetu za Africa… The way upepo unaenda, na the way Viongozi pinzani muonekano wao; ikitokea wakafanikiwa kuwavua CCM Utawala (which is just a matter of time) Is history going to repeat itself in Tanzania???
In relation to the Topic I quote Mwalimu;
"We spoke and acted as if, given the opportunity for self-government, we would quickly create utopias. Instead injustice, even tyranny, is rampant."
Pamoja Saana
AshaDii.
Tatizo la msingi ndio hilli! Kama lilivyogusiwa na memebers mabalimbali!!!!*
Kwamba Tunahitaji mabadilko ? Jibu ni ndio! Tanazania kwa sasa ni kweli imefikia mahali nilazima mabadiliko ya uongozi yafanyike ... Bado Jibu ni ndio. Kwa ujumla Sioni mtu anayeona kuwamabadaliko hayahitajiki.*
DILEMMA au niseme KIGUGUMIZI kilipo, kwenye kutekeleza MABADILIKO tumesha kiona.
SASA INAKUWAJE? ... Nafikiri hapa tusaidiane ..!
1. Tubakie hapa tulipo, yaani tusitishe mabadiliko yote?
2. Tufumbe macho na kusema tunakubaliana na kitakachokuja mbele ya safari.
3. AU kwa sababu ni lazima kwa wakati wowote kuwa na Uongozi, na ili kufikia Uongozi uliotukuka ni MCHAKATO ... na kwa namna yeyote ..Hautafikiwa Leo au kesho .. Basi Tukabaliane kuwa kila mara kwenye uchaguzi tuwakubali wenye afadhali KWA WAKATI HUO ... tukisubiri ... Miaka mingi ijayo kwa mchakato kutuletea Kile amabacho kinahitajika... yaani the change we need!!
EMT
Hapo niongezee tu kidogo as to why ni VIGUMU saaana kutegemea "maajabu" kwa kubadilisha 'mtawala' aliyepo na mwingine...si tu kwa Africa, lakini pia kwa dunia nzima
Kawaida falsafa nzima ya 'ukombozi' imejikita katika uwepo wa kundi 'gandamizi' na kundi 'gandamizwa' (the oppressor and the oppressed) hivyo daima tunategemea 'minyukano' kati ya hayo makundi mawili. Chukulia kwa mfano, 'utumwa' hujumuisha mtumwa mwenyewe na 'bwana' mwenye mtumwa....wakati wote watumwa huwa wana mapambano, mengine ya ndani ya nafsi na mengine wazi kabisa, ya kutaka kuwa huru,,,na mtazamo wa watumwa siku zote ni kwamba wanaonewa, wananyanyaswa, wananyimwa haki na 'bwana' wao na kikuweli wakipata nafasi, wakajiorganise, wanaweza hata kumuua....pindi ikitokea hivyo ina maana hapo kunahitajika 'uongozi' mpya unaotokana na wale watumwa waliompindua 'bwana' wao
Sasa kwa vile mitizamo ya wa tumwa ni kwamba 'bwana' anafaidi na wao wananyanyaswa, pindi wakipata tu uongozi wanageuka kuwa 'mabwana' wa watumwa wenzao, na kuanza kufanya yale yale yaliyokuwa yakifanywa na'bwana' wa zamani! na wengine waliokosa nafasi mapambano huwa yanaanza tena mara moja
Angalia kwa nchi za kiafrika kwa mfano...mapambano ya kudai uhuru, yaliongozwa na waliokuja kutwaa madaraka baadaye lakini wakidai kuwakilisha matakwa ya wengi. Kilichotokea kwa nchi nyingi, Tanzania ikiwepo, ni kurithi mfumo ule ule kandamizi wa ukoloni, kuanzia sheria hadi utawala, kiasi kwamba wananchi wengi wakawa bado hawajafaidi maana na maatunda hasa ya kuwa huru. na wengi mnafahamu kuwe kulikuwa na mapambano ya siri na ya wazi, dhidi ya utawala ulioingia madarakani, mfano:
NImetoa hiyo mifano na najua ipo mingi zaidi kuonyesha kuwa kumbe baada ya mapambano ya kudai uhuru, walioapata bahati ya kuuukwaaa utawala waligeuka kuwa ndo 'wagandamizaji' wapya na wengi wakabaki 'wagandamizwaji'...na katika hili, hakuna namna tunaweza kukwepa mapambano haya.
- Uwepo wa vyama vingi baada tu ya uhuru (kabla havijapigwa marufuku na katiba ilofuata)
- Kuasi kwa Jeshi mwaka 1964
- Uwepo wa mawaziri 'pinzani' kama kina Marehemu Kambona ambao baadaye 'walikimbia nchi'
- Tukio la utekaji ndege la kina Maganga mwanzoni mwa 1980s
- Vuguvugu la hali ya hewa kuchafuka zanzibar 1984 hadi Jumbe 'akatupwa kule'
- Kuuwawa kwa Karume Sr mwaka 1972
- Kufukuzwa kwa Seif CCM 1988
- vuguvugu la vyama vingi na kukubaliwa kwake 1992 pamoja na michakato iliyoendelea hadi sasa
- Kwamba tunahitaji katiba mpya sasa ni kuonyesha kutokubaliana na katiba iliyopo sasa ambayo baadhi ya watawala kama kina Kombani na Werema waliona haina tatizo hata kidogo
Kwa mantiki hiyo basi, binafsi sitegemi kuwa na mabadiliko ya maana sana hata kama CCM ingeangushwa leo hii kutoka kwenye utawala. Wanaoingia watatoka miongoni mwetu, na siye tumekuwa tukitamani kuwa kama wao pia, kwa maana ya kuwa 'mabwana'...na raha ya kuwa 'bwana' ni lazima kuwe na 'watwana'...na kukishakuwa na makundi hayo mawili, misuguano na mapambano ni lazima...
Kama ulivosema JG naona ni lugha gongana… kweli naona sikukupata in the lines ulikua unapita. Nimekupata pia why uko reluctant kwamba ni vigumu kuungana vyama… Uloongea yoote nimekupata na where it is coming from. Suggestion yangu ya vyama kuungana ni the simple fact kua Imagine kuna CCM katika kugombea Vs only one United Chama….. Naamini kua effect itakua kubwa na pana na kwamba itakonga mioyo ya Watanzania wengi with Great belief kua the VYama ni genuine…. Napenda pia nigusie hio ya Bishanga…. Kumbuka kua tukubali kwamba the Majority Tanzanians katika kuchagua Chama ni wachache ambao ni wajuvi enough to be interested in Knowing the IMANI, ITIKADI, MUONO & PROGRAME…. Wengi wapo more reliant na what is said by the Viongozi pale wanapokua Jukwaani na acha tu ile ya Siasa ya Kijiweni…. Sababu majority wanasema this is Good, then you regard it as good bila hata kujua what is so good about it…
Hio angle ulotolea Mkandara I understand (First para), but I think uko more centred on end results kuliko hata pre-factors ambazo humfanya Mtu mpaka akawa Kiongozi… Watanzania tuna nature ya kupenda AMANI thou imeonesha kua if we are pushed we a Capable of reaction even if it is just making some Effective constructive Sounds…. Historia yetu inaonesha the way hua ni wepesi saana kumuamini Mtu hasa akiwa na a Charismatic aspect to them…. Nasema kua hua tunakua na TRUST on the simple fact kua ile kitendo cha watu kuenda kupiga Kura it means kuna mtu wanatrust kwamba atafaa katika hio position; Problem tu huja kua mara nyingi saana hao watu ambao Trust is thrusted upon them hua ni Dissapointments kubwa saana in the long Run. Mfano mzuri saana ni huu wa IGUNGA…. Wale watu wa Igunga walikua wana I-trust Saana CCM Kama chama na mkombozi wao; But as much as CCM wameshinda ni dhahiri idadi inayo i-Trust CCM imeshuka at an alarming rate… CCM is in trouble political wise… sababu ya kuvunja that TRUST walipewa na almost all wana Igungaz katika last elections ambazo kipindi hicho Rostam alishinda kwa kishindo!
Kitu ambacho naweza ongeza ni kua Viongozi wetu wengi wa Kiafrica hutuangusha kwa kuvunja TRUST walopewa na Wananchi… yaani mpaka waweza sema kua kuna uchawi pale kwamba mtu akipata tu Uongozi basi akili habadilika na kua more selfish than ever! Hio yooote tokana na ukosefu wa Uzalendo…. Na huu Uzalendo sio tu kwa VIongozi bali hata kwa Wananchi…. INASIKITISHA…. Hakuna kitu kibaya kama Wanachi pamoja na viongozi wa nchi woote wasiwe Wazalendo… Inafanya kila mmoja awe for one's self.
Mkandara katika the Fourth paragraph I beg to differ…. Majority Tanzanian's kwa sasa wanaamini saana kua kikija chama kingine hivo Uongozi mwingine mambo yoote yatanyoka and everything will change for the better na ule msemo "Maisha bora kwa kila Mtanzania" utakua more applicable than ever… Haya mawazo hayafai kabisa for kama watu watukua na so much hope then they will be in for a disappointment… for the simple fact kua kuiweka hii inchi katika Mstari yahitaji mda, na Uendeshaji wan chi kama tunavoelewa is all about bureaucracies….. na mizengwe zengwe mingi ambayo mingine haina maana. Huo Uongozi mpya mpaka uweze reform sector mbali mbali yahitaji mda; For instance the popular issue of mikataba hii ambayo iko believed kua ni bogus – how long do you think it would take to sort out?? How long do you think it will take to reform the Education System/Health Sector/ and all its related aspects (hivo ni vichache tu – kuna mlolongo wa changes to be done kama kweli wanataka boresha hali ya Wananchi) inabidi Watanzania watambua kazi ya kuweka Tanzania katika mstari sio ya Viongozi pekee bali hata individual efforts zahitajika!
Paragraph ya pili toka mwisho….. aaaissseee!! Yaani still chewing…
Asha, which brings us to the point ya umuhimu wa LEADERSHIP. Nimeandika leadership in capital letters kwa sababu kazi ya kiongozi ni kubuni na kuonyesha njia. Tumekwisha kubaliana kwamba nchi yetu ina maadui wakuu watatu ujinga, umaskini na maradhi.
Sasa kwa kuwa we are in uncharted waters jukumu la viongozi wetu ni kubuni njia ya kupita ili tufike kwenye neema. Viongozi wetu wakituelekeza kwenye korongo tutaishia mabonde kwinama , wakituelekeza kwenye tambarare iliyojaa tende na asali tutaishia kwenye shibe.Na ndio maana viongozi wetu tunawapisha barabarani wapite, tunawapigia saluti, wakiingia ukumbini tunasimama etc
Sio kwa sababu wametuzidi umri, pesa au elimu la hasha ni kwa sababu tunaamini kuwa wao ndo wametushika mikono kutuelekeza kwenye nchi ya ahadi. Kuongoza sio mchezo, mi nawashangaaga wanaokimbilia kutaka uongozi bila kuzingatia uzito wa majukumu wanayoyaomba.
My answer is possibly yes. Why? Because politicians are always politicians whether in the opposition or in the government. Most times when you look carefully at the African situation you see that the solution is mainly centered around leadership. These leaders see the problem and start a campaign to help solve the problem and then they are voted in. They get into office with high expectations from the people but in a very short while, they start the same circle of adding to the problems and most times even turning out to be worse than their immediate predecessors.
Who knows. We might see in Zambia very soon. The new President has already nominated more MPs than he is allowed to by Zambia's constitution. The current constitution allows the president to nominate at most 8 MPs at any given time, but Sata appointed 10. Gender activists are already complaining that women who form the bulk of the population have been sidelined in the new cabinet.
Pili wanadamu tuna kasumba moja. Once we get what we want, we don't take effort to maintain it. Tukishachagua chama kipya madarakani tunaishia hapo na kudhani kuwa they will do everything for us. Tunasahau kuwa they are still politicians just like the one we just overthrew them. We don't pressure them to do exactly what they promised. Matokeo yake wanajingalia wao wenyewe na ndigu zao.
We create problems, which in turn we use them to buy votes from voters. Our political game is based on manipulating the poor and illiterate. We create opportunities of dependency to the government and this way the poor always put the same leader, leadership style in power. We the people make our leaders, new or old, what they are. Our leaders in a large measure a reflection a reflection of the totality of our attitude to everything. Leadership is sustained by fellowship.
Hapa kuna hoja imejitokeza ya TRUST .. KUAMINI ... Nafikri imekuja kwa uzito ambao sikuwa nautegemea. Tunaonyeshwa kuwa TRUST ndio siri tu ya UMOJA na hivyo HISTORIA KUTOJIRUDIA
Najaribu kuangalia kwa undani maana ya TRUST ... katika kujenga jamii iliyo bora na yenye maendeleo ya kweli. Najaribu kuangalia asili ya TRUST ... inakuwaje Mtu awe nayo, asiwe nayo, aipoteze, inakuwaje jamii nzima kama ilivyosemekana isiwe na thamani hiyo ... Na muhimu zaidi ... INAJENGWAJE ..na kuleta matunda yatakayoweza kutuondelea HISTORIA KUJIRUDIA!!
Kabala hata sijaijadili hiyo Trust ... Hivi kwenye historia ya Tanzania hakuna wakati imekuwepo ? Nini Kiliindoa ..?
EMT
Sasa kwa vile mitizamo ya wa tumwa ni kwamba 'bwana' anafaidi na wao wananyanyaswa, pindi wakipata tu uongozi wanageuka kuwa 'mabwana' wa watumwa wenzao, na kuanza kufanya yale yale yaliyokuwa yakifanywa na'bwana' wa zamani! na wengine waliokosa nafasi mapambano huwa yanaanza tena mara moja
Angalia kwa nchi za kiafrika kwa mfano...mapambano ya kudai uhuru, yaliongozwa na waliokuja kutwaa madaraka baadaye lakini wakidai kuwakilisha matakwa ya wengi. Kilichotokea kwa nchi nyingi, Tanzania ikiwepo, ni kurithi mfumo ule ule kandamizi wa ukoloni, kuanzia sheria hadi utawala, kiasi kwamba wananchi wengi wakawa bado hawajafaidi maana na maatunda hasa ya kuwa huru. na wengi mnafahamu kuwe kulikuwa na mapambano ya siri na ya wazi, dhidi ya utawala ulioingia madarakani, mfano:
NImetoa hiyo mifano na najua ipo mingi zaidi kuonyesha kuwa kumbe baada ya mapambano ya kudai uhuru, walioapata bahati ya kuuukwaaa utawala waligeuka kuwa ndo 'wagandamizaji' wapya na wengi wakabaki 'wagandamizwaji'...na katika hili, hakuna namna tunaweza kukwepa mapambano haya.
- Uwepo wa vyama vingi baada tu ya uhuru (kabla havijapigwa marufuku na katiba ilofuata)
- Kuasi kwa Jeshi mwaka 1964
- Uwepo wa mawaziri 'pinzani' kama kina Marehemu Kambona ambao baadaye 'walikimbia nchi'
- Tukio la utekaji ndege la kina Maganga mwanzoni mwa 1980s
- Vuguvugu la hali ya hewa kuchafuka zanzibar 1984 hadi Jumbe 'akatupwa kule'
- Kuuwawa kwa Karume Sr mwaka 1972
- Kufukuzwa kwa Seif CCM 1988
- vuguvugu la vyama vingi na kukubaliwa kwake 1992 pamoja na michakato iliyoendelea hadi sasa
- Kwamba tunahitaji katiba mpya sasa ni kuonyesha kutokubaliana na katiba iliyopo sasa ambayo baadhi ya watawala kama kina Kombani na Werema waliona haina tatizo hata kidogo
Kwa mantiki hiyo basi, binafsi sitegemi kuwa na mabadiliko ya maana sana hata kama CCM ingeangushwa leo hii kutoka kwenye utawala. Wanaoingia watatoka miongoni mwetu, na siye tumekuwa tukitamani kuwa kama wao pia, kwa maana ya kuwa 'mabwana'...na raha ya kuwa 'bwana' ni lazima kuwe na 'watwana'...na kukishakuwa na makundi hayo mawili, misuguano na mapambano ni lazima...
AshaDii
Ni muda mrefu sana nimekimbia hili jukwaa na zaidi niliamua kuwa mtazamaji tu lakini hii makala yako imenikuna sana kwani ni suala muhimu la kulijadili na limekuja katika wakati mzuri sana na naamini linaweza kuamsha baadhi ya wenzetu ambao ushabiki wa kisiasa na chuki dhidi ya mfumo fisadi tulionao unbawafanya wafungue mioyo yaona kufunga akili zao.
hata hivyo nashindwa kuchagia lolote kutokana na lugha uliyotumia katika hili andiko lako. Tafadhali jitahidi kuihariri na kuandika kiswahili kinachoeleweka. Naamini wewe ni mtanzania na mswahili na ukiamua kutulia unaweza kabisa kuandika vizuri zaidi. Mchanganyiko wa lugha kama wako unaweza kutafsirika kama kudharau kiswahili na hivyo kutothamini utanzania wako ama kutaka kujionyesha kuwa wewe ni msomi mkubwa na hivyo kutoa picha ya kuwa hauna mshiko wa kutosha na siasa na jamii yako. Kuchanganya lugha ni kawaida lakini hii yako imevuka mipaka....
Asante kwa kichochea mjdala hiki na natumai wale vichwa maji hawatakuja na sumu zao, siasa majitaka na ukada pofu wao....