nchi ishauzwa hii
Ahahah! Namjua huyo jamaa duka lake lipo pale mkunguni anauza jezi anapenda sana kutembelea baiskeli hamna mchina pale labda hawadanganye wakujaNapenda kukufahamisha tu, kuwa huyo si mchina wa leo wala jana Tanzania. Asili yake ni Mchina wa Unguja, vizazi vyake ni vya wachina waliobaki Unguja toka enzi na enzi na kwa muda mrefu sasa anaishi Kariakoo, kwa tunaoishi Kariakoo tunamfaham sana na ni mtoto wa mjini. Msikiti anaopendelea kuswali ni Manyema, karibu sana na hapo ilipochukuliwa hii video.Kwa wasio mjua wataona ni ajabu lakini anafanya kitu cha maana sana kwa mwenye kuelewa.
Ahahah! Namjua huyo jamaa duka lake lipo pale mkunguni anauza jezi anapenda sana kutembelea baiskeli hamna mchina pale labda hawadanganye wakuja
Ahahah! Namjua huyo jamaa duka lake lipo pale mkunguni anauza jezi anapenda sana kutembelea baiskeli hamna mchina pale labda hawadanganye wakuja
huyu nae Mtanzania?
Kweli Faizal, unamjua ata china kwenyewe hajawahi kufika..Faizal nakupa ofa ya Mandi leo pale mtaa wa UdoeTena mpenzi kweli wa Manchester.
Napenda kukufahamisha tu, kuwa huyo si mchina wa leo wala jana Tanzania. Asili yake ni Mchina wa Unguja, vizazi vyake ni vya wachina waliobaki Unguja toka enzi na enzi na kwa muda mrefu sasa anaishi Kariakoo, kwa tunaoishi Kariakoo tunamfaham sana na ni mtoto wa mjini. Msikiti anaopendelea kuswali ni Manyema, karibu sana na hapo ilipochukuliwa hii video.
Kwa wasio mjua wataona ni ajabu lakini anafanya kitu cha maana sana kwa mwenye kuelewa.
Kweli Faizal, unamjua ata china kwenyewe hajawahi kufika..Faizal nakupa ofa ya Mandi leo pale mtaa wa Udoe
Mandi ya wasomali ile, siipendi mie huwa naagiza orijino ya "mahadhramy" kutoka mtaa wa pemba. Kuna bibi mmoja wa kiarabu pale anapika mandi kwa order.
Faizal, pemba kipande au pemba livingstone au pemba Lumumba? Ni PM namba yake ya simu nikiwa na shuhuli nifanye orderMandi ya wasomali ile, siipendi mie huwa naagiza orijino ya "mahadhramy" kutoka mtaa wa pemba. Kuna bibi mmoja wa kiarabu pale anapika mandi kwa order.
dah! Hamna mchina pale. Ni rangi tu. Si ndio?Ahahah! Namjua huyo jamaa duka lake lipo pale mkunguni anauza jezi anapenda sana kutembelea baiskeli hamna mchina pale labda hawadanganye wakuja
Faizal, pemba kipande au pemba livingstone au pemba Lumumba? Ni PM namba yake ya simu nikiwa na shuhuli nifanye order
dah! Hamna mchina pale. Ni rangi tu. Si ndio?
Du FF wewe ni Mfukunyufuuuu...
Thanx Faiza nimekipataNi Pemba karibu ya Lumumba, pale wanauza uza mirungi. Ntaku PM namba yake, ongea nae taratibu hata kiswahili hajui vizuri, unless kama unajuwa kiarabu haya tena...
Halafu ondoa hiyo L kwenye jina langu mie ni aidha Faiza au FaizaFoxy au FF.
Duu! ufafanuzi mpaka msikiti anaopenda kuswali!?Napenda kukufahamisha tu, kuwa huyo si mchina wa leo wala jana Tanzania. Asili yake ni Mchina wa Unguja, vizazi vyake ni vya wachina waliobaki Unguja toka enzi na enzi na kwa muda mrefu sasa anaishi Kariakoo, kwa tunaoishi Kariakoo tunamfaham sana na ni mtoto wa mjini. Msikiti anaopendelea kuswali ni Manyema, karibu sana na hapo ilipochukuliwa hii video.Kwa wasio mjua wataona ni ajabu lakini anafanya kitu cha maana sana kwa mwenye kuelewa.