Trafiki afa baada ya kukamata daladala

ma trafiki wa Moshi niwasumbufu hata kama huna kosa wanataka kitu kdogo

Bora wa Moshi mara mia. Wa Arusha ndio kichefuchefu kabisa. Utakuta askari 20 sehemu moja eti wote ni trafiki na wako kazini..
 
Yuko mzee mmoja wa kipare anaitwa "Kilenga" ni maarufu sana mkoani kilimanjaro, huyo mzee ana magari (Kilenga Luxury) yanayopiga ruti za Arusha, Moshi, Tanga. Ikitokea trafiki akakamata gari yake basi huo ndo mwisho wa uhai wa huyo trafiki.

"Kilenga" ina maanisha nini mkuu??
 
Kifo ni kifo tu zingine zote ni sababu.

Inna li Llahi wa inna iLlayhi rajiun.
 
Kimsingi Polisi akikamata gari hapaswi kulipanda!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Pole kwa wafiwa.
Apumzike kwa amani.
 
Unatafuta urafiki na Faiza??? Kulikoni

Jamani kwani tatizo nini! ndani ya jf humu mimi najua wote marafiki hata kama tuna mawazo tofauti ktk issues, ndiyo maana tunajadili mambo kwa pamoja. Otherwise kama una interest zako tofauti, na labda una interest binafsi na Faiza unahisi zitahatarishwa. Be happy 100%, nilifurahi comment yake ndo maana nikampa heshima ya kumsalimia.
 

Utakufa kwa kuogopa wachawi . Acha kihoro na mambo ya kusadikika. Mbona analipa ushuru na road license?
 
ma trafiki wa Moshi niwasumbufu hata kama huna kosa wanataka kitu kdogo

Hutakiwi kutoa chochote ni uoga wako wa kulipa faini ya Shs 30,000 unaokufanya umuombe trafiki apokee rushwa ya kitu kidogo ili yaishe.

Kama huna kosa rushwa unatoa ya nini hujui kutoa rushwa na kupokea vyote ni kosa la jinai?
 

mhhhh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…