tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Hivi kuna mtu ambaye ameshafanyiwa interview, ameshaitwa kuanza hii program. Kwangu mimi wiki mbili walizodai nisubiri zimeshakwisha, na kila ninayemuuliza{ninaowafahamu} wanadai hawajaitwa.
Vuta subira kaka