Traficc torch zinafanyaje kazi?

Traficc torch zinafanyaje kazi?

LEGE

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
5,122
Reaction score
9,223
wakuu nisiwachoshe sanaa.
naamini humu kuna wataalam mbali mbali na ikiwezekana kunaweza kukawa na hata watu waliowahi zitumia hizi TORCH kama ambavyo zinaitwa.

hapa namaanisha ni zile kamera za kunasa speed ambazo huwa zinatumiwa na trafic kurecord magari yanayokuwa speed zaidi.

swali langu ni jee hizi kamera zinafanyeje kazi mpaka zinanasa speed unayokuja nayo gari?? au zinawezaje kunasa peed ya gari??.ni techologia gani inayotumika?!

na je camera zile zinaweza hata nasa speed ya kitu kingine chochote kile??.
 
wakuu nisiwachoshe sanaa.
naamini humu kuna wataalam mbali mbali na ikiwezekana kunaweza kukawa na hata watu waliowahi zitumia hizi TORCH kama ambavyo zinaitwa.

hapa namaanisha ni zile kamera za kunasa speed ambazo huwa zinatumiwa na trafic kurecord magari yanayokuwa speed zaidi.

swali langu ni jee hizi kamera zinafanyeje kazi mpaka zinanasa speed unayokuja nayo gari?? au zinawezaje kunasa peed ya gari??.ni techologia gani inayotumika?!

na je camera zile zinaweza hata nasa speed ya kitu kingine chochote kile??.

kiufupi ile ni RADDAR . anapokuelekezea inatoa miale ambayo ikigonga kizuizi inaakisiwa tena kurudi kwenye tochi yenyewe. sasa kasi ya hicho kizuizi kilichoakisi ile miale ndio inayobadili mwendo kasi wa miale ile iliyoakisiwa. (hii.inaitwa doppler effect). Kifaa hiki kinaweza kupima mwendo kasi wa kitu kingine pia sio gari peke yake.
 
kiufupi ile ni RADDAR . anapokuelekezea inatoa miale ambayo ikigonga kizuizi inaakisiwa tena kurudi kwenye tochi yenyewe. sasa kasi ya hicho kizuizi kilichoakisi ile miale ndio inayobadili mwendo kasi wa miale ile iliyoakisiwa. (hii.inaitwa doppler effect). Kifaa hiki kinaweza kupima mwendo kasi wa kitu kingine pia sio gari peke yake.

mhhhh okey mkuu maana hapa nilikuwa napiga sana mahesabu ni vipi kinafanya kazi??.
 
Nelcon Advanced Physics form 6 Topic WAVE Subtopic Light Doppler effect

Mkuu uko sahihi zinatumia concept ya Dopple effect,lakini kwani kitabu ni hicho hicho tu.Vipi akipata Roger Muncaster?Uliitumia hii kitabu au UP(University Physics).Napita tu

Z
Z


9k=


Kila jambo na wakati wake,haha.Physics ni tamu bwana ukiijua.
 
kwenye mchezo wa baseball/tenis wanatumia kupima speed ya ile mipira yao kwahiyo zinapima vitu vingine ukiacha magari.
 
wakuu nisiwachoshe sanaa.
naamini humu kuna wataalam mbali mbali na ikiwezekana kunaweza kukawa na hata watu waliowahi zitumia hizi TORCH kama ambavyo zinaitwa.

hapa namaanisha ni zile kamera za kunasa speed ambazo huwa zinatumiwa na trafic kurecord magari yanayokuwa speed zaidi.

swali langu ni jee hizi kamera zinafanyeje kazi mpaka zinanasa speed unayokuja nayo gari?? au zinawezaje kunasa peed ya gari??.ni techologia gani inayotumika?!

na je camera zile zinaweza hata nasa speed ya kitu kingine chochote kile??.

Na je hakuna kifaa cha kuweza kuzuia isisome? #physics #
 
Na je hakuna kifaa cha kuweza kuzuia isisome? #physics #

hahahaha mkuu kumbe na.wewe unawazo kama langu sababu wakati na waza unawezaje kuzuia torch wakikupiga isiweze fanya kazi nikaanza kwanza kujiuliza inafanyaje kazi utendaji wake kazi so kwakuwa wametuambia kwa juu juu hakuna aliyetuelezea kiundani zaidi na kitaalam majibu yao ni wave na light sijui form 6 physics.

wanasahau kuwa wote hatuja soma physics.

hembu wataalam dadavueni vizuri na je ni vipi unaweza ukafanya ukipigwa torch isisome??
 
hahahaha mkuu kumbe na.wewe unawazo kama langu sababu wakati na waza unawezaje kuzuia torch wakikupiga isiweze fanya kazi nikaanza kwanza kujiuliza inafanyaje kazi utendaji wake kazi so kwakuwa wametuambia kwa juu juu hakuna aliyetuelezea kiundani zaidi na kitaalam majibu yao ni wave na light sijui form 6 physics.

wanasahau kuwa wote hatuja soma physics.

hembu wataalam dadavueni vizuri na je ni vipi unaweza ukafanya ukipigwa torch isisome??

He he he, mkuu ikiwezekana hii itakuwa raha sana make hawa jamaa wamezidi kula elfu kumi zetu
 
wakuu nisiwachoshe sanaa.
naamini humu kuna wataalam mbali mbali na ikiwezekana kunaweza kukawa na hata watu waliowahi zitumia hizi TORCH kama ambavyo zinaitwa.

hapa namaanisha ni zile kamera za kunasa speed ambazo huwa zinatumiwa na trafic kurecord magari yanayokuwa speed zaidi.

swali langu ni jee hizi kamera zinafanyeje kazi mpaka zinanasa speed unayokuja nayo gari?? au zinawezaje kunasa peed ya gari??.ni techologia gani inayotumika?!

na je camera zile zinaweza hata nasa speed ya kitu kingine chochote kile??.

Mkuu ...umeacha kuendesha malori siku hiz...??? unaendesha mabasi ya abiria??
 
Mkuu ...umeacha kuendesha malori siku hiz...??? unaendesha mabasi ya abiria??

kwanini mkuu umesema hivyo??.

LEGELEGE bila shaka ndio utakuwa wamzungumzia .
 
kiufupi ile ni RADDAR . anapokuelekezea inatoa miale ambayo ikigonga kizuizi inaakisiwa tena kurudi kwenye tochi yenyewe. sasa kasi ya hicho kizuizi kilichoakisi ile miale ndio inayobadili mwendo kasi wa miale ile iliyoakisiwa. (hii.inaitwa doppler effect). Kifaa hiki kinaweza kupima mwendo kasi wa kitu kingine pia sio gari peke yake.

Kwanini hawakamati piki piki?
 
Back
Top Bottom