Trafiki waongee na dereva/konda ndani ya gari mbele ya abiria

Crocozilla

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
469
335
Ni kawaida sana kwa Traffic wanapomkamata dereva ana kosa kumtaka atoke ndani ya gari amfuate au konda amfuate na mara nyingi kwenye gari yao au chini ya mti.
Hii ni ishara mbaya sana na kwa kweli inajenga au kuhashiria maandalizi ya rushwa. Najua wote ambao ni madereva au hata kama wasafiri mnajua vema hili ninalojaribu kueleza.

Kuna habari hii hapa chini nimeipata mahali. Kama ni kweli ni hatua nzuri japo tumeshaliibia sana taifa;

"From Kamanda Mpinga na Jeshi la Polisi Usalama Barabarani

Kuanzia sasa ni MARUFUKU kwa kondakta au dereva wa bus, daradara au gari yeyote kushuka toka ndani ya gari na kwenda kuongea na Traffic pindi anaposimamishwa

Atatakiwa abaki ndani ya Bus or daladala na ataambiwa kosa lake huku abiria wote wakisikia na kama kuna adhabu ataitoa wakishuhudia"

Wewe unalionaje hili?
 
Ni kawaida sana kwa Traffic wanapomkamata dereva ana kosa kumtaka atoke ndani ya gari amfuate au konda amfuate na mara nyingi kwenye gari yao au chini ya mti.
Hii ni ishara mbaya sana na kwa kweli inajenga au kuhashiria maandalizi ya rushwa. Najua wote ambao ni madereva au hata kama wasafiri mnajua vema hili ninalojaribu kueleza.

Kuna habari hii hapa chini nimeipata mahali. Kama ni kweli ni hatua nzuri japo tumeshaliibia sana taifa;

"From Kamanda Mpinga na Jeshi la Polisi Usalama Barabarani

Kuanzia sasa ni MARUFUKU kwa kondakta au dereva wa bus, daradara au gari yeyote kushuka toka ndani ya gari na kwenda kuongea na Traffic pindi anaposimamishwa

Atatakiwa abaki ndani ya Bus or daladala na ataambiwa kosa lake huku abiria wote wakisikia na kama kuna adhabu ataitoa wakishuhudia"

Wewe unalionaje hili?
Una hoja nzuri shida ni utekelezaji...walishajaribu huko nyuma ikashindikana
Labda tu ni kusisitiza uzalendo na nidhamu ya kazi huku wakiboreshewa maslahi yao na kutoa ADHABU KALI SANA kwa wale watakaothibitika kutoa na kupokea rushwa
 
Ni kawaida sana kwa Traffic wanapomkamata dereva ana kosa kumtaka atoke ndani ya gari amfuate au konda amfuate na mara nyingi kwenye gari yao au chini ya mti.
Hii ni ishara mbaya sana na kwa kweli inajenga au kuhashiria maandalizi ya rushwa. Najua wote ambao ni madereva au hata kama wasafiri mnajua vema hili ninalojaribu kueleza.

Kuna habari hii hapa chini nimeipata mahali. Kama ni kweli ni hatua nzuri japo tumeshaliibia sana taifa;

"From Kamanda Mpinga na Jeshi la Polisi Usalama Barabarani

Kuanzia sasa ni MARUFUKU kwa kondakta au dereva wa bus, daradara au gari yeyote kushuka toka ndani ya gari na kwenda kuongea na Traffic pindi anaposimamishwa

Atatakiwa abaki ndani ya Bus or daladala na ataambiwa kosa lake huku abiria wote wakisikia na kama kuna adhabu ataitoa wakishuhudia"

Wewe unalionaje hili?
maagizo hayo ni mazur wakiwapatia huko ccp ktk mafunzo yao saiv yashakubuhu wasema samak mkunje angali mbich na kuwaonya kujiingiza ktk siasa hasa kukipendelea chama tawala.
 
Back
Top Bottom