Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,328
Jose Mourinho sasa ndio kocha mpya wa Chelsea kwa mkataba MNONO wa miaka 4, kwa dau la £8.5m kwa mwaka. Mourinho atakuwa kocha ghali kuliko wote katika historia ya EPL.
...THE SPECIAL ONE!!!
Source Mkuu??