Transfer Window updates 2013/2014 season - Europe

Transfer Window updates 2013/2014 season - Europe

Wayne Rooney amesema bado anataka kuondoka ManUtd. Chelsea wamepandisha dau hadi £40m na mshahara wa £300,000 kwa wiki.
 
Jezi namba 11 ya Real Madrid imeachwa wazi msimu huu ikimsubiri GARETH BALE.
 
Baada ya kuanza vibaya, Arsenal wamemwaga ofa ya £10m. ili kumsajili Yohan Cabaye (27) kutoka Newcastle. Ni kawaida ya kocha Wenger kupendelea wachezaji kutoka Ufaransa.
Hata hivyo Newcastle wamekataa ofa hiyo ambayo haina mvuto.
 
Kocha Arsene Wenger amesema sasa wapenzi wa Arsenal wategemee MAMBO MAKUBWA ndani ya siku 12 zijazo. Dirisha la usajili litafungwa tarehe 02 Septemba.
 
Kocha Arsene Wenger amesema sasa wapenzi wa Arsenal wategemee MAMBO MAKUBWA ndani ya siku 12 zijazo. Dirisha la usajili litafungwa tarehe 02 Septemba.

Hizo ni porojo za mzee Wenger, tushamzoea mpaka tumechoka! Mimi nataka kile chama cha arsenal fans waandamane mpaka kieleweke.
 
Kuna tetesi kwamba Arsenal wanamtaka Karim Benzema na Angel Di Maria.... ndoto za, mchana hizo!
 
Gareth Bale ameshatua Madrid kushughulikia uhamisho wake utakaogharimu £86m. Mambo yote yanatarajiwa kukamilika tarehe 27 Aug.
 
Kiungo mshambuliaji mbrazil Willian (25) ametua kwa uhamisho wa £30m kutoka Anzhi Makhachkala ya Urusi. Amesaini mkataba wa miaka 5.
 
Josebaada ya kugonga mwamba juu ya uhamisho wa rooney ameamia kwa suarez kwa mujibu wa the guardian watamtoa torres na kiasi cha 30..
 
Almost deal done..victor moses from chelsea to liverpool.
 
Gareth-Bale-2245436.jpg
 
Zikiwa zimebaki siku 2 kabla ya dirisha la usajili kufungwa, ARSENAL imetoa list mpya ya wachezaji inaowawania akiwemo kiungo kinda wa Schalke Julian Draxler (19), kiungo mkongwe Kaka (31) na winga Salomon Kalou (28).
 
31 August 2013 Last updated at 23:02 GMT

Sunday's gossip column: Football transfers & rumours


For a list of confirmed transfers, check out our transfers page.
TRANSFER GOSSIP

Juventus have ended their interest in Manchester United's 26-year-old winger Nani, with the Italian club's sporting director Fabio Paratici saying the player has signed a new contract at Old Trafford.
Full story: Daily Express
_69585362_163168112(1).jpg

Midfielder Nani made 17 appearances for Manchester United last season.

Swansea have warned Arsenal they are prepared to fight "tooth and nail" to keep hold of 29-year-old central defender Ashley Williams and striker Michu, 27.
Full story: Metro
Manchester United were preparing an improved offer for Athletic Bilbao midfielder Ander Herrera, 24, after their £21m bid was rejected.
Full story: Mail on Sunday
Herrera's father says that it would be very difficult for his son to leave the Spanish side.
Full story: Goal.com
Crystal Palace have made a £5m bid for Wigan midfielder Callum McManaman. Eagles boss Ian Holloway had the 22-year-old on loan at Blackpool in 2011.
Full story: Sunday Mirror
_69585369_168747505.jpg

Midfielder Callum McManaman was man of the match in this year's FA Cup Final.

Liverpool are ready to agree a £1.5m loan fee for Victor Moses, but city rivals Everton are also in pursuit of the 22-year-old Chelsea winger, who is not in Jose Mourinho's immediate plans.
Full story: Sunday People
Manchester United are still hoping to land Roma's 30-year-old midfielder Daniele De Rossi on a loan deal before the transfer window closes on Monday at 23:00 BST.
Full story: Daily Star Sunday
Chelsea playmaker Juan Mata, 25, will have to ­demand a transfer in order to push through a move to Arsenal.
Full story: Sunday People
GLOBAL GOSSIP

Everton midfielder Marouane Fellaini, 25, will move to Manchester United in a £28m deal and the Belgium international will be unveiled at a press conference on Monday.
Full story: Sport Wereld (in Belgian)
AC Milan have moved quickly to replace midfielder Kevin-Prince Boateng, 26, by signing Slovenia midfielder Valter Birsa, 27, from Serie A side Genoa in a part-exchange deal involving defender Luca Antonini, 31.
Full story: Uefa.com
OTHER GOSSIP

Wayne Rooney is out of Manchester United's trip to Liverpool on Sunday. The 27-year-old could miss England's World Cup qualifiers against Moldova and Ukraine after having 10 stitches in a head gash suffered in training on Saturday.
Full story: Sunday Mirror
Rooney was seen leaving the club's Carrington training ground with a bandage wrapped around his head.
Full story: Mail on Sunday
Liverpool skipper Steven Gerrard, 33, has told striker Luis Suarez, 26, that he is too big for Arsenal, but he can go to Real Madrid, Barcelona or Bayern Munich if Liverpool don't qualify for the next season's Champions League.
Full story: Sunday Mirror
Arsenal boss Arsene Wenger says he would not be prepared to work with a director of football.
Full story: The Observer
Real Madrid want Gareth Bale to miss Wales' World Cup qualifiers against ­Macedonia and Serbia after the Tottenham playmaker, 24, signs for the Spanish giants.
Full story: Sunday Mirror
AND FINALLY

Chelsea's Romelu Lukaku, 20, may have missed the penalty that saw Bayern Munich lift the Super Cup but the striker been praised for his courage by former Stamford Bridge legend Didier Drogba, 35.
Full story: Daily Mail
New Chelsea midfield signing Willian, 25, is said to like a chant that Chelsea fans have dedicated to him that includes the line "He hates Tottenham!"

 
Arsene Wenger ameahidi SUPRISE Signing kwa mashabiki wa Arsenal zikiwa zimebaki takiban saa 24 tu dirisha kubwa la uajili kufungwa.
 
- Juan Mata, Miguel Michu, Kaka na Draxler ni majina yanayoonekana sana kwenye mawasiliano ya usiku huu.
- Victor Moses huenda akatua Liverpool au Everton hadi kufikia kesho.
 
Hatimaye Gareth Bale (24) ametua Real Madrid kwa uhamisho wa £85.3m (REKODI YA DUNIA) kwa mkataba wa miaka 6. Atalipwa mshahara wa £300,000 kwa wiki. Kumbuka Christiano Ronaldo alisajiliwa na Real Madrid kwa dau la £80m.
View attachment 110258
 
- Juan Mata, Miguel Michu, Kaka na Draxler ni majina yanayoonekana sana kwenye mawasiliano ya usiku huu.
- Victor Moses huenda akatua Liverpool au Everton hadi kufikia kesho.
Victor Moses ameshaenda Liverpool jana alikuwa uwanjani na akina Kolo Toure na Sokho alisajiliwa kutoka PSG,ila Surprise ya Wenger sijui itakuwa ni Rooney maana haya mambo ya kuumia kichwa hatujawahi ona tusubiri tuone Babu Wenger atatupa nani safari hii !




Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Luis Suarez huenda akatua REAL MADRID leo kwa dau la £45m.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom