Kuna trafiki alikamata gari la mzee kilenga, watu wakamshauri aliachie akawa mbishi, kuanzia siju hiyo akivaa nguo za trafiki anawashwa karibu ya kufa, akivaa za kawaida mzima.
Dada mmoja trafiki nae alikamata akatokwa na bleed mfululizo bila kukoma wakamshauri akamtafute mzee mwenyewe, akampelekea zawadi ya sukari mzee akamshika kichwa dada akapona, siku yapili akaacha kazi