Kama ulijua kuwa natoka Rombo na mimi ni Mrombo.Nadhani nyie wana jf hasa kutoka Rombo kwa maana niliposema kuwa nachukia wachagga ni hawa wanavunjo yaani mwakilishi wao bungeni ni Lyatonga,makabila mengine yote kama vile wamachame,wakibosho, waoldmoshina na warombo hawa sina tatizo nao kwa maana kiuhalisia hawa si wachagga.