Trafik polisi wanatuchanganya

Trafik polisi wanatuchanganya

Shining Light

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2024
Posts
406
Reaction score
528
Wale traffic polisi wanatumia kile kidude kuita magari sijui ndio kinaitwa baton, Yaani amewasha nyekundu alafu anaita magari au amewasha kijani alafu anastopisha magari.. Mimi kwa kweli ninachanganyikiwa sana.

Kwani hawaja pewa elimu ya kukitumia?
 
Wale traffic polisi wanatumia kile kidude kuita magari sijui ndio kinaitwa baton, Yaani amewasha nyekundu alafu anaita magari au amewasha kijani alafu anastopisha magari.. Mimi kwa kweli ninachanganyikiwa sana.

Kwani hawaja pewa elimu ya kukitumia?
Mgonge apate akili.
 
Hicho wanachofanya ni uhalisia wa jinsi mambo yanavyokwenda huku ground!.
 
Back
Top Bottom