white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,341
- 13,325
ama kweli leo,ndio nimekubali kuwa samaki mmoja akioza wote lazima waoze,leo ktk makutano ya barabara ya mandela na nyerere(tazara)kuna trafiki wa kike yuko pale,ameamua kutoruhusu magari yanayotoka mandera road kwenda buguruni/nyerere road,kwa takribani saa 1!kisa kuna dreva wa daladala alimpigia honi kuashiria mbona upande wao ameusahau!kweli dada akafunga vioo,tumekaa kwenye foleni,huku magari ya pande nyingine yanaruhusiwa bila shida!sasa pale amemkomoa dreva wa daladala yule au wote tuliokuwa kwenye foleni ile!mi nadhani bora wa ache tu taa zifanye kazi yake,hasa kipindi hiki cha mchana.