TREND YA AFRICAN POLITICS. Historia Itajirudia Tanzania?

Hii tread ni muhumu sana kwa faida ya nchi yetu!
Tunapenda michango ya ujenzi ya namna hii.
Nimeipitia nimejifunza mengi sana nakupa pongezi AshaDII, kwa hii thread yako pita pita huku usikae sana kule kwenye jukwaa la lenu


Ritz i am humbled for the acknowledgement.... na nashukuru saana kua we are in the same line na umelitambua hilo hapo nilo bold. Hili suala naamini kabisa akilini mwa wengi (iwe uongozi pinzani ama Wananchi) tuna Great hopes kua hizo millions/billions of pesa ambazo ni wazi kabisa ziko katika off-shore accounts and in terms of Assets zitarudishwa - Which i don't believe kama Strategies hazitachukuliwa mapema kabisa kabla tu hata ya kuingia katika Uongozi mpya. Hivo basi ni muhimu kuligusia hili suala mapema.... Bahati mbaya saana wadau wa hili JLS wengi wanataka immediate politics - ya Ushabiki wa upande mmoja yaani iwe CDM Vs CCM ndo wanaona kua ni beneficial kwa inchi....
 
Sidhani kama itafika siku CDM itachukuwa utawala wa hii nchi. Hawana vigezo wala uwezo.
 
Sidhani kama itafika siku CDM itachukuwa utawala wa hii nchi. Hawana vigezo wala uwezo.


Unaloongea lina ukweli Faiza.... IMO CDM Wanamambo kadhaa inabidi wafanyie kazi kwa wao kuweza kweli shika hii inchi...

  • Wanajiamini mno - hio huwafanya sometimes wasione madhaifu walo nayo na mistakes ndogo ndogo ambazo zinarudisha nyuma the race to the Presidential seat.
  • Ukiisoma post yangu ya kwanza kabisa utagundua kua nimesema kua CCM itang'olewa soon hivo I quote my self from the first post "it may not be very soon; But soon enough"
  • Sielewi kwa nini Majority CDM wana so much faith in Slaa... My insticts and observation ni kua CDM wakibadilisha Mgombea chances of them winning the next election ni higher kuliko Slaa akiwa mgombea.
  • Lingine la mwisho ni kwamba kama vyama pinzani kweli viko kwa ajili ya Watanzania na wakakubali na ku realise hilo.... Then wataungana vyama vyoooote pinzani; Which believe me you, that will be the END of CCM.... For bahati mbaya CCM are slowly killing themselves with their own poison.... Hata hivo hapa tulipo.... Only time can tell.
 
Siasa za Afrika hazina tofauti na siasa za nchi zote changa. Na pia hazina tofauti na nchi zilizokomaa wakati zilipokuwa changa, historia inatufundisha kuwa, nchi zilizokomaa ziliingia katika majanga makubwa makubwa ya kisias wakati zikiwa changa. Historia pia inatufundisha kuwa sisi tunafanya vyema kuliko nchi nyingi zilizokomaa wakati zikiwa na umri wetu.

Seuse, nchi nyingi zilizoendelea zimepitia hatihati nyingi za kisiasa na hata kufikia kuuwana kwa halaiki na kumwaga damu kwa vipindi virefu mpaka walipofikia kuona kuwa, mnhhh, tunamalizana. Isitoshe, hii demokrasia tunakandamiziwa sisi tu, nchi mpya, wenyewe wana wafalme na ma malkia ambao hawagusiki. Na wale ambao hawana hayo basi wanakandamiza matabaka fulani hadi leo. Ukiingia deep na kufikiri, utakuta kuwa katika ulimwengu wa kisiasa, tunafanya vyema kuliko wengi duniani.

Tusichokiweza ni uongozi uliotukuka, na hii inatokana na kufinywa kielimu na watawala wa mwanzo wa nchi hizi zetu. Hakuna maendeleo wala kustaarabika kupasavyo bila kuwa na elimu na miongozo inayotekelezeka. Bila elimu tutabaki kuona wenzetu ni watu wa ajabu.

Mfano, tunajenga nyumba za kuishi miaka mia moja au zaidi wakati hatutegemei kuishi huko na wala hatufikirii kuwa miaka mia moja kuanzia leo hizo nyumba zitakuwa zimepitwa na wakati. Bado tunakusanya makopo na chupa tupu kwa kufikiri tu kuwa zitatusaidia kesho, hali kadhalika tunalea watoto zetu ili watusaidie kesho na sio wajisaidie wenyewe, kama kwamba tutaishi milele.

Hiyo ni mifano mizito sana ambayo ukiifikiri kijujuu hutaweza kukipata kina chake na vipi inahusiana na siasa za kwetu za kila siku.

Namkumbuka mwalimu wangu Mr. Singh, miaka ya 70's, akituambia. "Do not complicate you daily lives by designing complicated formulas for your daily lives, start by designing simple forms".

Imagine watoto wangapi wasiowajuwa baba zao wanapoulizwa baba'ko anaitwa nani?
 
Thanks AshaDii for such a thread, indeed we as Tanzanians are now inspired by Kenyans and Zambians to do the same

It took bloodshed in Kenya which was unnecessary but for Zambia the takeover has been very peacefully and Banda's handing over speech had lots of positive reactions

I serve in one advisory board of one of their largest dam and have to travel there quarterly; there was a time when the whole country ran out of fuel because Banda had his sons doing the fuel tenders...so these incidences and many more IRK people

For CDM to be able to run govt, I thinki it just have to be a coallition(sp) govt given the fact that it has presence of more members than CUF and NCCR kwa bara..but it needs these critical counterparts,

CDM can't form a serious govt with the current parliamentarians as some are not capable of running ministries etc, and it needs the balance, so I would think for 2015 parties need to do economies of scale where one is more stronger than the other,

Also Tanzanians to see the demise of CCM will help them kujipanga upya na kurudi 'kinadhifu' zaidi...
 
Naomba niongeze mfano mwingine wa mabadiliko yaliyo wabadilika wananchi, ni Malawi kwa Bw. Bingu.... Huu ni mfano mwingine ulionichefuaga sana.
Hoja ya wapinzani kuungana mi binafsi siiafiki kabisa, umetoa upande wa mfano Kenya ila umeacha upande wa pili jinsi walivyovutana "Kibaki na Odinga" na iliaminika ndo sababu ya Kibaki kupotezea katiba katika awamu yake ya kwanza na hii iliwagharimu sana wakenya!
Nadhani tutakuwa na mjadala mpana zaidi kuhusu hli la vyama pinzani kuungana ila kwa kifupi somo la historia halionyeshi mafanikio mengi sana kwenye mifano, vyama vilivyoungana na kuendesha serikali.... Ni kuongeza ukilitimba tu na kuvurugana kimalengo, mikakati na itikadi katika uongozi.
Kwa kurudi kwenye tittle ya thread, ni vizuri kuchukua mifano ya wenzetu kama tahadhari na somo lakini bado haitupi uhalali wa kuhukumu kwamba hata upinzani watafuata mkondo huo wa kulewa madaraka.
Lakini pia kama jamii tumekubali CDM wanajipambanua kwa utayari wao kutwaa mamlaka ya UMMA, Tunaweza kupanua mjadala zaidi kwa kuwapima watu hawa kwa historia za kiutendaji katika hzi medani, japo nalo haliwezi kutupa asilimia ya utendaji wao wakipata dola!
Nje ya hapo naona tuache kwanza ajenda yetu kubwa iwe MABADILIKO!
Umma ukifanya hayo mabadiliko utajitambua kuwa wenye mamlaka hvyo hata hcho chama kipya kikija kikileta ujinga basi Umma utakipiga chini kwa mda muafaka. Mifano ya kushindwa kwa mabadiliko ya nchi za jirani ndio ccm imeendelea kuitumia ku-justify "bora zimwi likujualo"
so nadhani ajenda kuu ibaki kuwa "MABADILIKO NOMATTER WHAT"
 
Siasa za Afrika hazina tofauti na siasa za nchi zote changa. Na pia hazina tofauti na nchi zilizokomaa wakati zilipokuwa changa, historia inatufundisha kuwa, nchi zilizokomaa ziliingia katika majanga makubwa makubwa ya kisias wakati zikiwa changa. Historia pia inatufundisha kuwa sisi tunafanya vyema kuliko nchi nyingi zilizokomaa wakati zikiwa na umri wetu.

Seuse, nchi nyingi zilizoendelea zimepitia hatihati nyingi za kisiasa na hata kufikia kuuwana kwa halaiki na kumwaga damu kwa vipindi virefu mpaka walipofikia kuona kuwa, mnhhh, tunamalizana. Isitoshe, hii demokrasia tunakandamiziwa sisi tu, nchi mpya, wenyewe wana wafalme na ma malkia ambao hawagusiki. Na wale ambao hawana hayo basi wanakandamiza matabaka fulani hadi leo. Ukiingia deep na kufikiri, utakuta kuwa katika ulimwengu wa kisiasa, tunafanya vyema kuliko wengi duniani.

Tusichokiweza ni uongozi uliotukuka, na hii inatokana na kufinywa kielimu na watawala wa mwanzo wa nchi hizi zetu. Hakuna maendeleo wala kustaarabika kupasavyo bila kuwa na elimu na miongozo inayotekelezeka. Bila elimu tutabaki kuona wenzetu ni watu wa ajabu.

The above para what you have said I completely concur…. For it is true to the dot.

Mfano, tunajenga nyumba za kuishi miaka mia moja au zaidi wakati hatutegemei kuishi huko na wala hatufikirii kuwa miaka moja kuanzia leo hizo nyumba zitakuwa zimepitwa na wakati. Bado tunakusanya makopo na chupa tupu kwa kufikiri tu kuwa zitatusaidia kesho hali kadhalika tunalea watoto zetu ili watusaidie kesho na sio wajisaidie wenyewe, kama kwamba tutaishi milele. Hiyo ni mifano mizito sana ambayo ukiifikiri kijujuu hutaweza kukipata kina chake na vipi inahusiana na siasa za kwetu za kila siku. Namkumbuka mwalimu wangu Mr. Singh, miaka ya 70's, akituambia. "Do not complicate you daily lives by designing complicated formulas for your daily lives, start by designing simple forms". Imagine watoto wangapi wasiowajuwa baba zao wanapoulizwa baba'ko anaitwa nani?

The above paragraph Faiza Foxy… Umeongea so true and I am hoping kua kila ataeipitia awe CCM ama CDM ataelewa una maana gani… And na admire saana mtu ambae yupo katika Kundi husika na akaweza eleza both white na black stripes za hizo Chama; That is what I call a person a Great Thinker.. hasa katika hili Jukwaa gumu la Siasa… A person who is true to the analytical side of politics and true to one's self no matter the Chama. From the post twaweza pishana on the topic BUT what you have said hapa is indeed in relation to the Topic and one of the reasons of what has triggered me posting it.
 
Thanks AshaDii for such a thread, indeed we as Tanzanians are now inspired by Kenyans and Zambians to do the same It took bloodshed in Kenya which was unnecessary but for Zambia the takeover has been very peacefully and Banda's handing over speech had lots of positive reactions. I serve in one advisory board of one of their largest dam and have to travel there quarterly; there was a time when the whole country ran out of fuel because Banda had his sons doing the fuel tenders...so these incidences and many more IRK people

For CDM to be able to run govt, I thinki it just have to be a coallition(sp) govt given the fact that it has presence of more members than CUF and NCCR kwa bara..but it needs these critical counterparts, CDM can't form a serious govt with the current parliamentarians as some are not capable of running ministries etc, and it needs the balance, so I would think for 2015 parties need to do economies of scale where one is more stronger than the other, Also Tanzanians to see the demise of CCM will help them kujipanga upya na kurudi 'kinadhifu' zaidi...

Nsiande kumbe you are a BIG person eeeh?? Lol… Dams ni moja ya the most reliant sorces of incomes and Energy for the Zambians, hivo being on the advisory board hio position sio Mchezo… Hongera Dear. Upande wa blood shed, nature ya the Zambian people iko so very passive in relation to Politics hivo that is kind of an enigma for it to happen. Hata hivo Banda was a somehow lenient president with a weak character…. One of the reason PF waliweza shinda…

Ila hayo mambo ya Coalition government… labda kama CDM watabaki kua CDM na hawataki kuungana na vyama vingine. Na stage na level of governance ya kwetu hapa Tanzania the way imechafuliwa inabidi niungane na former member hapo nyuma kua what we need is a Completely new system of governance na sit u Raisi mpya. Hivo to me naona Coalliton government is not the answer na wala haitasaidia kitu, tumeona mifano halisi ya Ya Zimbabwe na hio governance yao, Chama geni inakua haina nguvu yoyote katika major decision making…. Which won't solve a thing!!! I like the part where you have touched on economizing in 2015.. na your last sentence.
 
Naomba niongeze mfano mwingine wa mabadiliko yaliyo wabadilika wananchi, ni Malawi kwa Bw. Bingu.... Huu ni mfano mwingine ulionichefuaga sana.
Hoja ya wapinzani kuungana mi binafsi siiafiki kabisa, umetoa upande wa mfano Kenya ila umeacha upande wa pili jinsi walivyovutana "Kibaki na Odinga" na iliaminika ndo sababu ya Kibaki kupotezea katiba katika awamu yake ya kwanza na hii iliwagharimu sana wakenya! Nadhani tutakuwa na mjadala mpana zaidi kuhusu hli la vyama pinzani kuungana ila kwa kifupi somo la historia halionyeshi mafanikio mengi sana kwenye mifano, vyama vilivyoungana na kuendesha serikali.... Ni kuongeza ukilitimba tu na kuvurugana kimalengo, mikakati na itikadi katika uongozi.
Kwa kurudi kwenye tittle ya thread, ni vizuri kuchukua mifano ya wenzetu kama tahadhari na somo lakini bado haitupi uhalali wa kuhukumu kwamba hata upinzani watafuata mkondo huo wa kulewa madaraka.
Lakini pia kama jamii tumekubali CDM wanajipambanua kwa utayari wao kutwaa mamlaka ya UMMA, Tunaweza kupanua mjadala zaidi kwa kuwapima watu hawa kwa historia za kiutendaji katika hzi medani, japo nalo haliwezi kutupa asilimia ya utendaji wao wakipata dola!
Nje ya hapo naona tuache kwanza ajenda yetu kubwa iwe MABADILIKO!
Umma ukifanya hayo mabadiliko utajitambua kuwa wenye mamlaka hvyo hata hcho chama kipya kikija kikileta ujinga basi Umma utakipiga chini kwa mda muafaka. Mifano ya kushindwa kwa mabadiliko ya nchi za jirani ndio ccm imeendelea kuitumia ku-justify "bora zimwi likujualo"
so nadhani ajenda kuu ibaki kuwa "MABADILIKO NOMATTER WHAT"


Nimependa the above perspective…. Ila JG kumbuka kua hawa watu wana mizizi saana na kufanikiwa kwa Vyama pinzani hio ni moja ya eneo inabidi wakubaliane nalo bila kupinga, for as much as yaonekana kua CCM wameelemewa na hali ni mbaya… Belive me you they are still left with one or two tricks ambazo if not careful (Wapinzani) waweza kuta huo uchaguzi ujao CCM wanachukua tena Presidential seat!! Uzuri ni kwamba tuna Case studies nyingi ambazo twaweza jifunzia… From hapo Kenya to Zimbabwe… in case tukaongelea mambo ya Coalition; Na kama vyama pinzani woote wajiona ni bora kuliko Chama chenzao pinzani – hio ni moja ya aspect ambayo twaweza wadefine kua ni wa binafsi.

Kukubali kwamba CDM wanajipambanua kwa Utayari wa Kutwaa mamlaka ya UMMA…. Haitoshi JG – Hapa kuna kazi ngumu nay a ziada ambayo ipo na inatakiwa ifanywe mapema. Unajua usiangalie tu kua kila mtu aiongelea CDM; That is not enough to say with confidence kua sasa Watanzania wameamka na hawitaki CCM, Hapo inakua kujiliwaza moyo kwa kusikiliza mziki nyororo ili tu kupoza zile unneeded feelings uzisikiapo…. Na ndio hicho ambacho napenda saana kusisitiza (na ndo sababu nimem-qoute mwalimu) MABADILIKO hayaji at Par…. Kushindwa katika uchaguzi kwa CCM katika uchaguzi ujao haina maana kua sasa mambo yatakua mazuri… Lah! Ila tu itakua ni mwanzo wa Mambo mazuri… Hopefull
 
Hii tread ni muhumu sana kwa faida ya nchi yetu!
Tunapenda michango ya ujenzi ya namna hii.
Nimeipitia nimejifunza mengi sana nakupa pongezi AshaDII, kwa hii thread yako pita pita huku usikae sana kule kwenye jukwaa la lenu

Mkuu Ritz kule mmu kuna starehe ya ajabu ,no too much thinking, tunabembea tu baada ya mishemishe za kutafuta riziki,karibu uwe na sisi!
 
Mkuu Ritz kule mmu kuna starehe ya ajabu ,no too much thinking, tunabembea tu baada ya mishemishe za kutafuta riziki,karibu uwe na sisi!


MMU is about loving... giving love... and loving again and again and again..... Itakuwaje pasiwe na amani B'??
 
Thanks AshaDii for such a thread, indeed we as Tanzanians are now inspired by Kenyans and Zambians to do the same

It took bloodshed in Kenya which was unnecessary but for Zambia the takeover has been very peacefully and Banda's handing over speech had lots of positive reactions

I serve in one advisory board of one of their largest dam and have to travel there quarterly; there was a time when the whole country ran out of fuel because Banda had his sons doing the fuel tenders...so these incidences and many more IRK people

For CDM to be able to run govt, I thinki it just have to be a coallition(sp) govt given the fact that it has presence of more members than CUF and NCCR kwa bara..but it needs these critical counterparts,

CDM can't form a serious govt with the current parliamentarians as some are not capable of running ministries etc, and it needs the balance, so I would think for 2015 parties need to do economies of scale where one is more stronger than the other,

Also Tanzanians to see the demise of CCM will help them kujipanga upya na kurudi 'kinadhifu' zaidi...

Nsiande,ninachofahamu mimi ili Chama kiitwe kweli ni chama cha siasa kinahitaji sifa kuu nne:
1. Imani-All Party members must have a common faith,mfano 'Binadamu wote ni sawa na Africa ni moja'.

2. Itikadi- Ideology,huwezi kuwa na Chama na kikajiita Chama kama hakina Ideology-mfano Ujamaa na Kujitegemea

3.Muono-Vision, Wenye lichama lao lazima wawe na uhakika nini wanaitakia nchi yao,wanataka nchi yao iweje hatimaye.

4.Programu-Umekwishakuwa na imani,itikadi,na muono kilichobakia hapo ni kutengeneza programme ya kukupeleka kwenye vision yako ukisimamia kwenye misingi ya itikadi ya chama chako na ukizingatia umuhimu wa imani ya Chama chako na hiyo ndio maana ya kuwa na Ilani.

To me,short of that utakuwa na collection of a bunch of waganga njaa ambao lengo lao kuu ni kushibisha matumbo yao na ya familia zao in the name of political parties.

Nawasilisha.
 
Nsiande,ninachofahamu mimi ili Chama kiitwe kweli ni chama cha siasa kinahitaji sifa kuu nne:
1. Imani-All Party members must have a common faith,mfano 'Binadamu wote ni sawa na Africa ni moja'.

2. Itikadi- Ideology,huwezi kuwa na Chama na kikajiita Chama kama hakina Ideology-mfano Ujamaa na Kujitegemea

3.Muono-Vision, Wenye lichama lao lazima wawe na uhakika nini wanaitakia nchi yao,wanataka nchi yao iweje hatimaye.

4.Programu-Umekwishakuwa na imani,itikadi,na muono kilichobakia hapo ni kutengeneza programme ya kukupeleka kwenye vision yako ukisimamia kwenye misingi ya itikadi ya chama chako na ukizingatia umuhimu wa imani ya Chama chako na hiyo ndio maana ya kuwa na Ilani.

To me,short of that utakuwa na collection of a bunch of waganga njaa ambao lengo lao kuu ni kushibisha matumbo yao na ya familia zao in the name of political parties.

Nawasilisha.
Labda nianzie hapa... tena kwa kumshukuru Bishanga kwa huu ufafanuzi...
Pili nadhani Adii hukunisoma sawa sawa, mi nilizungumzia kuwa wao CDM wanajipambanua... mbele ya Umma kuwa wapo tayari..!
Sijasema kuwa Umma umewapambanua ok nadhani ni suala la lugha gongana tu japo!
Jamani, hebu tuyasome hayo aliyoyasema Bishanga hapo afu tutafakari zaidi juu ya hili la vyama kuungana.
Falsafa ya vyama vya siasa ni pana sana haiishii majukwaani tu na kwenye uchaguzi wa kugombania dola....
Kama kila chama kina Imani, Itikadi, Muono na Programu yake.... afu hivi vyama viungane???
Siamini katika ukamilifu wa chama ili ndio kitwae dola.
Kwani hata TANU wakati wa kututwalia "uhuru" kilikuwa na mapungufu mengi tu...
Nadhani ni muhimu kwa kuvipima vyama hivi vilivyopo kwa wakati na namna kila kimoja kinavyoweza kusimamia hizo ajenda zake.
Kwa mfano Igunga... ukweli umevibakiza vyama vi3 tu kwenye kinyang'anyiro kile... tutaenda kwa mwendo huu mpaka hapo vitakapobaki vi2 tu!
Labda ndio wengi wanavyotaka.
Ila nadhani hoja yako kuu ilikuwa ni namna gani hivi vyama vinashughulikia UFISADI baada ya kulamba dola...
Hili ni swali la future zaidi ni ngumu kupata jibu la uhakika kabla ya chama kipya kukipa dola... japo tunaweza kukipima tu kabla ila pia kipimo hicho kinaweza kutoa majibu yasiyo sahihi sana.
 
Hio paragraph ambayo umeongea hapa…. That is my line of thought, I always say kua tokana na hali zetu mbaya kwa most Wanachi, Watanzania wakaze vibwebwe, kwamba kuwepo tu kwa a new Ruling government does not necessarily mean kua kutakua na hali nzuri kwa Mtanzania – these things take time; hali itaendelea kua mbaya uzuri labda tu ile hope kwamba new changes will work for the better kwa kila Mtanzania. For hio change in governance under a new part is just the first step to improvement (which nayo ikienda vibaya ya weza kua for worse); Napenda niongezee kua as much as you have expressed kua Ups and Downs hazikwepeki... I agree to that na hio ndo ufanya taifa iwe STRONG but narudi kua hilo la kuwajibishwa kwa MAFISADI ni suala linalowezekana kama kutakua hamna unafiki kama vile wa Mrema.... Uko chama kingine unakula Dinner na kusifia chama kingine....

I do believe in history too! That we have past and future made by the present moment .. NOW ..!

Nataka tuanze kuangalia na kuijadili Tanzania we want from the Time present NOW! Hali kwa sasa iko vipi na forces involved on*what*makes the NOW moment in which we are the part to make future and the*history.*

CCM,*

Mmepoteza mwelekeo na its a shame. Its a total confusion and you simply dont know what you are doing and what you want and how to get what you dont want. We can give some kind of focusing and advice but as it seems and looks you are not in any position to listen and take any advice.. for in the first place who do we consult when we want to do such an approach? Every body is doing everything every where!!

BUT still .. its not too late ...

You can come back , pull back and do the*recollection... and win the trust of your members ...Just DARE ... Do the impossible ..do what must be done ..do what you have delayed to do for so long ... do it now... Take care of the corruptions .. AND show that you care the founding principles of this Nation .. UTU wa MTU .. as the core driving force to all of your*approaches. Yes, You have lost all the credibilities ..when you threw away .. the human*dignity*as the driving force for the betterment of our Nation. It was Human*dignity*which was the building stone and the formation of the new Nation ..Tanganyika... and the rest was just history!

Since that can not be done or*practiced*at the present moment NOW ... This*weakness*becomes the activating FORCE for*another*party/system to take over ... Or am I wrong with that? *.. Do you think you can do something very fast for the*rescue? I am waiting to see!!

CHADEMA.

I read it that ..very soon you will take the Country with a*new President! This will become so just because the former party did what they did to make all this possible for you to be in the state house. Congratulations !!!!!

African countries has history well*documented... That there is a strong evidence that ..the history will replay when CHADEMA has taken the Country.. Do we all agree with that? IMO**I have nothing to argue against that! and I*don't*see any reasons why CHADEMA*shouldn't*put this in there advantage .. WORK ON IT NOW! and use this as strong point to*convince*us to vote for you when time comes!
 
AshaDii, hongera kwa hizi nondo ulizoshusha hapa! Hakika huu ni upembuzi yakinifu.
Lakini nina swali moja....Si mara moja nakusoma hapa jamvini kuwa humkubali Dr Slaa
na kuna siku ulisema ni heri Zitto kabwe awe mgombea urahisi mwaka 2015 kuliko Dr Slaa.
Na leo hapa umerudia uzi ule ule wa kutomkubali Dr Slaa. Je wewe unaona Dr Slaa ana tatizo gani?
I do understand kila mtu anamtizamo wake! So sikulazimishi kumkubali Dr Slaa, lakini leo si vibaya
ukifunguka zaidi na useme kwa nini upendi next election Dr agombee tena kupitia CDM?
 
In my opinion kwangu mimi the biggest Fisadi ni CCM yenyewe baada ya kufanya mali, majengo na vitu vya wananchi (viwanja vya mipira n.k.) kwamba ni vya kwao wakati ni vya taifa na kila mwananchi alichangia kuvijenga...

Hivyo basi kwa Tanzania kuitoa CCM madarakani haitoshi (kwa mtaji wa pesa walionao watajipanga na kurudi tena...) "Different Script Same Cast". Inabidi CCM ifilisiwe na mali zile za taifa zirudi kwa wananchi; pia itakuwa bora kama CCM itavunjika within na kupata vyama vingi na upinzani kuwa na nguvu..

Pia inabidi tuwe na system nzuri (Katiba..) ili hata wapinzani wakiingia madarakani wasije kufanya yale yale ambayo tunayakataa sasa... Kuhusu what will happen in Tanzania ni vigumu ku-predict (one month is a long time in politics let alone a few years..) bali wapinzani wakijipanga vizuri. (ambapo nadhani bado there is still a big room for improvement...) wataiondoa CCM (ambayo sasa ni kama mlevi ni kumsukuma tu..) Ingawa nao sijui wana strategies zipi au ndio wanangoja kukumbuka shuka ikifika asubuhi..!!! (Inabidi wangeanza Kampeni za 2015 kuanzia mwaka jana na sio kusubiri 2015 (it might be late by then..)
 
Nsiande kumbe you are a BIG person eeeh?? Lol… Dams ni moja ya the most reliant sorces of incomes and Energy for the Zambians, hivo being on the advisory board hio position sio Mchezo… Hongera Dear. Upande wa blood shed, nature ya the Zambian people iko so very passive in relation to Politics hivo that is kind of an enigma for it to happen. Hata hivo Banda was a somehow lenient president with a weak character…. One of the reason PF waliweza shinda…

Ila hayo mambo ya Coalition government… labda kama CDM watabaki kua CDM na hawataki kuungana na vyama vingine. Na stage na level of governance ya kwetu hapa Tanzania the way imechafuliwa inabidi niungane na former member hapo nyuma kua what we need is a Completely new system of governance na sit u Raisi mpya. Hivo to me naona Coalliton government is not the answer na wala haitasaidia kitu, tumeona mifano halisi ya Ya Zimbabwe na hio governance yao, Chama geni inakua haina nguvu yoyote katika major decision making…. Which won’t solve a thing!!! I like the part where you have touched on economizing in 2015.. na your last sentence.

Not such a biiiig! Si unajua Nabii hakubaliki kwao!

Coalition has pros and cons, right now the only strong opposn for Bara ni CDM lakini with its setup for it to get a sure way kuibwaga CCM it needs backing of other parties, and for them to agree ...they need an in in it...ujuavyo ( 'the what's in it for me syndrome' )

Banda came to power unexpectedly without elections coz of the president's sudden demise so he somehow had only 2yrs to do 'anything' to get back, however his % in winning wasn't bad for someone who had served shorter term...
 
AshaDii, hongera kwa hizi nondo ulizoshusha hapa! Hakika huu ni upembuzi yakinifu.
Lakini nina swali moja....Si mara moja nakusoma hapa jamvini kuwa humkubali Dr Slaa
na kuna siku ulisema ni heri Zitto kabwe awe mgombea urahisi mwaka 2015 kuliko Dr Slaa.
Na leo hapa umerudia uzi ule ule wa kutomkubali Dr Slaa. Je wewe unaona Dr Slaa ana tatizo gani?
I do understand kila mtu anamtizamo wake! So sikulazimishi kumkubali Dr Slaa, lakini leo si vibaya
ukifunguka zaidi na useme kwa nini upendi next election Dr agombee tena kupitia CDM?

Ni Mtazamo wake, lakini personnaly I know that without Dr Slaa hata hao wabunge 20 CDM isingepata ! No sir

I like Zitto a lot but I just can't trust him, time and again he has failed us miserably I don't think Mbowe is a president material nor Zitto nor Mnyika, currently I only see Dr Slaa for CDM

Ni mtazamo wangu tu
 
walau Kenya ni nchi moja wapo ambayo ina mfano mzuri wa change ya Chama tawala na Uongozi ambavo imekua beneficial katika sectors mbali mbali (ingawa bado hali ni mbaya but afadhali) na pia kuongeza power of vote kwa mwanachi wa kawaida katika decision making related to their Nation na mambo husika e.g swala la Kenyatta in relation na mahakama ya ICC.

Hapo ungefafanua zaidi, sekta zipi zimenufaika na kivipi. Na vipi chaguzi huko kenya zimeongeza nguvu ya kura ya mwananchi tofauti na nchi nyingine. Indicators zipi umetumia?
 
Back
Top Bottom