ymollel
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 3,095
- 2,294
Kwanini hawakamati piki piki?
hii itakuwa ni interest zao wenyewe na wala si kwamba hicho kifaa hakifai kutambua mwendo kasi wa pikipiki
Kwanini hawakamati piki piki?
Na je hakuna kifaa cha kuweza kuzuia isisome? #physics #
Ukiwaona kwa mbali washa wippers......... kitu chali.......
Duh,umenichekesha kweli.Simple like that unakwepa faini ya Tsh30,000?Sasa hapo huoni issue ya timing itakuponza?
Tochi haikamati number za gari unaweza kupita pale na ukakana.
phyiscs wave fom five.. ambao bado wanakumbukumbu nzuri
Tochi haikamati number za gari unaweza kupita pale na ukakana.
Tochi haikamati number za gari unaweza kupita pale na ukakana.
Ukiwaona kwa mbali washa wippers......... kitu chali.......
Kifaa kama kifaa ni ngumu maana ili gari lako lisisomekeke ni lazima kuwepo na kizuizi mbele ya gari lako,kama vile gari lingine au kona kali..lakini pia haikwezi kukusoma gizani..
Kuning'iniza CD pale mbele au kuwasha wipers havisaidii kitu..