Ma trainer wengine wakizidiwa kazi hawaoni hata wanaposhika, cheki jamaa hapo
And strange enough no reaction kutoka kwa trainees... inaonekana wanaenjoy maana opportunity yenye justification kama hizi ni chache na hakuna atakaeshtukia... sorry huwa wenzetu fulani hawapendi comments kama hizi kwa misingi yao lakini mimi nasema hizi zote ni social insentives maana communication has so many ways...