TRAFIC mna nini na Kinondoni road????

TRAFIC mna nini na Kinondoni road????

Domo Kaya

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2007
Posts
531
Reaction score
60
Yaani magari yanayotoka hii barabara ya kinondoni huwa yanachelewa sana kuruhusiwa, hivi kuna mtu anajua lolote jamani?? Trafic wanafanya makusudi au ndio sheria kuruhusu pande zote na kuisahau kinondoni rd, iwe asubuhi, mchana mpk jioni akikaa trafic tu basi balaa, kama hawawezi kutumia usawa waachie taa zifanye kazi yake, wanatutesa sana.
 
elimu ni kitu mihimu sana! waonewe huruma kwa umburula wao, serikali dhaifu hutotoa matrafiki mburula na dhaifu! mi huwa wananiboaaaaaaaaaaaaa!
 
Domo kaya umenena ndugu yangu sioni wanajamii wakichangia. Nafikiri hawajui ukubwa wa hili tatizo.

Inawezakanaje uvute magari upande mmoja kwa dakika arobaini?
Huwa wanayavuta kwa usawa kidogo kabla ya Kamanda Kova hajapita.Akishapita basi.Hakuna anayejali na tena wengi wa matrafiki huondoka kabisa.Kila mtu anakuja mjini kwa malengo. Uwe unatoka Mwenge ama Mwananyamala sote tu sawa.
Badilikeni matrafic. Ama hamjui Sam yupo wapi?
 
yaan kwakweli leo saa moja asubuhi nilikuwa manyanya just imagine mpaka saa mbili kamili asubuhi nilikuwa sijavuka pale kwenye mataa ya salender.yan trafic wanapenedlea sana ile njia ya magari yanayotoka mwenge.it is not fair please kama kuna mhusika humu ashughulikie hili swala.
 
Jamani msiwalaumu sana hawa askari wetu, iwe traffic au wa kawaida, huwa wanapokea amri kutoka kwa wakubwa wao na wao bila kujali mazingatio, mazingira yoyote au chochote inabidi watekeleze amri iyo kwanza km ilivyo taratibu za majeshi yetu, kwa iyo barabara ya ali hasan inapita wakubwa wengi ambao watoa amri kwa hao askari ili wawahi kupita, mfano si unaona meck saddiq na kova muda wakipita kinondoni zinavyoitwa sana kwa sababu ya amri.
 
Back
Top Bottom